Je inawezekana kuunganisha kin'gamuzi kimoja TV tatu?

Je inawezekana kuunganisha kin'gamuzi kimoja TV tatu?

Naombeni niululize jaman... Naskiaga kuna receiver ambazo zinafungua channel zote za kulipia mf. Super sports chanel e n. K kwa hapa dar zinapatikana wap??
 
Bana mnyanga1 nadhani uliwahi kuona tu tv ikibadilisha station kwa remote lakini hukufuatilia kinachofanyika. Kwa kawaida Kingamuzi kimoja kinakamata station moja at a time, k9nachofanyika ni kwamba unakua na ving'amuzi vingi kila kimoja na station yake unaingiza signal ya kutoka kwenye kila kisimbuzi kwenye Mixer then mixer ndio inatoa RF kupeleka kwenye TV katika signal tofauti kwenye RF format kama mawimbi yanayorushwa na tv station hivyo unaweza kuzitune kama station za kawaida za tv.
Technology inabadilika kila cku... usiwe static
 
Je inawezekana kuunganisha king'amuzi kimoja(mfano Azam) na tv mbili au tatu vyumba tofauti ?
Zote kuonesha channel chaneli iliyo chaguliwa sio shida.
Kwa C Band tunatumia Single Solution. LNB moja receiver nyingi upendavyo.
 
Wakuu namimi naombeni kuongezea swali hapo..vipi kwa mtu anaetumia cable,je anaweza akapata channels zinazoonyeshwa na iyo kampuni ya cable kwenye tv mbili tofauti kwa kutumia cable iyo iyo moja?
 
Wakuu namimi naombeni kuongezea swali hapo..vipi kwa mtu anaetumia cable,je anaweza akapata channels zinazoonyeshwa na iyo kampuni ya cable kwenye tv mbili tofauti kwa kutumia cable iyo iyo moja?

ndio unapata chanell zote, huku kwetu walikuwa wanaibiwa sana na sindano/pini watu wanachomeka na waya nyembamba then na wao wanaona chanell zote.

sema kuna baadhi ya jamaa wa cable siku hizi nao wana ving'amuzi vyao unaeka na antenna, hawa huwezi kuwachakachua
 
Mkuu ebu nipe maujanja hapo nafanya connection ya namna gani? TV ya sitting room ndo imeunganishwa na cable,nataka niunganishe na Tv ya chumbani pia kwa same cable

ndio unapata chanell zote, huku kwetu walikuwa wanaibiwa sana na sindano/pini watu wanachomeka na waya nyembamba then na wao wanaona chanell zote.

sema kuna baadhi ya jamaa wa cable siku hizi nao wana ving'amuzi vyao unaeka na antenna, hawa huwezi kuwachakachua
 
Mkuu ebu nipe maujanja hapo nafanya connection ya namna gani? TV ya sitting room ndo imeunganishwa na cable,nataka niunganishe na Tv ya chumbani pia kwa same cable
tafuta kitu kama hiki madukani, sana sana maduka ya dish na antena hata mitaani vipo
51v9noBihZL._SY300_.jpg
 
kuna njia ya kutumia converter ndo kila tv inaangalia channel yake..

Hyo converter inaitwa AV-RF converter .. ulizia hyo kitu dukani..

Hyo converter inachange signal za AV kuwa za RF.. signal za RF ndo kama zile tulizokua tunapata zamani kwa antena za kawaida...

Kwa hyo hapo output yako ya signal za RF inakupa waya ambao unauchomeka kweye sehem ulipokua unachomeka antena za zamani zileee... then channel zote za king'amuzi zinakaa kwenye zile namba zako za tv yako.. ambapo unatumia remote ya tv yako kuchange zila namba na kuangalia channel zote za hyo receiver... hapo kila tv inaweza kuangalia channel yake.
Picha zitang'aa kama za king'amuzi OG?
Vp km remote za tv hizo mbili ni sawa na tv zipo karibu?

Nataka kuonesha mpira mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna njia ya kutumia converter ndo kila tv inaangalia channel yake..

Hyo converter inaitwa AV-RF converter .. ulizia hyo kitu dukani..

Hyo converter inachange signal za AV kuwa za RF.. signal za RF ndo kama zile tulizokua tunapata zamani kwa antena za kawaida...

Kwa hyo hapo output yako ya signal za RF inakupa waya ambao unauchomeka kweye sehem ulipokua unachomeka antena za zamani zileee... then channel zote za king'amuzi zinakaa kwenye zile namba zako za tv yako.. ambapo unatumia remote ya tv yako kuchange zila namba na kuangalia channel zote za hyo receiver... hapo kila tv inaweza kuangalia channel yake.
Weka picha tafadhali.
 
Vipi kama dish ni moja ,na pia decoder moja lakini tv zaidi ya moja kila tv na remote?


I mean kwani hawa wa cable wanatumia technology gani hadi tukaweza kushea decoder chache watu wengi
Japo too late kucomment,ila hili jambo ni jepesi kama una hela yako tu. Mfano wa lodge au Hotel,ya vyumba 50. Unaweza funga dish moja tu,na kama mfano umelipia kifurushi cha channel 70, wateja wako kila mmoja atachagua channel anayoitaka akiwa chumbani kwake.
Kwa wanaoepuka gharama,watatumia splitter na njia nyingine,mhudumu wa mapokezi ndo ataamua muangalie channel gani
 
Back
Top Bottom