Je, inawezekana kutundikiwa 'drip' kwa sababu ya kuvunjika mguu?

Je, inawezekana kutundikiwa 'drip' kwa sababu ya kuvunjika mguu?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Kuna ushahidi kuwa Mhe. yule alitundikiwa drip wakati akipata matibabu ya kuvunjika mguu kwa madai kuwa alivamiwa na watu watatu wasiojulikana, wakati wengine wakidai alianguka kwenye ngazi kutokana na kupiga urabu kupindukia.

Swali langu kwa wataalamu wa afya, je, ni kwa nini mgonjwa wa kuvunjika mguu sehemu ya chini - ankle anatundikiwa drip endapo hakupata bleeding- hakuvuja damu? Ila angekuwa na kidonda wasingefunga POP aka muhogo kwanza. Je, alikosa hata uwezo wa kufungua mdomo na kula kama ilikuwa ni kupata glucose? Nini hasa ilikuwa kazi ya hayo maji dawa? Je, kulikuwa na dawa ya kupelekwa kwenye sehemu ambapo mguu umevunjika? Au ili kuwa ni ganzi? Kama ni ganzi, je, ganzi ya namna hii ipo kweli?

1592194109125.png

Source: Police say attack on Mbowe doubtful for lack of evidence
 
Kuna ushahidi kuwa Mhe. yule alitundikiwa drip wakati akipata matibabu ya kuvunjika mguu kwa madai kuwa alivamiwa na watu watatu wasiojulikana, wakati wengine wakidai alianguka kwenye ngazi kutokana na kupiga urabu kupindukia.

Swali langu kwa wataalamu wa afya, je, ni kwa nini mgonjwa wa kuvunjika mguu sehemu ya chini - ankle anatundikiwa drip? Je, alikosa hata uwezo wa kufungua mdomo na kula kama ilikuwa ni kupata glucose? Nini hasa ilikuwa kazi ya hayo maji dawa? Je, kulikuwa na dawa ya kupelekwa kwenye sehemu ambapo mguu umevunjika? Au ili kuwa ni ganzi? Kama ni ganzi, je, ganzi ya namna hii ipo kweli?

View attachment 1478927
Aliongezewa damu maana alivuja damu nyingi
 
Hahahaha mambo mengine sio ya kucheka lkn inabid kucheka tu wacha nipite zangu 😂😂😂
 
Kwa hiyo Siasa hadi kwenye Drip!? 😀 Tanzania sihami.
 
Pili hivi mgonjwa tulimuona akisalimiana na viongozi wakuu ,polisi kwa nini hawakuchukua maelezo kwa mtendewa.
 
Kuna ushahidi kuwa Mhe. yule alitundikiwa drip wakati akipata matibabu ya kuvunjika mguu kwa madai kuwa alivamiwa na watu watatu wasiojulikana, wakati wengine wakidai alianguka kwenye ngazi kutokana na kupiga urabu kupindukia.

Swali langu kwa wataalamu wa afya, je, ni kwa nini mgonjwa wa kuvunjika mguu sehemu ya chini - ankle anatundikiwa drip endapo hakupata bleeding- hakuvuja damu? Je, alikosa hata uwezo wa kufungua mdomo na kula kama ilikuwa ni kupata glucose? Nini hasa ilikuwa kazi ya hayo maji dawa? Je, kulikuwa na dawa ya kupelekwa kwenye sehemu ambapo mguu umevunjika? Au ili kuwa ni ganzi? Kama ni ganzi, je, ganzi ya namna hii ipo kweli?

View attachment 1478927
Source: Police say attack on Mbowe doubtful for lack of evidence
Nenda ukasome upya matumizi ya dripu Kaka, usiwe unawahi kufanya conclusion ilhali unaweza kwenda hata Google ukapata ufahamu hata kidogo tu kuliko kuuliza ulichouliza
 
Nenda ukasome upya matumizi ya dripu Kaka, usiwe unawahi kufanya conclusion ilhali unaweza kwenda hata Google ukapata ufahamu hata kidogo tu kuliko kuuliza ulichouliza
Uzi upo clear

"...wataalamu wa afya nisaidieni.." hakuna sehemu kahitimisha juu ya alichoandika. Ametoa uwanja wa wataalamu zaidi waje kujibu.

Wewe unakuja kumwambia akajifunze zaidi juu ya drip.

Mzee upo sawa?
 
Aliongezewa damu maana alivuja damu nyingi
Nenda ukasome upya matumizi ya dripu Kaka, usiwe unawahi kufanya conclusion ilhali unaweza kwenda hata Google ukapata ufahamu hata kidogo tu kuliko kuuliza ulichouliza

Nimesoma matumizi ya drip kufuatia ushauri wako na kukuta moja ya sababu ni kuondoa hangover (angalia namba 7 kwenye source chini)!

Source: Why drip? - IV Bar.
 
Uzi upo clear

"...wataalamu wa afya nisaidieni.." hakuna sehemu kahitimisha juu ya alichoandika. Ametoa uwanja wa wataalamu zaidi waje kujibu.

Wewe unakuja kumwambia akajifunze zaidi juu ya drip.

Mzee upo sawa?
Rudia kusoma Uzi, ameuliza kwanini amewekewa dripu ikiwa mgonjwa hakuvuja damu hapo maana yake anataka kusema mtu akiwa na "closed fracture" hawezi kupata bleeding kitu ambacho si kweli maana kuna uwezekano wa kuwa na internal bleeding ambayo inaweza kupelekwa hypovolemic shock ndio sababu akawekewa IV fluid (drip).

Halafu pia Mimi sipo kisiasa kama unavyowaza, so kuniuliza kama ni mzima au si mzima jiuluze wewe Kwanza Hilo swali.
 
Nimesoma matumizi ya drip kufuatia ushauri wako na kukuta moja ya sababu ni kuondoa hangover (angalia namba 7 kwenye source chini)!

Source: Why drip? - IV Bar.
Lakini drip ya mbowe ilikua ni ku_restore fluid iliyopotea kutokana na fracture aliyopata, kuhusu hangover sijui maana sina uhakika kama alikua amelewa kweli
 
Rudia kusoma Uzi, ameuliza kwanini amewekewa dripu ikiwa mgonjwa hakuvuja damu hapo maana yake anataka kusema mtu akiwa na "closed fracture" hawezi kupata bleeding kitu ambacho si kweli maana kuna uwezekano wa kuwa na internal bleeding ambayo inaweza kupelekwa hypovolemic shock ndio sababu akawekewa IV fluid (drip).

Halafu pia Mimi sipo kisiasa kama unavyowaza, so kuniuliza kama ni mzima au si mzima jiuluze wewe Kwanza Hilo swali.
Umeona sasa? Hiki ulichoandika sasa hivi ndiyo ungeandika pale mwanzo ili wote tujifunze na tujue.

Hata mimi sipo kisiasa. Ila ulikua umetoka mno nje ya uzi ndiyo maana nikauliza vile.

Samahani kama nimekukera.
 
Umeona sasa? Hiki ulichoandika sasa hivi ndiyo ungeandika pale mwanzo ili wote tujifunze na tujue.

Hata mimi sipo kisiasa. Ila ulikua umetoka mno nje ya uzi ndiyo maana nikauliza vile.

Samahani kama nimekukera.
Samahani pia Kaka kama nilikosea, ni katika kueleweshana tu lakini
 
Lakini drip ya mbowe ilikua ni ku_restore fluid iliyopotea kutokana na fracture aliyopata, kuhusu hangover sijui maana sina uhakika kama alikua amelewa kweli
fracture kwenye mfupa wakati nyama na ngozi zipo intact, sasa hiyo fluid ilipoteaje? na ni fluid ipi? bone marrow?
 
Aliongezewa damu maana alivuja damu nyingi
Ilivujia wapi? Kama kwenye sehemu iliyovunjika, sidhani kama ingepigwa POP ili kupisha kupona kidonda na urahisi wa dressing.
 
flacture kwenye mfupa wakati nyama na ngozi zipo intact, sasa hiyo fluid ilipoteaje? na ni fluid ipi? bone marrow?
Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa "internal bleeding" maana hapo kuna uwezekano mfupa ulipovunjika uli_puncture some blood vessels so kuvujia damu ndani inawezekana Sana tu kaka
 
Back
Top Bottom