Je, inawezekana kuyafurahia maisha pasipo sex?

Yap mpole sana lkni unaonekana pia ni simba mwenda pole
Kwenye hiyo sekta sidhani kama kuna mpole Chakorii.

Kungonoka hakuna mwenyewe, mfano kuna mama mchungaji mmoja hapa maeneo ya jirani nilikuwa namchukulia poa aseeeee kilichotokea siku tatu zilizopita ni hatari lakini salama. Mama anatiana yuleeee ni shida aseeee
 
HAIWEZEKANI

Sex ni muhimu kwa afya yako
 
Kuwa jobless uone kama sex ni itakupa furaha maishani. Kwa kifupi furaha yako ikitegemea kitu, hiko kitu kitakutesa sana ikiwa utakikosa. Nafikiri furaha ni kula na kulala kwa uhuru.
 
Unahitaji maombi!ulijuaje anatiana kama hujatiana nae?🙌🙌
 

Tunaosubiria video tunachangia hapa hapa?
 
Bila picha ya Mama mchungaji ni uzushi tu.[emoji706]
 
Nitajie starehe yyte kubwa ambayo unaweza kuifanya ukaenjoy bila ya kuwa na mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…