Je, inachukua muda gani kuona dalili za maambukizi ya HIV?

H
Hao nurses wanabishania uhai wako...pewa dawa kwani ukipewa dawa ukawa hujawa infected ina madhara kwako?
 
Ndugu zangu wa jf nilipendaa kuuliza ya kuwa vipimo ya kawaida vya hospitali HIV TEST vinapima ukimwi ata kwa mwezi mmoja toka ulipoo fanya tendo hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…