Je, inawezakana kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mahusiano(affiliation) yoyote na madhehebu ya kidini?

Hili ni andiko ndani ua waraka wa mtume pauko kwa kanisa la waebrania,(tayari kulikuwa kumeumdwa kanisa). Swali
Je kuna uwezekano wa kumwabudu mungu pasipo dini.
Tambua kanisa sio dini ila ni sehemu ya jumuia katika dini na kanisa ni kutaniko inamaana ni dhehebu au jumuia moja wapo. Nafikiri jibu la mtoa mada linapatikana zaidi agano la kale katika vitabu vi5 vya awali vilivyoandikwa na musa. Kwakuwa katika hvyo ndimo mianzo ya vyote duniani ilipochorewa hasa kitabu cha MWANZO
 
Na hivi ndio inavyokuwa badala mtu autafute ukweli anakimbilia atheism, huko nako unaenda kukutana na misimamo ambayo utalazimika uifuate na kuisimamia. Kwenye atheism si kwamba utapata ukweli ambao unautafuta bali huko utaambiwa tu uache kuamini, ndio suluhisho la kutosumbua akili. Utakuta orodha ya vitu ambavyo hutakiwi kuviamini kisa tu hakuna maelezo ya kisayansi.
 
Kudos. Watu mnaamka sasa.

Religion must go!

Huitaji kumuamini wala kumwabudu Mungu.

Unahitaji kujiamini wewe mwenyewe.
Watu wanahitaji ukweli na sio kutokuamini Mungu tu, huko kutoamini Mungu ni sehemu ya uchaguzi tu na ndio maana tunaona wasioamini Mungu nao w wanatoka huko na kuwa waamini Mungu, sasa ingekuwa kutoamini Mungu ndio ukweli wenyewe basi tusingeona wapinga uwepo wa Mungu kuacha huo msimamo.

Wewe kukosoa imani ya Mungu haikufanyi kuwa wewe na huo msimamo wako upo sahihi, chunguza huo msimamo wako nawe kama upo sahihi usitumie nguvu nyingi kubishana na kupinga uwepo wa Mungu tu. Umezaliwa umekuta watu wana misimamo hiyo uliyonayo(atheism).
 
The fact an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.

Wala hata huitaji kusoma sana kujua kwamba hakuna Mungu.
Muhimu kusema ukweli kuwa huo ni mtazamo wa atheists ila wengine wana mitazamo tofauti kama Agnostics. Tatizo wewe unataka ionekane madai ya kwamba hakuna Mungu ndio ukweli na si mtazamo tu wa watu.
 
Ila siku zote mkuu hakuna kitu ambacho huwezi kutia kasoro au kukosoa.
 
Unaelewa maana ya ubatizo? Muumini anabatizwa katika Kristu (baptized into Christ) - His body, His church; ^you are the body of Christ and individual members of it.^ 1Cor 12:13, 27

Ukisema Agano la Kale hakukuwa na kanisa unakosea kukubwa kwa vile Adamu na Hawa ndilo kanisa la kwanza. Nyumba ya Nuhu ilikuwa kanisa la Mungu. Nyumba ya Ibrahimu pia. Kisha Isaka, Yakobo na wana wa Israeli.

-The eye cannot say to the hand, I have no need of you, nor again the head to the feet, I have no need of you (1Cor 12:21).

-But God has so composed the body, giving greater honor to the part that lacked it, that there may be no division in the body, but that the members may have the same care for one another. If one member suffers, all suffer together, if one member is honored, all rejoice together. (1Cor 12:24-26).

-There is one body and one Spirit - just as you were called to the one hope that belongs to your call - one Lord, one faith, one baptism, one God and Father of all (Ephesians 4:4-6).

-For no one ever hated his own flesh, but nourishes and cherishes it, just as Christ does the church, because we are members of His body. Therefore a man shall leave his father and mother and hold fast to his wife, and the two shall become one flesh. This mystery is profound, and I am saying that it refers to Christ and the church. (Ephesians 5:29-32)
 
Absolutely Hakuna Mahali Kwenyr Biblia,Quran Bhagavad Gita au Sehemu yoyote kwenye Vitabu vitakatifu waliagiza Tumuabudu Mungu Kupitia Dhehebu Fulani..

Hata Hao Viongozi wa Kidini hawakuwahi Kuwa na Madhehebu
Hivi mkuu dini ni nini? Na una maoni gani kuhusu hoja ya kutenganisha dini na Mungu?
 
Wewe unawashwa sio?

Kuna sehemu nimetaka mtu asiamini uwepo wa Mungu?
 
Muhimu kusema ukweli kuwa huo ni mtazamo wa atheists ila wengine wana mitazamo tofauti kama Agnostics. Tatizo wewe unataka ionekane madai ya kwamba hakuna Mungu ndio ukweli na si mtazamo tu wa watu.
Wapi nimetaka?

Hivi wewe unawashwa au?
 
Haiwezekani
 
Madhehebu ya dini yana nafasi gani katika utatibu wa jinsi kumuabudu Mungu?
 
Ni Roman Catholic la mitume, chini ya Petro kama kiongozi mkuu mengine ni kuisumbua tuu
 
Ufalme ni dhana ya kibinadamu. Kwanini Mungu awe na ufalme? Je Mungu ni mfalme?
Kama ndiyo, ameanza kuwa mfalme lini? maana dhana ya ufalme ilitokea baada ya jamii za wanadamu kuwa kubwa na mifumo ya kiutawala kuibuka.

Pia, siku hizi ufalme ni dhana iliyopitwa na wakati. Tofauti na zamani ambapoewafalme waliogopwa na kuheshimika mno. Sasa, dunia nzima amebaki mfalme mswati na wenzake wasiozidi 50, wengi wao wakiwa ceremonial figures wasio na ushawishi wala nguvu yoyote ya maana kwenye jamii.
Miaka kadhaa ijayo, watu watasahau mambo ya ufalme. Je, unaona jinsi mfalme mungu anavyokosa relevance.. like who cares about mfalme anymore?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…