G godson njamakuya Senior Member Joined Mar 6, 2021 Posts 170 Reaction score 196 Apr 8, 2022 #41 FisadiKuu said: Nafikiri wanataka kuvilinganisha hivi vyeo vya majeshi yetu maana wakati mwingine wakikutana maafisa wa TPDF na PT kunakuwa na ukakasi wa nani ni mkubwa kwa mwenzake. Mfano Colonel akikutana na SACP nani ni mkubwa kwa mwenzake hapo? Click to expand... Aaah! hapo lazima SACP aangushe saluti kwa Colonel. Kanali ni mkubwa kwa huyo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi.
FisadiKuu said: Nafikiri wanataka kuvilinganisha hivi vyeo vya majeshi yetu maana wakati mwingine wakikutana maafisa wa TPDF na PT kunakuwa na ukakasi wa nani ni mkubwa kwa mwenzake. Mfano Colonel akikutana na SACP nani ni mkubwa kwa mwenzake hapo? Click to expand... Aaah! hapo lazima SACP aangushe saluti kwa Colonel. Kanali ni mkubwa kwa huyo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi.
komrade JF-Expert Member Joined Sep 26, 2019 Posts 207 Reaction score 262 Apr 8, 2022 #42 Cheo kikipanda begani kinanoga. IGP Sirro ameamua kujikumbusha enzi zake za A/Insp