Tetesi: Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajaye?

Tetesi: Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajaye?

Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||

Taarifa za chinichini ni kwamba,

Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,

Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.

Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.

Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.

"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,

Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.

View attachment 3177680

Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?​

Mika 20 sio hapa
 
Hata Lissu asiposhinda tayari amesaidia kutuonesha rangi halisi ya CDM, hawataaminika tena na wananchi na sijui 2025 watakuwa na lipi la kusema.
 
Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||

Taarifa za chinichini ni kwamba,

Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,

Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.

Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.

Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.

"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,

Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.

View attachment 3177680

Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?​

Mbowe akae pembeni tu upepo wa Lissu ni mkali sana
 
Siasa kama hizo Zina nguvu Kenya, Zanzibar na sehemu zifananazo ila sio Tanzania bara.
Siku zote watu uangalia kiongozi aliyopo juu wengine ufuata mzee hata hapa Tanzania inawezekana unakumbuka kwenye Msiba wa Mzee kibao kilichokua kinaenda kumtokea Waziri wa ulinzi Masauni Msibani wananchi walichachamaa Mbowe alifanya nini mzee watu uangalia msimamo wa kiongozi wao Mbowe hawezi kua mpinzani kwa siasa za Afrika
 
Nafkri hujanielewa, wewe una uhakika Gani watamchagua kutokana na siasa afanyazo, na si sababu nyingine labda kuchoka uongozi Mmoja wa muda mrefu?
Nime kuelewa vizuri kabisa; na hata sasa nakuelewa haya uliyo andika hapa.
Maana yake ni ile ile niliyo kupa mwanzo.
Bila kujali hao watakaomchagua watamchagua kwa sifa ipi, wewe unataka akisha chaguliwa tu, abadilike! Sasa hilo ndilo tatizo lenyewe. Kwa nini abadilike. Huoni kuwa huu utakuwa ni utapeli mkubwa, sawa na huu tunao ushuhudia leo hii kutoka kwa Samia Suluhu Hassan?
Wewe unataka viongozi laghai, wasio aminika kwa lolote walisemalo?
 
TL aliwahi kuwa Rais wa TLS!
Tuambieni kipindi hicho aliweza kufanya nini kuisaidia TLS,Leo anaomba kuwa mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani?
Lissu alikuwa Rais wa TLS kwa kipindi kifupi sana tu ndiyo Magufuli akatuma wauaji wakampige risasi.
 
Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||

Taarifa za chinichini ni kwamba,

Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,

Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.

Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.

Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.

"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,

Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.

View attachment 3177680

Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?​

Chadema mna mambo. Mara mseme siye mara niyeye sasa tuwaeleweje sisi .?
 
Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||

Taarifa za chinichini ni kwamba,

Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,

Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.

Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.

Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.

"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,

Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.

View attachment 3177680

Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?​

Cc.Luca,Tlaattla na rafiki zao uwafikie ujumbe huu.
 
TL aliwahi kuwa Rais wa TLS!
Tuambieni kipindi hicho aliweza kufanya nini kuisaidia TLS,Leo anaomba kuwa mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani?
Alikaa madarakani TLS kwa muda gani?
Hukumbuki kuwa wauaji walimjeruhi vibaya siku chache tu baada ya kuchaguliwa?
 
Nime kuelewa vizuri kabisa; na hata sasa nakuelewa haya uliyo andika hapa.
Maana yake ni ile ile niliyo kupa mwanzo.
Bila kujali hao watakaomchagua watamchagua kwa sifa ipi, wewe unataka akisha chaguliwa tu, abadilike! Sasa hilo ndilo tatizo lenyewe. Kwa nini abadilike. Huoni kuwa huu utakuwa ni utapeli mkubwa, sawa na huu tunao ushuhudia leo hii kutoka kwa Samia Suluhu Hassan?
Wewe unataka viongozi laghai, wasio aminika kwa lolote walisemalo?
Kama kusema ukweli tu kunatosha basi kina Kiiza Besigye wangeshakuwa Marais, mimi nasema bado hujaelewa nilichomaanisha mkuu...
 
Unajua kuna kupigania haki na kuna mbinu za kupigania haki, wewe umezungumzia la kwanza, Mimi nimezungumzia la mwisho.

..kwanini tusipewe hizo haki mpaka kuwe na confrontation?

..kwanini watawala hawataki kuunda Tume huru, na kuandika katiba mpya mpaka kuwe na confrontation?
 
Back
Top Bottom