ANT - NYONDENYONDE
Senior Member
- Jul 29, 2024
- 154
- 173
- Thread starter
- #41
Mbowe miaka 20 nayo ni mingi sanaSiasa anazofanya Lissu Afrika ndo zinaweza uwa zina nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe miaka 20 nayo ni mingi sanaSiasa anazofanya Lissu Afrika ndo zinaweza uwa zina nguvu
Mika 20 sio hapaSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Washanunuliwa kwa pesa chafu ya abdul.baada ya kukusoma nikajiuliza kama unawajua kweli wapiga kura wa kuchagua mwenyekiti wa Chadema?
Mbowe akae pembeni tu upepo wa Lissu ni mkali sanaSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Siasa kama hizo Zina nguvu Kenya, Zanzibar na sehemu zifananazo ila sio Tanzania bara.Siasa anazofanya Lissu Afrika ndo zinaweza uwa zina nguvu
haki haipatikani kwenye sahani,Yuko sawa.Huyu mtu wenu alivyo muumini wa confrontation politics anaenda kuiua Chadema.
Muda utaongeahaki haipatikani kwenye sahani,Yuko sawa.
Siku zote watu uangalia kiongozi aliyopo juu wengine ufuata mzee hata hapa Tanzania inawezekana unakumbuka kwenye Msiba wa Mzee kibao kilichokua kinaenda kumtokea Waziri wa ulinzi Masauni Msibani wananchi walichachamaa Mbowe alifanya nini mzee watu uangalia msimamo wa kiongozi wao Mbowe hawezi kua mpinzani kwa siasa za AfrikaSiasa kama hizo Zina nguvu Kenya, Zanzibar na sehemu zifananazo ila sio Tanzania bara.
Nime kuelewa vizuri kabisa; na hata sasa nakuelewa haya uliyo andika hapa.Nafkri hujanielewa, wewe una uhakika Gani watamchagua kutokana na siasa afanyazo, na si sababu nyingine labda kuchoka uongozi Mmoja wa muda mrefu?
Lissu alikuwa Rais wa TLS kwa kipindi kifupi sana tu ndiyo Magufuli akatuma wauaji wakampige risasi.TL aliwahi kuwa Rais wa TLS!
Tuambieni kipindi hicho aliweza kufanya nini kuisaidia TLS,Leo anaomba kuwa mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani?
Chadema mna mambo. Mara mseme siye mara niyeye sasa tuwaeleweje sisi .?Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
🚮Huyu mtu wenu alivyo muumini wa confrontation politics anaenda kuiua Chadema.
Cc.Luca,Tlaattla na rafiki zao uwafikie ujumbe huu.Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura,
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu wanaonesha kumuhitaji zaidi Lissu kwa sasa kuliko Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na team nzima ya BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wote wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo, Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Mbowe anayeonekana kupoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza kwenye kutafuta zaidi kukubalika kwake na Dola pamoja na kwa Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko Wafuasi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha sana wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu ata asipofanga kampeni sisi tutamchagua lazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Mbowe anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi ikiwemo kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Alikaa madarakani TLS kwa muda gani?TL aliwahi kuwa Rais wa TLS!
Tuambieni kipindi hicho aliweza kufanya nini kuisaidia TLS,Leo anaomba kuwa mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani?
Luca Yuko kwa LissuCc.Luca,Tlaattla na rafiki zao uwafikie ujumbe huu.
Kama kusema ukweli tu kunatosha basi kina Kiiza Besigye wangeshakuwa Marais, mimi nasema bado hujaelewa nilichomaanisha mkuu...Nime kuelewa vizuri kabisa; na hata sasa nakuelewa haya uliyo andika hapa.
Maana yake ni ile ile niliyo kupa mwanzo.
Bila kujali hao watakaomchagua watamchagua kwa sifa ipi, wewe unataka akisha chaguliwa tu, abadilike! Sasa hilo ndilo tatizo lenyewe. Kwa nini abadilike. Huoni kuwa huu utakuwa ni utapeli mkubwa, sawa na huu tunao ushuhudia leo hii kutoka kwa Samia Suluhu Hassan?
Wewe unataka viongozi laghai, wasio aminika kwa lolote walisemalo?
Swali zuri sana hili,..kukiwa na HAKI confrontation ya nini?
Unajua kuna kupigania haki na kuna mbinu za kupigania haki, wewe umezungumzia la kwanza, Mimi nimezungumzia la mwisho.