Je Inapendeza kuoa binti uliyemtoa bikira..

Je Inapendeza kuoa binti uliyemtoa bikira..

Malengo yako yalikuwa nini? si uoe? ila kama una options here we go:-

Mwache atest varieties! aone zingine zikoje akirudi kwako whether kwa sababu wewe ni kijogoo or not mkioana siku akizidiwa akatoka nje atarudi! lakini ukimuoa ajatest siku akateleza nje akajua kuna za tofauti umempoteza. .lol. ofcourse sababu umetoa options :juggle:
 
Mimi navyo elewa mwanamke unamtoa bikira akisha kuwa mke wako.

Sasa dogo wewe umeisha mtoa bikira bado hata hajaingia ndani, sijui kama kuna usalama tena, mana bikira bado iko nje...na huko kuna wanaume kama wewe lazima watanusa harufu tu kama chakula kimeisha iva kiko tayari kuliwa.

Pole sana, anaglieni msitoe bikira wasichana mnao taka kuwaoa, wakuolewa anahifadhiwa, habikiriwi kabla ya kuolewa.

una maana "maji yameshamwagika hayazoleki" kwa hyo ntafute "virgin"ingine niilinde hadi ndoa..sasa si ntakufa na maradhi.
 
Wewe unajuwa kumbe huwezi kuiendesha gari toka show room mpaka uuwe umeilipia. Sasa umefanya wizi na watu wa show room si lazima watakudai? Basi lipia halafu uketi nalo.

Mwanamke umesha mharibu kabla huja muowa. Sasa ni vizuri um owe ili awe mama watoto wako. GOOD LUCK.

unatumia kifungu gan cha katiba kunihukumu hivyo,na sina maana huyo ni wa kwanza bali nataka kujua hatma yangu mi na yeye..
 
Malengo yako yalikuwa nini? si uoe? ila kama una options here we go:-

Mwache atest varieties! aone zingine zikoje akirudi kwako whether kwa sababu wewe ni kijogoo or not mkioana siku akizidiwa akatoka nje atarudi! lakini ukimuoa ajatest siku akateleza nje akajua kuna za tofauti umempoteza. .lol. ofcourse sababu umetoa options :juggle:
kwa mtindo huo atamaliza vidume wote na asiridhike vile vile.
 
Mimi navyo elewa mwanamke unamtoa bikira akisha kuwa mke wako.

Sasa dogo wewe umeisha mtoa bikira bado hata hajaingia ndani, sijui kama kuna usalama tena, mana bikira bado iko nje...na huko kuna wanaume kama wewe lazima watanusa harufu tu kama chakula kimeisha iva kiko tayari kuliwa.

Pole sana, anaglieni msitoe bikira wasichana mnao taka kuwaoa, wakuolewa anahifadhiwa, habikiriwi kabla ya kuolewa.


fazaa hapo kwenye red nakuunga mkono kwa 100%
 
Back
Top Bottom