Naomba kuuliza hivi Mambo yako yanaweza yakaenda vibaya kila unachofanya kisifanikiwe kwa sababu hujawahi kuwakumbuka ndugu zako marehemu waliotangulia?
Jiulize; wewe mwenyewe utakapoondoka ungependa kizazi chako kikufanyie ibada? If yes, utakuwa na uwezo wa kuwalazimisha wafanye hivyo? Jibu liko kwenye hayo maswali.
Naomba kuuliza hivi Mambo yako yanaweza yakaenda vibaya kila unachofanya kisifanikiwe kwa sababu hujawahi kuwakumbuka ndugu zako marehemu waliotangulia?