FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kuna kamsemo huwa kanasikika sana mitaani hasa pale katika uchaguzi mkuu ambapo unakuta Mgombea mwanamke anapata kura asilimia 0.2 ilihali wapiga kura zaidi ya 50% ni wanawake..
“Wanawake hawapendani….”
Je, kauli hii inaweza kuzaa matunda Oktoba?
“Wanawake hawapendani….”
Je, kauli hii inaweza kuzaa matunda Oktoba?