Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Maandishi yako yanatia kinyaa, kuwa mtulivu acha papara, ata ukiandika kwa herufi ndogo tutakuelewa tu na kukusoma, usilazimishe vitu we nenda taratibu usi panick, be a doctor, be professional, be smart

sorry kwa kero hyo ila ndivyo 2 andkavyo...na mm binafsi ndiyo mwisho wa kiwango changu chaku type...!!
 
Unajua pia kuna kitu juwa sielewi, kuna tangazo moja redioni wanasema kama mtoto amebakwa umwawishe hospitali ndani ya masaa 24 ili kumlinda na UKIMWI, anayefahamu hebu atupe jibu hapa
 

Mkuu nakupongeza mnooo hatakama utakuma si kweli usemayo bado kwa mwenye uwelawa lazima afwatie na si kupiga au kushutumu jitahada zako tupo tunao kuelewa usichoshe na mawakala wenyekutaka kuendeleza miladi ya watu wenye mtamo wa kuangamiza wasiojiweza

Mfano wawwsema dicropa haifai na mtu akapinga lakini tulizitumia tena sanaaa
 
Reactions: naa
 
Last edited by a moderator:

Hongela kwa ushahidi halisi mifano halisi ipo tusipinge moja kwa moja
 
Ivi ni kwa nn tunaambiwa tupime tena baada ya muda fulani? Mbona magonjwa mengine tunapima nakupewa majibu na kuanza matibabu? Kuna nn hapa?

hii sana sana ni kwaajili ya false +ve ambyo maranyngi husababishwa na wahudumu wa afya...na rapid test kit zkiwa expired nazo zna sababisha false + ivyo ndio sababu una shauriwa urudi baada ya mda fulani...nkirudi kwenye swala la false negative hii huwa inasababishwa na WINDOW PERIOD niki maanisha ugonjwa ukiwa umeupata ndani ya week adi week 2 antbody kwa ajili ya HIV infection znakuwa bado hazja tengenezwa na mwili mfano wa antbody ni (IgM) na kwakuwa kwenye test za HIV ukianzia Determine, Ungold & ELISA machine ambazo zna tegemea serology(antgen VS antbody reactio) ndo ziweze toa jibu zki kosa target antbody ztashindwa react na jb litakuwa false negative wakat ya wezekana ukawa +ve..ndio sababu wa shauriwa kurud baada ya mda
 
Unajua pia kuna kitu juwa sielewi, kuna tangazo moja redioni wanasema kama mtoto amebakwa umwawishe hospitali ndani ya masaa 24 ili kumlinda na UKIMWI, anayefahamu hebu atupe jibu hapa

sio ukimwii ni maambukizi ya vvu fekiiiii we wa wapiii hakuna maambukizi ya ukimwi kuna maambukizi ya vvu tu
 
Deception bado uko na hoja kupitia mifano halisi maana mifano ya maandishi inamkanganyiko tena mkubwa yaonyesha wazi usemayo yana ukweli ni ufuatiliaji tu ndo unao tusumbua
 
Last edited by a moderator:
mi kuna kitu kinaniumiza kichwa.. mbona hapo zamani watu walikua wakijulikana wana ukimwi baada ya mda afya inadhoofu, wanatoka dots mwilini na ilhali walikua hawatumii arv...labda hapo tatizo ni nini?

Jibu Naona Amelitoa kuwa Ni Magonjwa mengine Kama TB n.k

ILA NIMEFIKIRIA JAMBO MOJA. KUNA KAMPENI INASEMA HIV HAISABABISHI KUDHOOFIKA ILA MAGONJWA NYEMELEZI.

Hii inanifanya niunganishe Dots za Deception na Kugundua kuwa Tunapigana Na Magonjwa Nyemelezi na Wala Si HIV
 
Last edited by a moderator:

Haya maswali yako sijayajibu kwa kuwa hayana nia ya kuelimisha.Wewe unatakiwa uwaambie wana JF ni wapi mimi nimekosea kwa kutoa hoja zako ili wazipime.Kwa mfano uliposema kwamba mimi nimesema virus hana host ilitakiwa uni quote kuonesha wapi nimesema hivyo,lakini huoneshi hiyo quotation.
Yaani maswali yako yamekaa hovyo sana na huna lengo lolote zaidi ya kukimbia hoja za msingi ambazo wana JF ni muhimu wakazijua.Haya tunayojadili hapa mwisho wa siku inabidi wana JF wayafanyie kazi katika maisha yao ya kila siku kwa vitendo,wewe unaleta theory ambazo mimi nilishakwambia hatutafika muafaka.
Tuangalie yale yanayotokea katika maisha ya kila siku,huu ndio uthibitisho ambao kila mtu atauelewa.Bado unaleta terminologies kwa makusudi ili uengue wengine wakose hamu ya kusoma na kuelewa.Sasa nikishakujibu hayo maswali,then,watu watathibitisha nini?Na kama unataka watu wathibitishe kitu fulani,kwa nini usikiseme moja kwa moja,maana hiyo ndio maana ya mjadala.Mmekalia siasa tu,mnaona aibu kushindwa kujibu hoja zenye mikanganyiko inayotokea kila kukicha.

Umeshindwa kupinga kwa kutoa uthibitisho kwamba ARVs zinasababisha AIDS.Mimi ninasema kwamba ARVs zinasababisha AIDS.Wewe pinga ili wana JF waone nani mkweli.Haya ndio mambo halisia ambayo kila mwana JF ataelewa na ni rahisi kuyafanyia kazi.Haya jibu hoja hiyo,usilete siasa.Hili ndilo suala ambalo hata muda huu tunaoongea watu wanaendelea kuumia kwa sababu hii.

Mimi:"ARVs zinasababisha AIDS"
Wewe: haya pinga hapa
 
 

NAfuatilia
 
Last edited by a moderator:
Upo shallow Deception kama unataka watu wakuelewe unasema nini lazima uanze kwenye basics wengi wanalalamika lugha nyingi ya kitaaluma inatumika kwasababu hawana knowledge ya lugha hio kwahio ni vyema ukianza kutengeneza ground foundation halafu ndio ulete hoja zako utueleze virusi ni nini na anajizalisha vipi na anathiri vipi.Kisha utueleze hizo ARVs ni nini na inakuwaje zinasababisha madhara uyasemayo auutupe na mechanism of action.Hio ndio tofauti yangu na yako wewe unarukia mambo juu kwa juu bila kufikiria vyanzo vya matatizo mm nipo detail oriented.Ukisema ARV inasababisha ukimwi unapaswa useme how???Halafu kama huna lakunijibu usiniquote zaidi.Thanx in advance.
 
Last edited by a moderator:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…