Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
Naomba kuuliza hivi Mambo yako yanaweza yakaenda vibaya kila unachofanya kisifanikiwe kwa sababu hujawahi kuwakumbuka ndugu zako marehemu waliotangulia?
Yaani kuwakumbuka kwa kufanya ibada?
Je, kuna mahusiano?
Yaani kuwakumbuka kwa kufanya ibada?
Je, kuna mahusiano?