Je, inawezekana kumpenda mtu deeply bila kumuona?

Je, inawezekana kumpenda mtu deeply bila kumuona?

Habari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..

nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?

Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea

Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?

View attachment 3120224
Nahisi Una hamu na chapati wewe??
 
Habari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..

nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?

Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea

Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?

View attachment 3120224
Umewahi kufuatilia love is blind netflix? Majibu yako yamo humo
 
Habari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..

nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?

Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea

Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?

View attachment 3120224
Yes,it is possible
Ila pande mbili zote muwe na hiyo hali
 
Habari za jioni/ Usiku ni nzuri.

Ndio naweza kumpenda mtu kwa sauti tu. Hata kama sijawahi kuonana nae Ndiooo. 😊
Ila ya kumpenda deeply ile kimapenzi 🥰 hata Mimi sijui, Na sinauhakika inakuaje.
Jaribu uone inavyo kuwa
 
Itakua upendo ni kitu subjective sana kama ndio hivyo, kwa maana kila mtu ako na namna yake ya kutengeneza hisia za upendo kwa mtu.
 
Back
Top Bottom