Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mamaKuigana kawaida..ila bado hajatokea wa kumuiga fettylicios
Yani vinywAji vya home hivyo, wanzuki inaumuliwA siku 2 na kuvundikwa siku 2 sku ya 5 kuweka kwenye chupa, siku ya 6 ndo kupiga ulabu.Kama ambavyo ukitaka kupata wanzuki lazima uchanganye kimpumu na ulanzi
Nimegusa anga zako sioYani vinywAji vya home hivyo, wanzuki inaumuliwA siku 2 na kuvundikwa siku 2 sku ya 5 kuweka kwenye chupa, siku ya 6 ndo kupiga ulabu.
mmmh n nan huyo mbona cjawai mckiaKuna Jamaa mwingine wa Radio Free Africa anatangaza kama Adam Mchomvu.
kama unamuongelea mbudu the boss utakuwa unaongopa jamaa yupo kivyake kabisa hafanani na adam hata chembe clouds nasikiliza RFA nasikiliza especially huyu jamaa utakuwa umemkosea kusema anamuiga AdamRFA na Kiss kama Mmiliki M1 ,Mara nyingi namsikia RFA kwa mfano Ijumaa alikuwepo kuanzia mida ya saa tatu mpaka saba usiku.
Huyo Huyo Mkuu.kama unamuongelea mbudu the boss utakuwa unaongopa jamaa yupo kivyake kabisa hafanani na adam hata chembe clouds nasikiliza RFA nasikiliza especially huyu jamaa utakuwa umemkosea kusema anamuiga Adam
hapana wako tofauti kabisaHuyo Huyo Mkuu.
Mkuu mbona kama umepaniki hivi?Upo Dar tu hapo unadhani ndo mwisho wa dunia, Siku ukifika newyork si utajiona upo mawinguni.
By the way ubunifu upo ndani ya mtu, haupo Dar es salaam, hao unaodhani ni watangazaji wa Dar walitokea mikoani kwenye local media wakaja Dar.... learn the history dogo....
Kuiga Jambo zuri siyo vibayaTatizo watangazaji wa mikoani sio wabunifu, wanapenda kuiga swaga na sauti za watangazaji wa Redio/TV za Dar.
Maalim Nash [emoji23][emoji119]Ifwatayo ni nukuu fupi tu
"Wtangazaji wanaigana, dizaini kama....ama nene.ush*ga mtupu vipindi vya mchana sisikilizi ZIMAAA! Baba unasemaje...ZIMAAAAAA"
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kumbe hadi wewe umesikia[emoji23][emoji23]Kuna kitangazaji cha RFA kinamuiga Mamy Baby wa Clouds hadi aibu najisikia mimi.
HahahStory ya K-Zi na safari yake ya kuzamia Sauzi ilibamba sana enzi hzo 2004
Kuigana kawaida..ila bado hajatokea wa kumuiga fettylicios
Hahaha,utaskia "Awkay awkay",haha alaf et anajiita Mwana unique.
Au vp eehAu sio bana
Unaona bana
Mwifwa kile kipindi cha sitasahau kipo.
Nilisikilizaga story ya Zablon mwaka 2008 na Fredrick Bundala, tena leo nikiwa napita nimemsikia Zablon akiendelea kusimulia stori ile ile ila akiwa na Yusuph Magasha.
RFA wameiua na kubadilisha vipindi hata haitamanishi kwa sisi tulioijua.