Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Jeshi la polisi kuna cheo cha captain?Kuna yule Refa mshika kibendera anaitwa Komba kwenye ligi kuu Bongo.. yeye ni captain wa jeshi la polisi na kuna muda yuko bize kabisa na majukumu ya kimpira zaid. Nadhan kuna namna wanapewa ruhusa bila kuathiri kazi zao walizoajiriwa kwenye usalama.
Braza katika michezo majeshi ya Tz ni Jkt pekee haya mengine yanatupotezea muda tu.AS Far rabbat ya wanajeshi na wanapiga kazi vizuri..
Ruvu shooting makazi yao yalijua kambini kabisa kuna wajeda humo walikua wanacheza Ligi na kazi wanapiga vizuri.
Jkt Tanzania,
Polisi TZ,Tz Prisons zote hizi zinafanyia mazoezi kambi za kijeshi na kuna wanajeshi wanacheza humo
Ukienda kwenye Boxing ndo wamejaa wajeda wakiongozwa na Selemani kidunda ambae anaingiaga na gari za jeshi kabisaa.
Jeshi ni Ukakamavu..So limeipa Michezo Nafasi na Kipaumbele.Jeshini kuna Vetting kama ambavyo vetting inafanywa kuanzia JKT..Wakikuona unakipaji cha Michezo aina yoyote wanakithamini na kuhakikisha unafika mbali..So suala la Majukumu ya Kijeshi utapunguziwa majukumu vilevile Utapunguziwa Mshahara lakini Misingi ya kijeshi utaendelea kuifata kama kawa.
Michezo(hasa mpira) imejaa wanajeshi wengi sana hata huko Duaniani Rugby ya US inaongoza kwa kuajiri wachezaji ambao ni wanajeshi
Pia Ulaya kuna beki wa Bayern anaitwa KIM ni mkorea kila akipata likizo(International break) anarudi korea kuripoti kambini...So majukumu wamepunguziwa na mshahara vilevile..
washanuna wenye vyeo vyaoJeshi la polisi kuna cheo cha captain?
Hao JKT wanachojua ni kucheza rafu tu na Kushuka na Kupanda ligi kila Msimu..Kifupi Team zote za majeshi ni uozo Nimeshaleta Mada yake.. Team za Jeshi za Waarabu ndio Timu bwana watu wanapiga boli balaaBraza katika michezo majeshi ya Tz ni Jkt pekee haya mengine yanatupotezea muda tu.
OkHao JKT wanachojua ni kucheza rafu tu na Kushuka na Kupanda ligi kila Msimu..Kifupi Team zote za majeshi ni uozo Nimeshaleta Mada yake.. Team za Jeshi za Waarabu ndio Timu bwana watu wanapiga boli balaa
Niliwahi kusoma mahali kuwa ni askari wa KMKM na hata wazazi wote wawili ni maaskari wa aina fulani. Ila yeye Bacca alikuwa akichezea timu ya KMKM na alipopata ofa za timu za kiraia basi ikabidi aombe likizo isiyo na malipo huko KMKM hadi pale mikataba yake kwenye timu za kiraia itakapokwisha. Leo kukitokea vita ambayo hata KMKM itabidi kwenda mstali wa mbele basi atarudi jeshini KMKM mara moja.Zanzibar,
Kwa mujibu wa msemaji wa Yanga ndugu Ally Kamwe mchezaji wao wa kati Ibrahim Bacca ni mwanajeshi wa KM Zanzibar hivyo ameomba mashabiki wa Yanga waliopo kwenye vyombo hivyo siku ya BACCA day tarehe 02 , December 2023 waje kumsupport mwenzao na magwanda yao uwanjani
Kwa mujubu wa Rais wa Yanga engineer Hersi amesisitiza ibrahim Bacca walimsajili yanga akiwa hana nafasi ya kucheza lakini uvumilivu wake na mazoezi vimemfanya awe moja ya central defend wa kutegemewa Yanga
Aidha ameomba raia wa kawaida watakaopenda pia juu wavae T shirt za Yanga na msuri au wavae kanzu kumsupport ibrahim Bacca na utamaduni wake wa zanzibar
Je? ni muda gani ibrahim Bacca anatekeleza majukumu yake ya kijeshi ili hali ligi ina mzunguko wa zaidi ya mwaka
KUFYEKA TU MAJANIkwani kazi za Jeshi lake ni zipi
Bora Jkt Jwee hakuna kitu kabisa yaani ni kichaka Cha kwenda kupumzika ... Unakuta OCD kabana huko na kapewa Ukapten na mpira wenyewe hachezi...masoja full kujivunja.Hao JKT wanachojua ni kucheza rafu tu na Kushuka na Kupanda ligi kila Msimu..Kifupi Team zote za majeshi ni uozo Nimeshaleta Mada yake.. Team za Jeshi za Waarabu ndio Timu bwana watu wanapiga boli balaa
Komba ni Inspekta siyo KaptenJeshi la polisi kuna cheo cha captain?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute yuko kitengo na Afande rama, hapo jeshiniNdo jeshi gani hilo au mgambo wa zenji
Kuzuia maghendo, sasa ndo hatujui ni yapiii?kwani kazi za Jeshi lake ni zipi
Jeshi nchi hii ni moja tu JWTZ hivyo vingine ni vikosi mbalimbali. Kikosi cha kuzuia magendo, kikosi cha polisi, kikosi cha mgambo na n.kZanzibar,
Kwa mujibu wa msemaji wa Yanga ndugu Ally Kamwe mchezaji wao wa kati Ibrahim Bacca ni mwanajeshi wa KM Zanzibar hivyo ameomba mashabiki wa Yanga waliopo kwenye vyombo hivyo siku ya BACCA day tarehe 02 , December 2023 waje kumsupport mwenzao na magwanda yao uwanjani
Kwa mujubu wa Rais wa Yanga engineer Hersi amesisitiza ibrahim Bacca walimsajili yanga akiwa hana nafasi ya kucheza lakini uvumilivu wake na mazoezi vimemfanya awe moja ya central defend wa kutegemewa Yanga
Aidha ameomba raia wa kawaida watakaopenda pia juu wavae T shirt za Yanga na msuri au wavae kanzu kumsupport ibrahim Bacca na utamaduni wake wa zanzibar
Je? ni muda gani ibrahim Bacca anatekeleza majukumu yake ya kijeshi ili hali ligi ina mzunguko wa zaidi ya mwaka
alaa alaaa wewe eti?Kuzuia maghendo, sasa ndo hatujui ni yapiii?
Refarii ni tofauti na mchezaji.Kuna yule Refa mshika kibendera anaitwa Komba kwenye ligi kuu Bongo.. yeye ni captain wa jeshi la polisi na kuna muda yuko bize kabisa na majukumu ya kimpira zaid. Nadhan kuna namna wanapewa ruhusa bila kuathiri kazi zao walizoajiriwa kwenye usalama.
Hao ni wanamaji,baharini kuna biashara kubwa ya magendo inafanyikaKuzuia maghendo, sasa ndo hatujui ni yapiii?
Hakika wewe ni pwaguMimi pwagu afu wewe pwaguzi .kwenye ayo majeshi wema sepetu ndo general au ana husika nini .una taja vitu irrelevant visivyo na kichwa wala miguu .
Afu hao KM sija waona apo nilizani utakua na detail za majeshi ya Zanzibari kumbe na wewe ni mweupe tu