Je, ilichukua muda gani kuanza kupata faida katika biashara yako?

Hii nimeilewa sana[emoji848][emoji8]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini M/ Mungu anachukua sana uzinzi? Kuliko dhambi nyingine?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sante dear,

Lkn pia mbona ukinywa bia nayo unazingua mwilini?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sijui hata nielezaje.

Dhambi zote ni chukizo kwa Mungu kwa sababu Aliyesema "Usizini" ndiye huyo alisema "Usiibe"

Dhambi nyingine hufanyika nje ya mwili lakini zinaa i juu ya mwili..inahusisha mwili (ndani) na madhara ya zinaa si rahisi kuyakwepa kama ambavyo unaweza yaepuka madhara mengine ya dhambi.

Kwahiyo inasameheka lakini madhara yake Mara nyingi huwa hayaepukiki.

Zinaa inahusisha muunganiko wa wa miili baina ya wanaoifanya..
Gharama yake ni kubwa sana..ni tofauti na ulevi ambao asubuhi unaamka unakojoa mkojo pombe ishaisha.

Siyo kile kimuingiacho mtu kinamtia unajisi,bali kile kimtokacho.
 
Hapa nimekuelewa vizuri sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Uzinzi ndio njia rahisi ya kuingiza maagano yatakayofanikisha kutokufikisha Kaanani yako. Kumbuka wakati wana wa Israel walipokuwa jangwani mfalme alimwita mganga (Hesabu sura ya 23 hadi 25 nafikiri) awalaani wana wa Israel zilijengwa madhabahu saba kwa ajili ya kuwalaani moja baada ya nyingine lakini ikashindikana kuwalaani.

wakaona ujinga huu, wakapeleka mabinti kutoka kwenye hekalu lao, vitu konki kweli kweli wanaume wa Israel ngoma ikawashinda laana zote zilizoshindwa na madhabahu saba wakazipata kupitia ngono hakuna mwanaume hata mmoja aliyetoka Misri aliyeingia Kaanani ispokuwa Kalebu na Yoshua tu.

Ukifuatilia sadaka za kishetani moja wapo ni ngono na wanawake tofauti tofauti lengo ni kuhamisha vitu vyako ulivyowekewa kutoka kwa mwanaume kuvikabidhi kwenye ufalme wa giza wavimiliki.

Shetani vitu anavyomiliki ni kwa kuhamisha kutoka kwa mateka wake, jeshi zuri na rahisi ni la kutumia ngono.
 

Duuh! kumbe haya mambo yana upana mkubwa sana.
Ahsante sana Mkuu,kuna kitu cha muhimu nimekipata kwako,nimekuwa nikisikia watu wakizungumzia sana hili janga kumbe linakuwa hivi!
Karibu tena chief
 
Unaweza kufanya biashara kwa kufwata kanuni za Mungu ? Yaani usiseme uongo ,usiuze Bei kubwa bidhaa zako ?
 
Duuuuh Nami nitasema jambo Baadaye ila wengi walio fanikiwa hata smart phone hawana sasa sijui ushaidi tutaupata wapi? Ila uzinzi unagharimu sana career za watu. Mungu aingilie kati. Mie nafanya Biashara since 2015 na bado sijatoboa sijui ndio uzinzi au nini?. Papuchi huwa nazichakata sana
 
 
Inategemea ni biashara gani; kama ni biashara ya kununua bidhaa na kuziuza, inategemea pia ni biashara ya bidhaa gani na ni mtaji gani uliowekeza. Kama ni biashara ya utaalamu, kama mwanasheria, mhandisi, mthamini wa majengo, msanifu wa majengo, daktari, au mhasibu wa kujitegemea inaweza kukuchukua mpaka miaka miwili hivi katika mazingira ya halali, ila unaweza kutoboa haraka sana ukiwa katika mazingira ya mishen town nyingi na kunapokuwa hakuna ushindani wa kutosha.

Kwenye biashara ya kununua biadhaa na kuziuza, biashara ya chakula kisichooza ndiyo inayokwenda kwa uhakika sana ukiwa na mbinu nzuri za ushindani
 
Hilo linawezekana ukiisoma vizuri operation model yako/business model yako. Cha msingi angalia namna utafikisha chakula Kwa mteja Kwa gharama nafuu, hakuna ufahari kufanya biashara Kwa gharama kubwa Kaka.
 
Mkuu umenichekesha sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-N950U1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…