Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

Wewe unaandika ukiwa na maumivu ya moyoni. Samia ndio rais wa awamu ya sita na kazi inaendelea.
 
Hawa wanaishi na maumivu moyoni sidhani kama unachowaambia wanaweza kukielewa.
 
Mtu 'kwao' bhn... unataka aandae wapi makazi akisusa 2025?

Mkataa kwao mtumwa in Magufuli's voice....

Long live Chato

Long live Gbadolite!!
 
Nadhani mpaka anamliza muda wake Madarakani safari tu Pesa zitakazo tumika zitakuwa na Uwezo wa Kumaliza kabisa matatizo ya Maji safi na Umeme Nchi nzima ,na Atamaliza muda wake hayo matatizo Bado Yapo .
 
Wajanja wameona fursa so ni mwendo wa kusainishwa mikataba....who knows labda hii ziara ya Oman ni zamu ya Kilimanjaro au Serengeti kabisa. Tukae kwa kutulia.
 
Wawekezaji wa kutoka nje hawatatusaidia sisi kujikomboa kitu cha msingi tutafute teknologia tutengeneze vyetu tupate mtaji na huu mtaji yaani fedha zipo ila matajiri hawataki kulipa kodi. Hebu angalia mpaka leo wenye mabasi wamegoma kutumia zile mashine F nini sijui kukata tiketi. Ukituma barua bahasha shs. 5,000.00 risiti hawatoi na serikali ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…