Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

UKIMWI ni janga la Taifa, na unatisha sana, na ndio maana huu uzi unafuatiliwa na watu wengi zaidi kwa kuwa wengi wetu tumepoteza ndugu, jamaa na marafiki kwa ajili ya Ukimwi, na wengine bado wanaendelea kuteseka na ukimwi, ni vizuri watu wakapata mwanga mbadala kuhusu janga hili. Achaneni na fikra potofu eti mtu ukichangia uzi wa UKIMWI basi na wewe utaonekana na Ukimwi, wewe umejihakikishia kuwa huna ukimwi? Hata kama huna, una uhakika gani kuwa hutaupata? Tunakosa elimu kwa ajili ya mitazamo hafifu

Watu wanatamani kujua mengi kuhusu UKIMWI na ARV ila wanaogopa kunyoshewa vidole humu
 
Mimi nilikuwa sijui kuwa wagonjwa wa UKIMWI uwa wanameza vidonge kila siku, nilikuwa sijui kuwa waathirika wanatumia madawa hayo kwa maisha yao yote, ila nimeuliza kwa Deception na kaniambia na sasa ivi ninajua, kwa hiyo kwa kuwa nimeuliza kuhusu ARV basi warumi ana ukimwi? Mtajijua wenyewe mimi uwaga siogopagi watu when it comes kwenye issue za muhimu kama izi, acheni upumbavu fungukeni humu watu wajue..
 
Last edited by a moderator:
Kuna swali moja liliulizwa hivi:

Kuna mtu ametoa ushahidi wa rafikiake alianza kunywa arv baada yakusikia watu wakikanusha uwepo wa ukimwi nakushauli kupimwa ugonjwa husika
Akamshauli rafikie na kwenda kupima upya na kuanza batibabu akapona kabisaaa je huyo nae anapotosha?

Huyo mtu mwenyewe aliyetoa ushahidi huo ni huyu hapa chini:

Deception

Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda, vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao (HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa (huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids.

Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya; pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula kamili, matunda mengi.

Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo HIV- yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;

Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..

Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.

Jibu la doctor lilikuwa hivi:

Kuna false positive results ukipima ukimwi kwahio kuna possibilty uambiwe unao wakati huna na kuna uwezekano jamaa alikuwa hana.Kama nilivyosema awali hakuna dawa ya kuponya magonjwa ya virusi kwasababu hasa RNA-virusi ni wajanja sana wanabadilisha genetic make up zao na ni njia ya kuimaliza immune system.

Tuchambue jibu alilotoa doctor sasa:

1."ukipima ukimwi"
-Huwa hawapimi ukimwi bali wanapima VVU/HIV.Na ndio maana napishana na doctor maeneo kama haya,yeye hajangundua bado.

2."kuna possibilty uambiwe unao wakati huna"
-Nadhani wenyewe mnathibitisha kwamba vipimo hivi ni feki.Hili nilishalizungumzia mwanzoni kabisa.Hata yeye mwenyewe anakubali hilo.Sasa uamuzi ni wenu wenyewe.

3."kuna uwezekano jamaa alikuwa hana"
-Kwa sababu amesema "kuna uwezekano", sasa na mimi nasema tuchukulie kuna uwezekano jamaa kweli alikuwa ana HIV.
Doctor inatakiwa ajibu swali hili huku akichukulia upande wa pili kwamba jamaa kweli alikuwa na HIV,maana amechukulia uwezekano wa upande mmoja tu,sasa inabidi achukulie na upande huu wa pili.Tunamsubiri.
 
tunawashukuru mods kwa kuturudishia uzi wetu, ngoja niendelee nilikoishia kusoma

jisomee mwenzangu, kama una swali uliza uwasaidie na wengine, maana watu wanaona aibu kuchangia na kuuliza maswali kwa kuogopa kuwa watahisiwa wana ukimwi, kuna baadhi ya watu wanakimbilia kwenye msg kuuliza maswali ila wengine wanasoma ila hawajajiunga humu, so mkiuliza maswali apa mtawasaidia na wengine uko, najua bwna Deception anapokea msg nyingi sana pm, ila kuna ambao hawana access na wanahitaji kujua apa na ndio maana huu uzi upo, watu wasiogope kuuliza maswali kuhusu ukimwi na arv.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu humu wakisikia neno UKIMWI wanabanwa na haja kubwa, wanaogopa inaweza wakawa wameathirika au wanajihisi wameathirika, njoo apa uliza maswali usaidiwe, ukikimbilia PM hautawasaidia wengine Deception naomba usitishe kwa muda huduma za PM, kama una maswali ya kawaida njoo uwanjani apa uulize ili mimi na yule tujue, jamii inahitaji kufahamu upande wa pili kuhusu Ukimwi na ARV, sio wote wenye access au kujua kutumia PM, mtu kajitolea kwa nini msiulize? Inaweza ikawa ndugu yako ana ukimwi, rafiki, jamaa au ata wewe, sio vibaya kuuliza, na kuuliza maswali haimaanishi kuwa umeathirika, ila ni Elimu tu ambayo kila mtu anatakiwa kuifahamu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna reply moja doctor alisema ARVs hazisababishi Ukimwi/AIDS.Mimi nikamwambia kwamba ARVs ndizo zinazosababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia baada ya muda fulani.Maelezo yangu kuthibitisha kwamba ARVs ndizo zinasababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia ni haya hapa chini:

Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS,najua hapa nimekufikisha nyumbani kwako.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious,life-threatening side effects.These include lactic acidosis and severe liver problems."
Najua unajua kwamba kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.Najua mpaka hapa huna cha kupinga,labda urekebishe kidogo sana.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako ita drop na kuwa chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana kwenye dawa hizo severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.Hapa najua huna hoja ya kupinga pia.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini(wanaotumia ARVs),lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation ndugu yangu,its real.Kama unataka evidence tena kuhusu hizo side effects niambie nitakupa.

Doctor alijibu hivi:

Hata paracetamol ukinywa na pombe inasababisha liver toxicity na watu wanafanya hivo all the time.Ukitumia dawa kuna sideffects always ambazo zinavumilika na ambazo zinazoweza kuwa weighed faida zake against benefits.Wewe ndio unadanganya watu.Kwani dawa zote zinakuwa metabolized kwa njia gani?

Tuchambue jibu la doctor:

1."Hata paracetamol ukinywa na pombe inasababisha liver toxicity"
-Hata mimi simpingi doctor kuhusu hili,lakini Je,jibu alilotoa linaendana na content ya maelezo niliyotoa mimi hapo juu?Hamuoni kwamba ilitakiwa apinge kwa hoja hayo niliyoeleza mimi badala ya kutoa mfano wa paracetamol?Je,ni kweli hajui kwamba mjadala wetu hapa ni ARVs na sio paracetamol?Je,watu hutumia paracetamol kila siku kama ilivyo kwa ARVs?Kweli yeye haoni kama kuna tofauti kati ya dawa hizi mbili?

2."Ukitumia dawa kuna sideffects always ambazo zinavumilika"
-Tuchukulie maneno haya "ambazo zinavumilika"
-Sasa twende kwenye hoja:
-Je,ugonjwa wa cancer unavumilika?
-Je,ugonjwa wa ini unavumilika?
-Je,ugonjwa wa figo unavumilika?
-Je,upungufu wa damu(anaemia) unavumilika?
-Je,ugonjwa wa moyo unavumilika?

Na ndio maana nilitaka jibu lake liegemee kwenye ARVs,na sio kutoa mfano wa dawa nyingine.Inatakiwa sasa ajibu kama kweli magonjwa hayo hapo juu ambayo husababishwa na matumizi ya ARVs yanavumilika.

3."Wewe ndio unadanganya watu"
-Sasa inabidi doctor aeleze kwa hoja ni wapi nimedanganya kwenye haya maelezo yangu ili ninyi wana JF muweze kumwamini na kujenga imani naye.
 
ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta AIDS.....!!??????????? tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio maana wakapata structure za virus + morphological future....
 
ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta AIDS.....!!??????????? tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio maana wakapata structure za virus + morphological future....

Ahsante kwa hoja yenye mashiko, tunamsubiria Deception tusikie kutoka kwake, bora ata wewe unaeleweka vizuri na hoja zako.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa hoja yenye mashiko, tunamsubiria Deception tusikie kutoka kwake, bora ata wewe unaeleweka vizuri na hoja zako.




hili nitukio liminitokea mm nimekuwa na mahusiano mwanamke tangu mwaka 2012 mpaka leo huyu mwanamke miaka 10 iliyopita alipata maradhi ya hiv badae aliugua sana tena akapata matezi shingoni miguuni vidonda baada ya muda mwaka 2011 alianzishia dozi ya arvs code 171 mpaka leo anatumia hizo dawa binafsi nimekuja kuyagundua haya mwezi watatu kwa kipindi chote alinificha siku mikakati ya ndoa nikaanza kufanya ss baada ya kupeleka barua ya posa nikawa najiuliza mbona mimba akipata zina haribika nikaset cm yake iwe inarekodi maongezi ndipo nikaja kusikia kwa mdomo wake yy na mama yake wakilizungumza mama yake alikuwa anamuuliza je mwanaume anajua hali yko mawanamke akamjibu hajui nilishiwa nguvu baadae nikaja kupekua pochi yake nikakutana na vidonge vya arv nikamilisha upelelezi wangu nikatafuta siku nzuri tukaa sehemu nikamuuliza kweli alikiri ni hiv + niliumia sana ila nilikuta namsamehe nikaenda kupima mm nikajikuta nipo salama yani sina huo ugonjwa nikaa baada ya wiki nikarudi tena hosp nikapima nipo salama na dokta aliniambia nisiwe na shaka baada ya kupata juzi jumatatu ilikuwa zamu yake kwenda kuchukua vidonge nilamwambia tuende wote tukaenda mpaka hind mandal hosp kweli nililipa ili kupimwa cd4 zake mana mara ya mwisho aliniambia alipima zilikuwa 567 na nilipa sh 3000 kumuona dokta na kweli wakati ukafika tukaingia kwa dokta baada ya pale tukaenda chumba cha dawa tukapatiwa vikopo viwili wallah hapo nikawa nimepata jibu sahihi kuwa mwenzangu ni mgonjwa sasa kuna vitu.najiuliza nilikuwa naishi naye kiwembe chake ndio kiwembe changu mm namtindo wa kungata kucha na vinyaama vya vidole na mie Namchezo wa kuchezea kule kwa vidole mpaka ss sijaelewa nm mimetokeà na bado Ninaye huyo mwanamke sasa kutokana na elimu ya ndugu yetu Nitapenda nimshauri huyu mwanamke wangu akapime tena isije naye akawa analishwa madawa bila sababu
 
Last edited by a moderator:
ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta AIDS.....!!??????????? tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio maana wakapata structure za virus + morphological future....

Naomba uwe makini na utumiaji sahihi wa lugha ya kigeni, sina uhakika kama ni Typing error, vinginevyo nimekusoma, bora ata wewe umekuja na pingamizi lenye mashiko
 
Mimi nilikuwa sijui kuwa wagonjwa wa UKIMWI uwa wanameza vidonge kila siku, nilikuwa sijui kuwa waathirika wanatumia madawa hayo kwa maisha yao yote, ila nimeuliza kwa Deception na kaniambia na sasa ivi ninajua, kwa hiyo kwa kuwa nimeuliza kuhusu ARV basi warumi ana ukimwi? Mtajijua wenyewe mimi uwaga siogopagi watu when it comes kwenye issue za muhimu kama izi, acheni upumbavu fungukeni humu watu wajue..

Uu Uzi umenifunza mengi huko hayo ma ARV ndo yanayowamaliza wengi aisee imagine daily mtu anayameza bila kuwa na side effects nilikuaga nawaza ila Leo nimepata jibu ndo mana wengi wanaotumiaga haya madawa siku akiugua kidogo tu basi kwaheri na kuna mda huwa zinawakataa.
 
Last edited by a moderator:
what do you mean,inawezekana kipimo kilikuwa feki au doctor haku interpret majibu au kufanya vipimo vizuri.
Remember,kitu hakiwezi kutokuwepo at the same time kiwepo.ufafanuzi plz!
Kipimo sio feki ila health personal wanaweza kukosea kuinterpret majibu vizuri kutokana na lack of skills/training.Kipimo kinaweza kufail kutokana na sababu kama sensitivity ya kipimo cha haraka kuwa chini au kutoa mixed up results na kusababisha kuwa interpreted kimakosa.Ni kawaida kwenye tests tofauti hata ya mimba inaweza ikupe false positive results.Na ndio maana ukipima HIV unashauriwa upime at least mara 3 na katika muda tofauti.Hata maabara kama unafanya experiment lazima uifanye mara 3 au zaidi ili uproove hypothesis yako na majibu yawe na uwiano in ratio at least 2:1.
Ni muhimu ukipima HIV upime mara tatu kwa nyakati tofauti na daktari ainterpret majibu yako.
 
Kipimo sio feki ila health personal wanaweza kukosea kuinterpret majibu vizuri kutokana na lack of skills/training.Kipimo kinaweza kufail kutokana na sababu kama sensitivity ya kipimo cha haraka kuwa chini au kutoa mixed up results na kusababisha kuwa interpreted kimakosa.Ni kawaida kwenye tests tofauti hata ya mimba inaweza ikupe false positive results.Na ndio maana ukipima HIV unashauriwa upime at least mara 3 na katika muda tofauti.Hata maabara kama unafanya experiment lazima uifanye mara 3 au zaidi ili uproove hypothesis yako na majibu yawe na uwiano in ratio at least 2:1.
Ni muhimu ukipima HIV upime mara tatu kwa nyakati tofauti na daktari ainterpret majibu yako.

Ahsante nimekuelewa sana apo kwenye kupima mara tatu kwa nyakakati tofauti , maana wengine wakishapima mara moja wakiona wanao basi wanakimbilia ARV wengine kujiua kabisa, na ndio maana Deception anapingana na ARV kwa upande mwingine, unakuta mtu anapima akikutwa na ukimwi basi anakimbilia ARV mwisho wa siku zinamuua nwenyewe ,so ni vizur watu wakawa na ufahamu kuhusu ARV kwa upande wa pili...
 
Last edited by a moderator:
NOTE: KWA WA WATUMIAJI WA ARV.

Mnapopewa hayo madawa yanakuwa wrapped kwenye mifuko maalumu, hivyo mnashauriwa mzitunze hizo dawa kwenye mifuko /container kama mlivyopewa, maana wengine wakipewa tu ARV wanatoa kwenye mifuko yake maalumu wanaweka kwenye makaratasi au vitu wanavyovijua wao kwa kuogopa watu kuwagundua kuwa wanatumia ARV, mwisho wa siku izo dawa haziwi DAWA bali zinakuwa SUMU matokeo yake yanakuua wewe mwenyewe,wataalamu wana maana yao walivyohifadhi hizo dawa kwenye hyo mifuko, hivyo unatakiwa uhifadhi umo umo, kama watu wakiona utajibeba vinginevyo una haribu virutubisho vya hizo dawa na kugeuka sumu, so watumiaji mzitunze ivooo, ndo maisha yenu hayo, nyie jishaueni mjifanye masista duu mnayaficha kwenye maziwa wengine kwenye boxer sijui mnajidanganya wenyewe, ukimwi si wako? Maisha si yako? KWa nini uogope? Mara wengine wanaficha ARV matakon* eeh jamani kweli? Kama unao best unao tu, cha muhimu ni kuhifadhi sehemu maalumu kama utakavyoelezewa na wataalamu

Maana wengine wanatembea na ARV kutwa wamezificha kwenye matak* au nguo za ndani, sasa jaman kweli? Na wengine kuzifua nguo za ndani ni mtihani wa taifa, sasa izo dawa zitakuwa dawa kweli au mnataka tu na mengine? ARV ndo mpenzi wako wa maisha ivo umtunze kama mboni yako nshamaliza

Cc: Gorgousmimi Deception Econometrician
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa hoja yenye mashiko, tunamsubiria Deception tusikie kutoka kwake, bora ata wewe unaeleweka vizuri na hoja zako.

inaonekana sumu ya uyo mweshimiwa ime kuingia sana....siwez sema ni mwongo bali naweza sema namchkulia kama m2 asiye jua akibishacho!!!
 
Last edited by a moderator:
inaonekana sumu ya uyo mweshimiwa ime kuingia sana....siwez sema ni mwongo bali naweza sema namchkulia kama m2 asiye jua akibishacho!!!

Nayajua mengi kwa kuwa nimempa kila mtu nafasi ya kuwa mwalimu wangu, kila mtu humifunza kwa yale atakayo, naheshimu kauli na mawazo ya wote kwa uzito sawa, LAKINI UELEWA NI JUU YANGU.
 
Back
Top Bottom