mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
aah wengi lazma waende nje bila shaka hata kimwana wako hua wanamloweka sasa mmh
Kwani una tatizo nae?
Mimi navyo elewa mwanamke unamtoa bikira akisha kuwa mke wako.
Sasa dogo wewe umeisha mtoa bikira bado hata hajaingia ndani, sijui kama kuna usalama tena, mana bikira bado iko nje...na huko kuna wanaume kama wewe lazima watanusa harufu tu kama chakula kimeisha iva kiko tayari kuliwa.
Pole sana, anaglieni msitoe bikira wasichana mnao taka kuwaoa, wakuolewa anahifadhiwa, habikiriwi kabla ya kuolewa.
Wewe unajuwa kumbe huwezi kuiendesha gari toka show room mpaka uuwe umeilipia. Sasa umefanya wizi na watu wa show room si lazima watakudai? Basi lipia halafu uketi nalo.
Mwanamke umesha mharibu kabla huja muowa. Sasa ni vizuri um owe ili awe mama watoto wako. GOOD LUCK.
kwa mtindo huo atamaliza vidume wote na asiridhike vile vile.Malengo yako yalikuwa nini? si uoe? ila kama una options here we go:-
Mwache atest varieties! aone zingine zikoje akirudi kwako whether kwa sababu wewe ni kijogoo or not mkioana siku akizidiwa akatoka nje atarudi! lakini ukimuoa ajatest siku akateleza nje akajua kuna za tofauti umempoteza. .lol. ofcourse sababu umetoa options :juggle:
ukijua anajua maisha kashacheza haisumbui tena hao ndo wanatulia haswa maana wanajua nini ni nini. Mie sijaoa bado.
na hofu baadae asije akabadilika akataka "kuona dunia"kwa upande wa pili ikoje!
Mimi navyo elewa mwanamke unamtoa bikira akisha kuwa mke wako.
Sasa dogo wewe umeisha mtoa bikira bado hata hajaingia ndani, sijui kama kuna usalama tena, mana bikira bado iko nje...na huko kuna wanaume kama wewe lazima watanusa harufu tu kama chakula kimeisha iva kiko tayari kuliwa.
Pole sana, anaglieni msitoe bikira wasichana mnao taka kuwaoa, wakuolewa anahifadhiwa, habikiriwi kabla ya kuolewa.