Atakuwa na fine nyingi tu kwa kuchelewa kulipa kwa viwanja vitatu kwa hiyo miaka sita. Na sasa tayari land rent ni ya 2021-2022. Kwa kuwa kiasi anachodaiwa kitakuwa kikubwa kidogo, nadhani ataruhusiwa kulipa kwa awamu akienda ofisi ya mipango jiji mahali viwanja vyake vipo. Imewakuta wengine, na wakaruhusiwa kwa awamu mbili au hata tatu wakamilishe