Tupangieni tuwajue...watoto wa sitti na huyu bi mdogo....jumla wako 12
Kama ingekuwa sio mambo yaJK nae anawatoto wengi sana tofauti tofauti ; aliweke vema while he is energetic
Na sisi vijana pia tunaochovya huku na huku tuliweke mapema hili
Kama ingekuwa sio mambo ya
Imani za watu ; I totally discourage mambo ya wake 2 au 3 au 4 . Familia za namna hii huwa hazinaga stability kabisa
Zinakuwaga na vuruga sana kama zile za mengi. Mengi alipozaa tu na yule mtusi kaleta balaaa kubwa
Familia inakuwa bora sana hata mkiwa na mali endapo baba na mama na watoto ni chain
Moja
Kabisa hii ndo mwanzo wa migogolo maeneo mengiKama ingekuwa sio mambo ya
Imani za watu ; I totally discourage mambo ya wake 2 au 3 au 4 . Familia za namna hii huwa hazinaga stability kabisa [emoji419][emoji375]
Wako pia Watoto wa Mke wa awali aliefariki miaka mingi iliyopita, mmoja wa watoto hao aliitwa Hassan na alifariki nadhan mwaka mmoja uliopitaTupangieni tuwajue...watoto wa sitti na huyu bi mdogo....jumla wako 12
Tafuta pesa ili nawe ukifa uitwe Hayati, mambo ya Marehemu fulani waachie wapiga kura wakoMzee Mwinyi alioa machotara wote, Hadi Binti yake mkubwa wajomba zake wapo Dubai
Familia kugombana ni mambo ya kawaida , cha msingi ni kutovuka mipaka na wakisuluhishwa wasuluhishike [emoji419][emoji375]Wako pia Watoto wa Mke wa awali aliefariki miaka mingi iliyopita, mmoja wa watoto hao aliitwa Hassan na alifariki nadhan mwaka mmoja uliopita
Familia kugombana ni mambo ya kawaida , cha msingi ni kutovuka mipaka na wakisuluhishwa wasuluhishike
Hata Hayati Edward Sokoine alikuwa na Wake wawili ana wameishi vyema miaka yote hiyo na rabsha za hapa na pale zinarekebishwa
Yule Bi Khadija nmeona picha yake ya miaka ya 70 akiwa Ubalozini Egypt, Hatare tupu SheikhTafuta pesa ili nawe ukifa uitwe Hayati, mambo ya Marehemu fulani waachie wapiga kura wako
Hao Machotara wanaangalia salio, huoni Mzee na urefu wote ule alibeba kazi za maana?
Siti na miaka yake 90 yuko vile, alivyokuwa na miaka 30 alikuaje ?
Yule Bi Khadija nmeona picha yake ya miaka ya 70 akiwa Ubalozini Egypt, Hatare tupu Sheikh
Kijana wa Kivule alikuwa anajua ku point
Bi mdogo anaitwa Siti na ndie Mama Mzazi wa HusseinWakat Mwinyi anaongea ukimtizama Bi mdogo tu unajua kabisa Kuna katabia flani hivi anacho ambacho sio kizur
Wengine wanaandikiwa hotuba vizuri kabisa... unashangaa keshahama anachomekea maneno yake...Mie nilikuwa sijui kama kuna migogoro, nadhani kuna haja ya waandika hotuba za rais kuwa makini katika uandaaji wa hotuba za rais.
Maslahi ya mada;
1. Mzee Mwinyi alikuwa Mzee sana kiasi cha kutegemewa kufanya maamuzi yoyote! Kwa umri wake alikuwa kama mtoto akifanyiwa kila kitu.
2. Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili. Kama kuna familia za baba na mama mmoja watoto wanatofautiana na kugombana kabisa wazazi wanapofariki si jambo la ajabu kwa watoto wa familia za mitala.
Kwahiyo shida si migogoro bali chanzo chake, wahusika na namna ya kuitatua kupitia sheria ama watu wanaoaminika na kuheshimika.
Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili na watoto kwa kila mke. Kusema hakuna migororo ni kujidanganya kulikopitiliza. Inahitaji akili kubwa ufahamu wa kutosha na hekima kubwa sana mke mkubwa kuwapenda na kuwasaidia watoto wa mke mdogo na hapa hawezi kulaumiwa hata kidogo.
Migogoro mara nyingi huanzia kwenye vipaumbele kwa watoto na mgawanyo wa mali na majukumu ndani ya familia.
Migororo hii huwa ya wazi ama ya kimyakimya ndani ya familia kulingana na weledi, utashi na nafasi ya wazazi kwenye Jamii. Kuna watu kwa kujua ama kutojua huwa wa kwanza kuchochea migogoro hiyo.Wakidhani wanarekebisha kumbe ndio kwanza wanachochea moto
Rais ni binadamu kama wengine si mkamilifu kama mimi na wewe lakini kuna vitu anapaswa kuwa navyo kuwazidi wengine wengi ili aweze kuimudu vema nafasi aliyonayo kijamii. Kwenye msiba wa Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake rais kachochora kidogo na kuzua mijadala isiyokuwa na lazima
Rais katuambia kwamba kwenye familia ya Mzee Mwinyi kuna migogoro na hataki kuisikia ikichachamaa huku akimtaka Hussein Mwinyi rais wa Zanzibar na mtoto mkubwa wa Mzee Mwinyi kwa mke mkubwa alisimamie hilo
Nje ya urais wa Hussein ni mtoto wa marehemu Mzee Mwinyi mwenye ndugu wa kuzaliwa na ndugu kwa mama mdogo.
Je, kwa nafasi yake ya pili ataweza kulimudu hilo? Je, Rais alipaswa kuliongelea hilo mbele ya kadamnasi?
Rais Hussein Mwinyi amewashukuru Watanzania wote kwa namna walivyoshiriki kumuuguza na hatimaye kumzika baba yaoAmetoa kauli hiyo kama kuwaasa tu na kuwakumbusha
Rais Hussein Mwinyi amewashukuru Watanzania wote kwa namna walivyoshiriki kumuuguza na hatimaye kumzika baba yaoKuna maneno hayasemwi kwa bahati mbaya. Hizi familia zetu zinajengwa jengwa tu kama vile tutaishi milele. Tukifa, nyingine zina tabia ya kufa hivyo hivyo. Mifano ipo mingi. Unafiki ni tabia yetu binadamu
Huyu mzee na maza ni pipa na mfuniko, itakuwa maza anamuiga huyo mzee🤣Ilipata kulalamikiwa kuwa Mzee wa Msoga alikuwa na hii mambo....