Nahisi Una hamu na chapati wewe??Habari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..
nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?
Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea
Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?
View attachment 3120224
Kwahiyo mimi ni mjomba tu siyo😀😀 umetutukana mkuuHumu wote ma-men
ID fake nyie wote ma-uncle tu mnatuzuga..Kwahiyo mimi ni mjomba tu siyo😀😀 umetutukana mkuu
Umewahi kufuatilia love is blind netflix? Majibu yako yamo humoHabari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..
nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?
Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea
Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?
View attachment 3120224
Mbona huyu memba ni Me...🤔
Haaa mjomba financial miye😀 fresh tu lknID fake nyie wote ma-uncle tu mnatuzuga..
Cake ya birthday & graduu vyote umeniblock. Achana na mimi.Haaa mjomba financial miye😀 fresh tu lkn
Salaaam, nakusalimu pia.Salaam!. Nakusalimu mpendwa.
Wachana na namba ukianza kurudi chuo pitia njia ya Dodoma. Tuonetuma namba nikupigie tuone
Penye miti hakunaga wajenzi, sie wengine hatupatagi bahati kama hizi...😋Wachana na namba ukianza kurudi chuo pitia njia ya Dodoma. Tuone
ngoja nikaiangalieUmewahi kufuatilia love is blind netflix? Majibu yako yamo humo
Wew ahadi nyingi, 😂😂 Halafu unaingia mitini.Penye miti hakunaga wajenzi, sie wengine hatupatagi bahati kama hizi...😋
Nipo kwenye pepa, ngoja nimalize mitihani ya semester ya mwisho hapa isanga naamini nitakua nimemaliza na kifungo...😉Wew ahadi nyingi, 😂😂 Halafu unaingia mitini.
Changamka Ushi😊Nipo kwenye pepa, ngoja nimalize mitihani ya semester ya mwisho hapa isanga naamini nitakua nimemaliza na kifungo...😉
Yaah, kupenda kwetu kunahitaji sababu kidogo sana, tukimpenda mtu tunapenda mpaka kilicho chake, hata kama ni feki.Maandishi majina feki na picha za celebrities ila wanaume mmejaaliwa mapendo mengi
Yes,it is possibleHabari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..
nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?
Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea
Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?
View attachment 3120224
Jaribu uone inavyo kuwaHabari za jioni/ Usiku ni nzuri.
Ndio naweza kumpenda mtu kwa sauti tu. Hata kama sijawahi kuonana nae Ndiooo. 😊
Ila ya kumpenda deeply ile kimapenzi 🥰 hata Mimi sijui, Na sinauhakika inakuaje.
Akija kukuacha sasa, unaumwa mwili na roho. Mbaya sana hii haliImenitokea humu,
Naweza sema inawezekana.