Je, Hypersexualism ni jambo la kawaida kwa teenagers wa siku hizi?

Je, Hypersexualism ni jambo la kawaida kwa teenagers wa siku hizi?

Ni wewe ndio unatatizo, haiwezikani kwa mwaka mara 10, hiyo mara 10 mm napiaga ndani ya siku 15. Nikiwa free na kukawa na ubusy basi walau nitapiga kwa mwezi.

Na katikatikatikati hapo huwa napiga puu japo mara moja au mbili kuweka mwili sawa, Situkia kilevi chochote, sipaki dawa wala kunywa dawa yeyote na pia sivuti sigara,

Sili junk foods wala nyama nyekundu, sana hula mbogamboga na vyakula vya baharini, Soup na kahawa hapa ndio kwao.

Anyway kwa hali hiyo ukija kuoa na Mungu akajaaliwa ndoa ikawa na mtoto/Watoto usije acha kupima DNA bila hivyo utakuja lea damu za wagoni wako.
 
Una baati Sana,

Jikite tu kwenye ibada na mambo ya Imani ,

Yaelekeze maisha yako Kwa Mungu mazima,

Maana huo ndio mtiani watu wengi ,wanashindwa, kuzuia mihemuko ya mwili ,wengi wanashindwa ndio maana wanaangukia kwenye uzinzi na Uasherati,

Wengi watakuonea donge,na kujifanya wao ndio wazima wewe mgonjwa ,kumbe wao ndio wagonjwa na wewe inapelekea njia ya Uzima ,

KUMBUKA kauli hii,
Mwili ni kama vazi,
Kuna vazi zuri na baya,
Baya ni Lile lililoshindwa kutii Amri za Mungu ,
Na zuri ni Lile ambalo Amri za Mungu unatii .
 
Ni wewe ndio unatatizo, haiwezikani kwa mwaka mara 10, hiyo mara 10 mm napiaga ndani ya siku 15. Nikiwa free na kukawa na ubusy basi walau nitapiga kwa mwezi.

Na katikatikatikati hapo huwa napiga puu japo mara moja au mbili kuweka mwili sawa, Situkia kilevi chochote, sipaki dawa wala kunywa dawa yeyote na pia sivuti sigara,

Sili junk foods wala nyama nyekundu, sana hula mbogamboga na vyakula vya baharini, Soup na kahawa hapa ndio kwao.

Anyway kwa hali hiyo ukija kuoa na Mungu akajaaliwa ndoa ikawa na mtoto/Watoto usije acha kupima DNA bila hivyo utakuja lea damu za wagoni wako.
Mmmh sawa.
 
Una baati Sana,

Jikite tu kwenye ibada na mambo ya Imani ,

Yaelekeze maisha yako Kwa Mungu mazima,

Maana huo ndio mtiani watu wengi ,wanashindwa, kuzuia mihemuko ya mwili ,wengi wanashindwa ndio maana wanaangukia kwenye uzinzi na Uasherati,

Wengi watakuonea donge,na kujifanya wao ndio wazima wewe mgonjwa ,kumbe wao ndio wagonjwa na wewe inapelekea njia ya Uzima ,

KUMBUKA kauli hii,
Mwili ni kama vazi,
Kuna vazi zuri na baya,
Baya ni Lile lililoshindwa kutii Amri za Mungu ,
Na zuri ni Lile ambalo Amri za Mungu unatii .
Ahsante brother, maneno fikirishi sana.
 
Watoto wa siku hizi mayai sana.
Unaongea kabisa mara 10 kwa mwezi.
Unless una afya mgogoro.
Mbususu ni kama waislamu swala kila siku. Unapaswa kuila kila siku japo mara 1 kwa afya. Ikiwa period au inaumwa sana au wewe uko unaumwa ndio mapumziko day.
 
Hivi nyie vijana mnavyosema mnafanya sex mara 10 kwa mwezi mnamaanisha bao kumi kwa mwezi au mara kumi kwa mwezi bila kujali idadi ya mabao?
 
Back
Top Bottom