Je, inawezekana mimba imeingia?

kwa maelezo yako basi siku zake za hatari ni kuanzia tar 21 mpaka tar 27. So kama mpira umepiga nje mzee.
 
Daah sjui itakuwaje
 
Dogo,
Kama upo Dar na kama atajifungulia Mloganzila kwa kisu, andaa mapema kuanzia 3m mambo yasiwe mengi.

Kama bado hujajipata siku nyingine komaa tu na CHAPUTA. Kugegeda ni gharama
 
siku za hatari
sijapanga kupata mtoto
nipo kwenye wakati mgumu

kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa ila kama dem anajielewa hata kama ww ndo umempa mimba atasingiziwa boya mwingine anayejitambua kidogo kuliko ww mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye
😀😀😀
 
100% ni mjamzito maana mlikutana siku ya kumi toka aanze siku zake.jiandae matunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…