Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Kwenu wataalam wa mambo ya afya!
Hivi inachukua kipindi gani toka siku ya kupata maambukizi ya VVU mpaka kuanza kuonyesha baadhi ya dalili kama kukohoa sana, kupungua uzito mpaka kuwa na magonjwa mengi nyemelezi?
Tufahamishane wadau! MziziMkavu na wengineo njooni muokoe jahazi!
Hivi inachukua kipindi gani toka siku ya kupata maambukizi ya VVU mpaka kuanza kuonyesha baadhi ya dalili kama kukohoa sana, kupungua uzito mpaka kuwa na magonjwa mengi nyemelezi?
Tufahamishane wadau! MziziMkavu na wengineo njooni muokoe jahazi!
Last edited by a moderator: