Ndio maana fracture zipo za Aina mbili, kuna "closed fracture" kama aliyopata mbowe na pia kuna "open fracture" , na hizo fracture mbili pia zimegawanyika zaidi so mtu kuvunjika mfupa haimaanishi mpaka utokee kwa nje so anaweza kuvunjika na skin ikabaki kuwa intact hivyo hivyo
Vile vile hata management ya hizo fracture mbili ni tofauti pia ndio maana unaona amefungwa POP
ujinga mwingine muwe mnajadili wenyewe huko lumumba wapumbavu nyinyie. mtu hujui hata kazi za drip kisha uwe umemaliza hata form four?hujui kuwa drip zinatumika kupandisha sukari ya mgonjwa ili awe stable na matibabu yaendlee?