Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁😁😁😁 mi sijui hata zinafananaje unclePalina umeshaanza kliniki? Achana na P2 tunataka wajukuu🤣🤣
Fanya chap tunataka kulea wajukuu kabla nguvu hazijaisha🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁 mi sijui hata zinafananaje uncle
Daah sjui itakuwajeKwa siku hyo kutokana na kalenda yake probability ya kupata ni kubwa sababu ni kuwa mbegu za kiume zinaeza survive for 72 hrs kwahy yai linaweza kuta bdo zipo active mana kwa kalenda yake ni kuwa tar 21 nd alikuwa anaingia ck zake za hatar na wew umekutana nae tar 20
Dogo,Habari za mida wana jf,ipo hivi Kuna mwanamke nimekutana nae kwenye siku za hatari,. alianza kuona siku zake jumatano tarehe kumi na moja, akamaliza jumanne tarehe kumi na Saba,. Nikakutana nae kimwili ijumaa tarehe ya 20,je inawezekana mimba kuingia,wataalamu naomben majibu yenu,nipo kwenye wakati mgumu sijapang kuwa na mtoto kwa Sasa hivi
sitaki 🥹Fanya chap tunataka kulea wajukuu kabla nguvu hazijaisha🤣🤣
Ok. Done.Dr nilifuta lakini futa hii reply pls
😀😀😀siku za hatari
sijapanga kupata mtoto
nipo kwenye wakati mgumu
kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa ila kama dem anajielewa hata kama ww ndo umempa mimba atasingiziwa boya mwingine anayejitambua kidogo kuliko ww mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye
subr wiki hata 2 zipite mkajiridhishe kwa vipimo kwanzaDaah sjui itakuwaje
100% ni mjamzito maana mlikutana siku ya kumi toka aanze siku zake.jiandae matunzoHabari za mida wana jf,
Ipo hivi Kuna mwanamke nimekutana nae kwenye siku za hatari, alianza kuona siku zake jumatano tarehe kumi na moja, akamaliza jumanne tarehe kumi na Saba.
Nikakutana nae kimwili ijumaa tarehe ya 20,je inawezekana mimba kuingia,wataalamu naomben majibu yenu, nipo kwenye wakati mgumu sijapangi kuwa na mtoto kwa Sasa hivi