Je, ile kauli ya wanawake hawapendani inaweza kuzaa matunda Oktoba 2025?

Je, ile kauli ya wanawake hawapendani inaweza kuzaa matunda Oktoba 2025?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kuna kamsemo huwa kanasikika sana mitaani hasa pale katika uchaguzi mkuu ambapo unakuta Mgombea mwanamke anapata kura asilimia 0.2 ilihali wapiga kura zaidi ya 50% ni wanawake..

“Wanawake hawapendani….”

Je, kauli hii inaweza kuzaa matunda Oktoba?
 
 
Sio wanawake wa CCM
 
Sio wanawake wa CCM
Mimi ninachojua hawawezi kukubali mwanamke mwenzao awaongoze kwa kumpigia kura.., hiyo ni statistical reality.., roho inawauma sana kuongozwa na mwanamke mwenzao..
 
Mimi ninachojua hawawezi kukubali mwanamke mwenzao awaongoze kwa kumpigia kura.., hiyo ni statistical reality.., roho inawauma sana kuongozwa na mwanamke mwenzao..
Hivi sababu ya Kuwa mgombea mwenza ilikuwa ni nini? Kipindi kile cha...
 
IMG-20250122-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom