mfano king'amuzi cha azam kina port mbili tofauti za output za hdmi na zile za kawaida za audio na video
hapo utachagua mwenyewe port ya kutumia kama ni hdmi au hio av cable.
kama utaamua ni hdmi itabidi utafute hdmi splitter
hapo unachomeka waya mmoja wa hdmi na hio splitter inakupa port 4 za output ambazo unaweza eka tv 4 tofauti.
kama utachagua av cable nayo hivyo hivyo utanunua spliter yake na kusambaza japo sijawahi ona hio splitter naona to switch.
njia nyengine rahisi ni kucheza na port za tv connect tv ya kwanza na decoder yako halafu tv ya pili itapata signal toka tv ya kwanza na tv ya tatu itapata signal toka tv ya pili. cheza tu na input na output cable