Je, huyu mtangazaji wa Abood ni Dullah wa EATV/ EA Radio?

Napenda nifahamishwe mtangazaji Kamafa mara ya mwisho nilimsikiaga radio five,ya Arusha kwasasa ata sifahamu mwenye kujua hanijuze.
 
Kama ambavyo ukitaka kupata wanzuki lazima uchanganye kimpumu na ulanzi
Yani vinywAji vya home hivyo, wanzuki inaumuliwA siku 2 na kuvundikwa siku 2 sku ya 5 kuweka kwenye chupa, siku ya 6 ndo kupiga ulabu.
 
RFA na Kiss kama Mmiliki M1 ,Mara nyingi namsikia RFA kwa mfano Ijumaa alikuwepo kuanzia mida ya saa tatu mpaka saba usiku.
kama unamuongelea mbudu the boss utakuwa unaongopa jamaa yupo kivyake kabisa hafanani na adam hata chembe clouds nasikiliza RFA nasikiliza especially huyu jamaa utakuwa umemkosea kusema anamuiga Adam
 
kama unamuongelea mbudu the boss utakuwa unaongopa jamaa yupo kivyake kabisa hafanani na adam hata chembe clouds nasikiliza RFA nasikiliza especially huyu jamaa utakuwa umemkosea kusema anamuiga Adam
Huyo Huyo Mkuu.
 
Kuna kitangazaji cha RFA kinamuiga Mamy Baby wa Clouds hadi aibu najisikia mimi.
 
Mkuu mbona kama umepaniki hivi?
 
Ata mm nilishangaa maana niliiskiaga kitambo akatoaga hadi kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…