Vinaua au kusababisha vilema vya maisha ebola virus haiui?Hepatittis haiui?vingine vina vaccine na ndio maana watoto wanapozaliwa tu lazima wachomwe vaccine! Na ni kweli vinakwenda into latent stage ya virusi lakini vinaamka immune system ikiwa down!Hakuna dawa ya kuua virusi yoyote!Wamarekani wenyewe wameshindwa kuzindua dawa ya kuua virusi vya aina yoyote unafikiri hawataki kuzindua dawa hizo maana hata wao wanaathirika in the same level kama wengine!
Totally brainwashed,mtoto wangu simpeleki akasomee tiba za magharibi hata kidogo.Bado unaamini kwenye chanjo?Mtoto wangu nimemzuia kupata chanjo kwa nguvu na mpaka leo yuko safi.Bibi na babu zetu hawakupata hizo chanjo na hawakuumwa umwa kama miaka yetu tunavyoumwa pamoja na lundo la chanjo,unafiki mtupu na ukosefu wa elimu sahihi.
Hata hiyo Ebola ni feki pia,ila sina muda kwa sasa kulizungumzia hilo.Ukiniuliza kuhusu chanjo,nina uthibitisho mwingi tu kwamba ndizo zinazosababisha udhaifu kwa watoto wetu,na ukiniuliza kuhusu Ebola,nina uthibitisho kwamba huu ni ugonjwa feki,watu wanachokiona kwenye TV si kitu halisi.Wewe umeshajiuliza,kama wananchi wa nchi zilizoathirika na ebola wanasema kwamba ebola ni feki,kwa nini wewe ambaye unaangalia tu kwenye TV na haupo kwenye tukio unang'ang'a kuamini?
Hebu hayo tuyaache kwa sasa,mkiniuliza swali hapa sitawajibu ili kulinda mantiki ya uzi huu.Nilitaka niwape mwanga tu kidogo ili baadaye tutakapojadili iwe rahisi.Na ndio maana huwezi kusikia ebola imekuja Tanzania kamwe,ila wenyewe watakwambia huioni kwa kuwa imedhibitiwa.Ebola utaisikia kwenye strategic areas peke yake. Nawachukia wamarekani sana lakini nawaheshimu sana kwa uongo.
-Wamedanganya Sept 11
-Wamedanganya vita dhidi ya madawa ya kulevya
-Wamednganya kuhusu ebola
-Wamedanganya mambo ya chanjo
-Wamedanganya kuhusu global warming
-Wamedanganya Vita dhidi ya cancer
-Wamedanganya kwamba bangi haramu
-Wamedanganya kwenye GMO(Genetic Modified Organisms/Food)
-Wamedanganya Vita ya kwanza ya dunia
-Wamedanganya vita ya pili ya dunia
-Wamedanganya Vita ya vietnam
-Wamedanganya vita ya Iraq
-Wamedanganya Vita ya Afghanistan
-Wamedanganya Vita ya Siria
-Wamedanganya Vita ya Libya
-Wanadanganya mgogoro wa DRC
-Wanadanganya mgogoro wa Ukraine
-Wanadanganya kuhusu alternative energies
-Wamedanganya kuhusu US Federal Reserve System
-Wametudanganya kuhamia kwa lazima digitali kutoka analogia
-Wamedanganya kuhusu Alqaeda
-Wamedanganya kuhusu ISIS
- Wamedanganya kuhusu HIV/AIDS ambalo ndilo tunajadili sasa.
Sasa mimi sina uwezo wa kumshawishi mtu kuamini,ila mimi niko huru hapa duniania kwa kujua huu ukweli.
-Nimepiga chini chanjo-Ukibisha shauri yako
-Natibu ndugu zangu cancer-Ukibisha shauri yako
-Natibu ndugu zangu kisukari-Ukibisha shauri yako
-Naachisha watu ARVs-Ukibisha shauri yako
-Nina uwezo wa kutengeneza diesel ya kuendeshea mashine kwa kutumia bangi-Ukibisha shauri yako
Na mambo mengine lukuki.
Ninachofanya ni kutoa elimu ya bure kwa wengine kwa sababu najua umuhimu wake.Kukubali au kukataa,yote ni maamuzi ya mpokeaji.Nimetimiza wajibu wangu.