Rajabmbisha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 316
- 530
Habari za mida wana jf,
Ipo hivi Kuna mwanamke nimekutana nae kwenye siku za hatari, alianza kuona siku zake jumatano tarehe kumi na moja, akamaliza jumanne tarehe kumi na Saba.
Nikakutana nae kimwili ijumaa tarehe ya 20,je inawezekana mimba kuingia,wataalamu naomben majibu yenu, nipo kwenye wakati mgumu sijapangi kuwa na mtoto kwa Sasa hivi
Ipo hivi Kuna mwanamke nimekutana nae kwenye siku za hatari, alianza kuona siku zake jumatano tarehe kumi na moja, akamaliza jumanne tarehe kumi na Saba.
Nikakutana nae kimwili ijumaa tarehe ya 20,je inawezekana mimba kuingia,wataalamu naomben majibu yenu, nipo kwenye wakati mgumu sijapangi kuwa na mtoto kwa Sasa hivi