Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

Tupangieni tuwajue...watoto wa sitti na huyu bi mdogo....jumla wako 12

na wote wanahudumiwa na watahudumiwa na serikali na wake zao mpaka kufa, na wanaoa wake wawili wawili mmoja mmanga mwingine mweusi wote kwa gharama ya serikali …
 
JK nae anawatoto wengi sana tofauti tofauti ; aliweke vema while he is energetic

Na sisi vijana pia tunaochovya huku na huku tuliweke mapema hili

Kama ingekuwa sio mambo ya
Imani za watu ; I totally discourage mambo ya wake 2 au 3 au 4 . Familia za namna hii huwa hazinaga stability kabisa

Zinakuwaga na vuruga sana kama zile za mengi. Mengi alipozaa tu na yule mtusi kaleta balaaa kubwa

Familia inakuwa bora sana hata mkiwa na mali endapo baba na mama na watoto ni chain
Moja
 
JK nae anawatoto wengi sana tofauti tofauti ; aliweke vema while he is energetic

Na sisi vijana pia tunaochovya huku na huku tuliweke mapema hili

Kama ingekuwa sio mambo ya
Imani za watu ; I totally discourage mambo ya wake 2 au 3 au 4 . Familia za namna hii huwa hazinaga stability kabisa

Zinakuwaga na vuruga sana kama zile za mengi. Mengi alipozaa tu na yule mtusi kaleta balaaa kubwa

Familia inakuwa bora sana hata mkiwa na mali endapo baba na mama na watoto ni chain
Moja
Kama ingekuwa sio mambo ya
Imani za watu ; I totally discourage mambo ya wake 2 au 3 au 4 . Familia za namna hii huwa hazinaga stability kabisa [emoji419][emoji375]
 
Tupangieni tuwajue...watoto wa sitti na huyu bi mdogo....jumla wako 12
Wako pia Watoto wa Mke wa awali aliefariki miaka mingi iliyopita, mmoja wa watoto hao aliitwa Hassan na alifariki nadhan mwaka mmoja uliopita

Familia kugombana ni mambo ya kawaida , cha msingi ni kutovuka mipaka na wakisuluhishwa wasuluhishike

Hata Hayati Edward Sokoine alikuwa na Wake wawili ana wameishi vyema miaka yote hiyo na rabsha za hapa na pale zinarekebishwa
 
Mzee Mwinyi alioa machotara wote, Hadi Binti yake mkubwa wajomba zake wapo Dubai
Tafuta pesa ili nawe ukifa uitwe Hayati, mambo ya Marehemu fulani waachie wapiga kura wako

Hao Machotara wanaangalia salio, huoni Mzee na urefu wote ule alibeba kazi za maana?

Siti na miaka yake 90 yuko vile, alivyokuwa na miaka 30 alikuaje ?

Yule Bi Khadija nmeona picha yake ya miaka ya 70 akiwa Ubalozini Egypt, Hatare tupu Sheikh
Kijana wa Kivule alikuwa anajua ku point
 
Wako pia Watoto wa Mke wa awali aliefariki miaka mingi iliyopita, mmoja wa watoto hao aliitwa Hassan na alifariki nadhan mwaka mmoja uliopita

Familia kugombana ni mambo ya kawaida , cha msingi ni kutovuka mipaka na wakisuluhishwa wasuluhishike

Hata Hayati Edward Sokoine alikuwa na Wake wawili ana wameishi vyema miaka yote hiyo na rabsha za hapa na pale zinarekebishwa
Familia kugombana ni mambo ya kawaida , cha msingi ni kutovuka mipaka na wakisuluhishwa wasuluhishike [emoji419][emoji375]
 
Tafuta pesa ili nawe ukifa uitwe Hayati, mambo ya Marehemu fulani waachie wapiga kura wako

Hao Machotara wanaangalia salio, huoni Mzee na urefu wote ule alibeba kazi za maana?

Siti na miaka yake 90 yuko vile, alivyokuwa na miaka 30 alikuaje ?

Yule Bi Khadija nmeona picha yake ya miaka ya 70 akiwa Ubalozini Egypt, Hatare tupu Sheikh
Kijana wa Kivule alikuwa anajua ku point
Yule Bi Khadija nmeona picha yake ya miaka ya 70 akiwa Ubalozini Egypt, Hatare tupu Sheikh
Kijana wa Kivule alikuwa anajua ku point[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mie nilikuwa sijui kama kuna migogoro, nadhani kuna haja ya waandika hotuba za rais kuwa makini katika uandaaji wa hotuba za rais.
Wengine wanaandikiwa hotuba vizuri kabisa... unashangaa keshahama anachomekea maneno yake...

Ilipata kulalamikiwa kuwa Mzee wa Msoga alikuwa na hii mambo....

Unakuta keshahama siku nyingi anatandika mambo yake... kwenye hotuba hakimo...[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Maslahi ya mada;
1. Mzee Mwinyi alikuwa Mzee sana kiasi cha kutegemewa kufanya maamuzi yoyote! Kwa umri wake alikuwa kama mtoto akifanyiwa kila kitu.

2. Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili. Kama kuna familia za baba na mama mmoja watoto wanatofautiana na kugombana kabisa wazazi wanapofariki si jambo la ajabu kwa watoto wa familia za mitala.

Kwahiyo shida si migogoro bali chanzo chake, wahusika na namna ya kuitatua kupitia sheria ama watu wanaoaminika na kuheshimika.

Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili na watoto kwa kila mke. Kusema hakuna migororo ni kujidanganya kulikopitiliza. Inahitaji akili kubwa ufahamu wa kutosha na hekima kubwa sana mke mkubwa kuwapenda na kuwasaidia watoto wa mke mdogo na hapa hawezi kulaumiwa hata kidogo.

Migogoro mara nyingi huanzia kwenye vipaumbele kwa watoto na mgawanyo wa mali na majukumu ndani ya familia.

Migororo hii huwa ya wazi ama ya kimyakimya ndani ya familia kulingana na weledi, utashi na nafasi ya wazazi kwenye Jamii. Kuna watu kwa kujua ama kutojua huwa wa kwanza kuchochea migogoro hiyo.Wakidhani wanarekebisha kumbe ndio kwanza wanachochea moto

Rais ni binadamu kama wengine si mkamilifu kama mimi na wewe lakini kuna vitu anapaswa kuwa navyo kuwazidi wengine wengi ili aweze kuimudu vema nafasi aliyonayo kijamii. Kwenye msiba wa Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake rais kachochora kidogo na kuzua mijadala isiyokuwa na lazima

Rais katuambia kwamba kwenye familia ya Mzee Mwinyi kuna migogoro na hataki kuisikia ikichachamaa huku akimtaka Hussein Mwinyi rais wa Zanzibar na mtoto mkubwa wa Mzee Mwinyi kwa mke mkubwa alisimamie hilo
Nje ya urais wa Hussein ni mtoto wa marehemu Mzee Mwinyi mwenye ndugu wa kuzaliwa na ndugu kwa mama mdogo.

Je, kwa nafasi yake ya pili ataweza kulimudu hilo? Je, Rais alipaswa kuliongelea hilo mbele ya kadamnasi?

Kuna maneno hayasemwi kwa bahati mbaya. Hizi familia zetu zinajengwa jengwa tu kama vile tutaishi milele. Tukifa, nyingine zina tabia ya kufa hivyo hivyo. Mifano ipo mingi. Unafiki ni tabia yetu binadamu
 
Vijana wakileta jeuri wanatashughulikiwa kuanzia uongozi wao wote ni tamko tu wanaanza kuishi kama yule mtoto wa kwanza wa Nyerere ...

Kawatahadharisha tu..
 
Ametoa kauli hiyo kama kuwaasa tu na kuwakumbusha
Rais Hussein Mwinyi amewashukuru Watanzania wote kwa namna walivyoshiriki kumuuguza na hatimaye kumzika baba yao

Shukrani za kipekee amezipeleka kwa Rais Samia na amemuahidi kuisimamia vema familia kwani akiwa mzima Mzee Mwinyi aliwaita watoto wake wote na kuwaambia Dr Hussein Ndiye atakuwa Msimamizi wa Familia yeye atakapofariki

Hayo ameyasema kwenye Hitma ya hayati Mwinyi iliyoandaliwa na Rais Samia leo mjini Unguja

Source: Global Tv
 
Kuna maneno hayasemwi kwa bahati mbaya. Hizi familia zetu zinajengwa jengwa tu kama vile tutaishi milele. Tukifa, nyingine zina tabia ya kufa hivyo hivyo. Mifano ipo mingi. Unafiki ni tabia yetu binadamu
Rais Hussein Mwinyi amewashukuru Watanzania wote kwa namna walivyoshiriki kumuuguza na hatimaye kumzika baba yao

Shukrani za kipekee amezipeleka kwa Rais Samia na amemuahidi kuisimamia vema familia kwani akiwa mzima Mzee Mwinyi aliwaita watoto wake wote na kuwaambia Dr Hussein Ndiye atakuwa Msimamizi wa Familia yeye atakapofariki

Hayo ameyasema kwenye Hitma ya hayati Mwinyi iliyoandaliwa na Rais Samia leo mjini Unguja

Source: Global Tv
 
Back
Top Bottom