Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Kwenu wataalam wa mambo ya afya!
Hivi inachukua kipindi gani toka siku ya kupata maambukizi ya VVU mpaka kuanza kuonyesha baadhi ya dalili kama kukohoa sana, kupungua uzito mpaka kuwa na magonjwa mengi nyemelezi?
Tufahamishane wadau! MziziMkavu na wengineo njooni muokoe jahazi!
Duuh, ina maana wakati mnampima yeye alikuwa hajitambui? Au ni mtoto kiasi kwamba mnaweza kuchukua damu yake bila ridhaa yake? Mi nadhani fanyeni mpango siku akiugua mumuungnishe na wataalam wa ushauri nasaha ndio wafanye kazi kuliko nyie ambao huenda hamna uzoefu wa kutoa taarifa mshituko kama hizo! Ni wazo tu lakini, uamuzi bado ni wenu wenyewe!Asante Dr,kwa maelezo yakitaalam ninae anko wangu tumemfanyia test tumekuta positive tunatafuta style yakumwambia nayy nadhani yuko kwenye hicho kipindi cha ukimya mwanzo alikuwa anasumbuliwa sana na tumbo kisha kuharisha lkn sasa yuko sawa anaendelea na shughuli zake
Duuh, ina maana wakati mnampima yeye alikuwa hajitambui? Au ni mtoto kiasi kwamba mnaweza kuchukua damu yake bila ridhaa yake? Mi nadhani fanyeni mpango siku akiugua mumuungnishe na wataalam wa ushauri nasaha ndio wafanye kazi kuliko nyie ambao huenda hamna uzoefu wa kutoa taarifa mshituko kama hizo! Ni wazo tu lakini, uamuzi bado ni wenu wenyewe!
Duuh, ina maana wakati mnampima yeye alikuwa hajitambui? Au ni mtoto kiasi kwamba mnaweza kuchukua damu yake bila ridhaa yake? Mi nadhani fanyeni mpango siku akiugua mumuungnishe na wataalam wa ushauri nasaha ndio wafanye kazi kuliko nyie ambao huenda hamna uzoefu wa kutoa taarifa mshituko kama hizo! Ni wazo tu lakini, uamuzi bado ni wenu wenyewe!
Dada yangu ni Dr,sasa yy anakawaida yakuwapima watt wake kila baada ya miezi mi3 sasa huyu anko anaishi nahao ndg zake ss kuna cku Dada aliamua kuwapima wt Ikaonekana wenzie wako vzr lkn yy ana maambukiz dada alikosa ujasiri wakumwambia Ikabidi aniambie mimi ikibidi nimuite niongee nae then akapime nikamwambia jambo hili ni gumu vunginevyo tumtegee akiumwa tuunganishe huko huko hopt apate majibu then tuanzie hapo lkn tukaona kwamba ataendelea kuusambaza pia ni hatari kwake sasa nimeshauri yy Dada ajaribu kukaa nae aongee nae km mam then amshawishi aende kupima yaani hadi sasa hatujajua kipi tufanye Tunafikiria namna atakavyopokea majibu
Kunywa pep mapema. Usije ukajutiajamani virus au blood enye virus inakuwa kwenye hewa for how long ndio iwe weak,because kuna mzee kumbe anakuaga muathirika humu gari lake limebiringika mtaaani tu sasa katika kumtoa ndani damu yake ikanirukia jichoni na kwenye boil mguuni yaani sielewi niko hosy halafu shida ni ile nurses wananchanganya mimi wengine wanataka nipewe dawa wengine wanasema nisipewe nipeeni ushauri nipo kwenye kuchanganyikiwaπππππππππ