Je inawezekana kuunganisha kin'gamuzi kimoja TV tatu?

Je inawezekana kuunganisha kin'gamuzi kimoja TV tatu?

Shukrani sana mkuu kwa maelezo.

Sasa inawezekana kila TV kuangalia chanell yake au TV moja mfano ikiwekwa ITV basi wote inabidi muangalie ITV??
kuna njia ya kutumia converter ndo kila tv inaangalia channel yake..

Hyo converter inaitwa AV-RF converter .. ulizia hyo kitu dukani..

Hyo converter inachange signal za AV kuwa za RF.. signal za RF ndo kama zile tulizokua tunapata zamani kwa antena za kawaida...

Kwa hyo hapo output yako ya signal za RF inakupa waya ambao unauchomeka kweye sehem ulipokua unachomeka antena za zamani zileee... then channel zote za king'amuzi zinakaa kwenye zile namba zako za tv yako.. ambapo unatumia remote ya tv yako kuchange zila namba na kuangalia channel zote za hyo receiver... hapo kila tv inaweza kuangalia channel yake.
 
mfano king'amuzi cha azam kina port mbili tofauti za output za hdmi na zile za kawaida za audio na video

Photo2047.jpg


hapo utachagua mwenyewe port ya kutumia kama ni hdmi au hio av cable.

kama utaamua ni hdmi itabidi utafute hdmi splitter
hdmi-splitter-1x4-rear-new.jpg


hapo unachomeka waya mmoja wa hdmi na hio splitter inakupa port 4 za output ambazo unaweza eka tv 4 tofauti.

kama utachagua av cable nayo hivyo hivyo utanunua spliter yake na kusambaza japo sijawahi ona hio splitter naona to switch.

njia nyengine rahisi ni kucheza na port za tv connect tv ya kwanza na decoder yako halafu tv ya pili itapata signal toka tv ya kwanza na tv ya tatu itapata signal toka tv ya pili. cheza tu na input na output cable
Matrix hdmi splitter na cable ndefu za hdmi (hadi futi 50) zinapatikana wapi Dar?
 
kuna njia ya kutumia converter ndo kila tv inaangalia channel yake..

Hyo converter inaitwa AV-RF converter .. ulizia hyo kitu dukani..

Hyo converter inachange signal za AV kuwa za RF.. signal za RF ndo kama zile tulizokua tunapata zamani kwa antena za kawaida...

Kwa hyo hapo output yako ya signal za RF inakupa waya ambao unauchomeka kweye sehem ulipokua unachomeka antena za zamani zileee... then channel zote za king'amuzi zinakaa kwenye zile namba zako za tv yako.. ambapo unatumia remote ya tv yako kuchange zila namba na kuangalia channel zote za hyo receiver... hapo kila tv inaweza kuangalia channel yake.
Mkuu ni AV TO RF CONVERTER tu hakuna HDMI to rf converter?
 
kuna njia ya kutumia converter ndo kila tv inaangalia channel yake..

Hyo converter inaitwa AV-RF converter .. ulizia hyo kitu dukani..

Hyo converter inachange signal za AV kuwa za RF.. signal za RF ndo kama zile tulizokua tunapata zamani kwa antena za kawaida...

Kwa hyo hapo output yako ya signal za RF inakupa waya ambao unauchomeka kweye sehem ulipokua unachomeka antena za zamani zileee... then channel zote za king'amuzi zinakaa kwenye zile namba zako za tv yako.. ambapo unatumia remote ya tv yako kuchange zila namba na kuangalia channel zote za hyo receiver... hapo kila tv inaweza kuangalia channel yake.
Zinauzwa bei gani hizo converter
 
kuna njia ya kutumia converter ndo kila tv inaangalia channel yake..

Hyo converter inaitwa AV-RF converter .. ulizia hyo kitu dukani..

Hyo converter inachange signal za AV kuwa za RF.. signal za RF ndo kama zile tulizokua tunapata zamani kwa antena za kawaida...

Kwa hyo hapo output yako ya signal za RF inakupa waya ambao unauchomeka kweye sehem ulipokua unachomeka antena za zamani zileee... then channel zote za king'amuzi zinakaa kwenye zile namba zako za tv yako.. ambapo unatumia remote ya tv yako kuchange zila namba na kuangalia channel zote za hyo receiver... hapo kila tv inaweza kuangalia channel yake.
Bana mnyanga1 nadhani uliwahi kuona tu tv ikibadilisha station kwa remote lakini hukufuatilia kinachofanyika. Kwa kawaida Kingamuzi kimoja kinakamata station moja at a time, k9nachofanyika ni kwamba unakua na ving'amuzi vingi kila kimoja na station yake unaingiza signal ya kutoka kwenye kila kisimbuzi kwenye Mixer then mixer ndio inatoa RF kupeleka kwenye TV katika signal tofauti kwenye RF format kama mawimbi yanayorushwa na tv station hivyo unaweza kuzitune kama station za kawaida za tv.
 
Decoder ya Azam inayo output tatu:
1.Loop out hii ni ya kuanganisha na king'amuzi kingine.
2.HDMI output
3.RCA (yellow,white, red) output.
-Moja Splitter inatumika na HDMI au RCA cable?
-Pili HDMI na RCA cables ni fupi ,sidhani zipo ndefu ya chumba hadi chumba.
Ok mkuu hapo kwenye namba 1 ndio njia ya kuunganisha kisimbuzi kimoja na kingine na kila mmoja atatazama channel aipendayo?
 
Ok mkuu hapo kwenye namba 1 ndio njia ya kuunganisha kisimbuzi kimoja na kingine na kila mmoja atatazama channel aipendayo?
Ok mkuu hapo kwenye namba 1 ndio njia ya kuunganisha kisimbuzi kimoja na kingine na kila mmoja atatazama channel aipendayo?
Yes kila mmoja atatazama channel aipendayo zilizopo kwenye frequency inayotumia king'amuzi mama.
 
Shukrani sana mkuu kwa maelezo.

Sasa inawezekana kila TV kuangalia chanell yake au TV moja mfano ikiwekwa ITV basi wote inabidi muangalie ITV??
tv mnaangalia moja tu, unless una ving'amuzi vingi
 
Vipi kama dish ni moja ,na pia decoder moja lakini tv zaidi ya moja kila tv na remote?


I mean kwani hawa wa cable wanatumia technology gani hadi tukaweza kushea decoder chache watu wengi
 
Mods hamutendi haki hata kidogo. Zipo post detailed kabisa zinazohusu topic hii imezifuta. Mfano mchangiaji aliye post picha na maelezo ya 1x4 matrix hdmi splitter. This is unfair.
 
Bana mnyanga1 nadhani uliwahi kuona tu tv ikibadilisha station kwa remote lakini hukufuatilia kinachofanyika. Kwa kawaida Kingamuzi kimoja kinakamata station moja at a time, k9nachofanyika ni kwamba unakua na ving'amuzi vingi kila kimoja na station yake unaingiza signal ya kutoka kwenye kila kisimbuzi kwenye Mixer then mixer ndio inatoa RF kupeleka kwenye TV katika signal tofauti kwenye RF format kama mawimbi yanayorushwa na tv station hivyo unaweza kuzitune kama station za kawaida za tv.
Nipe whatsapp namba yako nkuonyeshe watu wanavyofanya
 
Mods hamutendi haki hata kidogo. Zipo post detailed kabisa zinazohusu topic hii imezifuta. Mfano mchangiaji aliye post picha na maelezo ya 1x4 matrix hdmi splitter. This is unfair.
 
Matrix hdmi splitter na cable ndefu za hdmi (hadi futi 50) zinapatikana wapi Dar?

hizo splitter nafkiri kvd utazipata mtaa wa makunganya opposite na kituo cha mafuta.

kuhusu hdmi za 50ft sidhani kama zitapatikana kirahisi.

ila nimesoma mahali unaweza tumia category 6 wire(cat 6) kuextend hdmi iwe ndefu. hizi ni waya ambazo zinatumika kutengenezea ethernet cable au kwa kifupi utuconvert ethernet kwenda hdmi

HDMI-Cat-5e-6-Balun-Extender-UTP-Ethernet-Converter.jpg
 
Mods hamutendi haki hata kidogo. Zipo post detailed kabisa zinazohusu topic hii imezifuta. Mfano mchangiaji aliye post picha na maelezo ya 1x4 matrix hdmi splitter. This is unfair.
umepost thread mbili mkuu muombe mod aziunganishe
 
hizo splitter nafkiri kvd utazipata mtaa wa makunganya opposite na kituo cha mafuta.

kuhusu hdmi za 50ft sidhani kama zitapatikana kirahisi.

ila nimesoma mahali unaweza tumia category 6 wire(cat 6) kuextend hdmi iwe ndefu. hizi ni waya ambazo zinatumika kutengenezea ethernet cable au kwa kifupi utuconvert ethernet kwenda hdmi

HDMI-Cat-5e-6-Balun-Extender-UTP-Ethernet-Converter.jpg
Thanks!
 
Naomba niunge swali langu hapa.
Inawezekana kutumia dish moja kila mtu akawa na king'amuzi chake
mfano dish la azam kila mmoja akawa na kinga'amuzi cha azam mka share dish moja?
Hilo linawezekana kupitia tundu la loop out nyuma ya king'amuzi chako.
 
Back
Top Bottom