Duh!Kama kusema ukweli tu kunatosha basi kina Kiiza Besigye wangeshakuwa Marais, mimi nasema bado hujaelewa nilichomaanisha mkuu...
Mbowe mitano tenaSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura tu tarehe 21.01. 2025.
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu ambao ni wengi wanaonesha kumuhitaji zaidi Tundu Lissu kwa sasa kuliko Freeman Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na makundi yote hasa BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo na KUWEKA rekodi mpya katika siasa za CHADEMA ngazi ya Taifa.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo,Tundu Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi kwa karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Freeman Mbowe anayeonekana kuyapoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza zaidi kwenye kutafuta kukubalika kwake na dola pamoja na Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko kwa Wafuasi na Wapenzi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha zaidi wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti kwa gharama yeyote.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu hata asipofanya kampeni yoyote sisi tutamchagua na nilazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu na Uadilifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa pesa kwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi mathalani kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Chadema mna mambo. Mara mseme siye mara niyeye sasa tuwaeleweje sisi
Wauleze kenge watakuambia kwanini?..kwanini tusipewe hizo haki mpaka kuwe na confrontation?
..kwanini watawala hawataki kuunda Tume huru, na kuandika katiba mpya mpaka kuwe na confrontation?
Unafikiri utaikabili vipi CCM ya sasa bila Confrontation Politics 🙂Huyu mtu wenu alivyo muumini wa confrontation politics anaenda kuiua Chadema.
Siasa za JINO kwa JINO uwa nikuuwe hatutaki Autocracy.Kama Lissu atakuwa mwenyekiti itabidi abadilishe aina ya siasa anazofanya.
DaaahSiasa za JINO kwa JINO uwa nikuuwe hatutaki Autocracy.
Teka nikuteke Uwa nikuuwe poteza nikupoteze Siasa za Mbowe zimekuwa Bariiidi sana huku Wanachadema wakizidi kutekwa na kuuwawa.Daaah
DaaahSiasa za JINO kwa JINO uwa nikuuwe hatutaki Autocracy.
Mbowe sio mpinzani kwa asiliTeka nikuteke Uwa nikuuwe poteza nikupoteze Siasa za Mbowe zimekuwa Bariiidi sana huku Wanachadema wakizidi kutekwa na kuuwawa.
Kama chawa wa Lisu mnavyomuogopa Mbowe.Maccm mnamuogopa sana Lissu
Itakuwa safi sana. Hapa sasa next ni ccm kukosa usingiziSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura tu tarehe 21.01. 2025.
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu ambao ni wengi wanaonesha kumuhitaji zaidi Tundu Lissu kwa sasa kuliko Freeman Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na makundi yote hasa BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo na KUWEKA rekodi mpya katika siasa za CHADEMA ngazi ya Taifa.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo,Tundu Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi kwa karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Freeman Mbowe anayeonekana kuyapoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza zaidi kwenye kutafuta kukubalika kwake na dola pamoja na Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko kwa Wafuasi na Wapenzi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha zaidi wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti kwa gharama yeyote.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu hata asipofanya kampeni yoyote sisi tutamchagua na nilazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu na Uadilifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa pesa kwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi mathalani kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Mbowe anajiogopaKama chawa wa Lisu mnavyomuogopa Mbowe.
Tusubirie atangaze kutetea nafasi yake tuone povu la washabiki wa team Lisu na CCM.Mbowe anajiogopa
MboweSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura tu tarehe 21.01. 2025.
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu ambao ni wengi wanaonesha kumuhitaji zaidi Tundu Lissu kwa sasa kuliko Freeman Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na makundi yote hasa BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo na KUWEKA rekodi mpya katika siasa za CHADEMA ngazi ya Taifa.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo,Tundu Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi kwa karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Freeman Mbowe anayeonekana kuyapoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza zaidi kwenye kutafuta kukubalika kwake na dola pamoja na Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko kwa Wafuasi na Wapenzi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha zaidi wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti kwa gharama yeyote.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu hata asipofanya kampeni yoyote sisi tutamchagua na nilazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu na Uadilifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa pesa kwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi mathalani kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Lissu atashinda tuSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura tu tarehe 21.01. 2025.
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu ambao ni wengi wanaonesha kumuhitaji zaidi Tundu Lissu kwa sasa kuliko Freeman Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na makundi yote hasa BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo na KUWEKA rekodi mpya katika siasa za CHADEMA ngazi ya Taifa.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo,Tundu Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi kwa karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Freeman Mbowe anayeonekana kuyapoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza zaidi kwenye kutafuta kukubalika kwake na dola pamoja na Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko kwa Wafuasi na Wapenzi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha zaidi wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti kwa gharama yeyote.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu hata asipofanya kampeni yoyote sisi tutamchagua na nilazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu na Uadilifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa pesa kwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi mathalani kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?
Ni yeyeSwali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Bwana Tundu Lissu ameshamaliza Uchaguzi tayari kinachosubiriwa kwa sasa ni wanachama ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu kupiga kura tu tarehe 21.01. 2025.
Watu wake wa karibu wanasema mtiania wao huyo huenda akashinda Uchaguzi huo kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura zote zitakazopigwa kwani wanachama wa CHADEMA hasa wale walioduni sana kimaisha na kielimu ambao ni wengi wanaonesha kumuhitaji zaidi Tundu Lissu kwa sasa kuliko Freeman Mbowe kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Lissu anayeungwa mkono kwa karibu na makundi yote hasa BAWACHA, BAVICHA , BAZECHA pamoja na idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu Kuna kila dalili atashinda kwa kishindo na KUWEKA rekodi mpya katika siasa za CHADEMA ngazi ya Taifa.
Pitia hapa pia KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Hata hivyo,Tundu Lissu anaonekana kupata nguvu zaidi kwa karibu kila siku tangu atangaze nia yake hiyo ya kutaka kumrithi Freeman Mbowe aliyehudumu kwa zaidi ya miaka 20 madarakani ambaye mpaka Sasa bado hajasema kama atagombea au laa.
Freeman Mbowe anayeonekana kuyapoteza kabisa malengo ya kuanzishwa kwa CHADEMA na kijiegemeza zaidi kwenye kutafuta kukubalika kwake na dola pamoja na Viongozi wa CCM akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa CCM kuliko kwa Wafuasi na Wapenzi wa CHADEMA jambo hili linawakasirisha zaidi wanachama wa CHADEMA walio wengi kiasi Cha kutamani kubadili Mwenyekiti kwa gharama yeyote.
"Mbowe anakabiliwa na anguko Kali la imani toka kwa wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ndio maana Lissu hata asipofanya kampeni yoyote sisi tutamchagua na nilazima" imeelezwa hivyo na kamanda mmoja toka Kilimanjaro jina tunalihifadhi,
Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake anakabiliwa na kosa la ukosefu wa Uaminifu na Uadilifu kwa wanachama na Wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya kuonekana akiwa na ukaribu zaidi na Mwenyekiti wa Chama tawala kiasi Cha kupatiwa pesa kwa mamilioni ili apeleke kwenye makanisa pamoja na matumizi binafsi mathalani kwa Askofu Dkt Shoo alikopeleka zaidi ya Mil 150 za ununuzi wa gari pesa toka kwa Rais Samia ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM.
View attachment 3177680
Je, huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ajae?