Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kwa mujibu wa Biblia Mfalme Suleiman alipenda sana Wanawake
1 Wafalme 1-25 "Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo"
Naomba mtujuze je aliyofanya Suleiman ni dhambi pia according to vitabu vingine ukiachana na Biblia?
Namaanisha Biblia inahesabu tabia ya Suleiman haikuwa sahihi mbele za Mungu kwa Kitendo cha kuoaoa Wanawake wengi, Sasa je Vitabu vingine vinatoa msi amo gani? Je vinamhesabia dhambi Mfalme Suleiman au vinaona aliyofanya yako sahihi?
Karibuni tupate elimu
1 Wafalme 1-25 "Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo"
Naomba mtujuze je aliyofanya Suleiman ni dhambi pia according to vitabu vingine ukiachana na Biblia?
Namaanisha Biblia inahesabu tabia ya Suleiman haikuwa sahihi mbele za Mungu kwa Kitendo cha kuoaoa Wanawake wengi, Sasa je Vitabu vingine vinatoa msi amo gani? Je vinamhesabia dhambi Mfalme Suleiman au vinaona aliyofanya yako sahihi?
Karibuni tupate elimu