Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

Kinyes kikapakwa ukutani
 

Kama kawachana hadharani ina maana alitaka watu wengine wote waliosikia wawe mashahidi kutambua familia ina fukuto...
 
Kama lipo basi pengine wengi wetu hatukulijua, na kama halipo Samia anapaswa kurekebisha kauli yake.
 
Kwahiyo ndugu yao ndio kaongea
 
Hadharani kumeleta picha fulani si nzuri kwa maoni ,nlijiuliza mengi
 
Hata familia ya Mengi ilionywa na Askofu.
 
Migogoro ya wasomi na wenye pesa haina madhara, ingekuwa ni kwetu akina Chacha watu wangelimwa mapanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…