Je, inawezekana kwamba Waarabu wanarudi kwenye himaya yao ya kibiashara?

Je, inawezekana kwamba Waarabu wanarudi kwenye himaya yao ya kibiashara?

ukara

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
285
Reaction score
168
Naona kama Waarabu wanarudi kwenye himaya yao ya kibiashara waliyokuwa wameishikilia enzi na enzi kabla ya ujio wa utawala wa kizungu

Ninawaza sana maana naona mkakati wa kuirudisha pwani na bara katika mahusiano yao ya kibiashara kama hapo awali unaanza kujipenyeza taratibu japo wakati huu hakutakuwa na biashara ya utumwa.

Nawaza tu
 
Back
Top Bottom