Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Inaonekana huna utaalamu wowote kuhusu haya mambo, naona umeamua kubisha bila point za msingi, maana naona anakuelezea kwa undani ila wewe unajibu kimzaha mzaha bila mashiko yeyote
warumi kiukweli huyo atafanya tuamini kilakitu cha Deception yeye nikali sanaa na mwenzie mpolee sanaa kuonyesha habahatishi nahisi kitu mimi
 
Last edited by a moderator:
NIMEMUULIZA MASWALI YA MSINGI SANA ANAYAKIMBIA.NA WW ULIVYO NA UPEO MDOGO WA FIKRA UNAMTETEA LOL :becky:Uwe na usiku mwema 🙂

MImi ndio nina upeo mdogo na ndio maana nakuwa makini kusikiliza ili upeo wangu uwe mkubwa, kuliko wewe unayejifanya unajua wakati maandishi yako tu yanakuumbua kuwa hauna huelewa wowote kuhusu hili suala... usiku mwema to you darln, say hi to shemej uko
 
MImi ndio nina upeo mdogo na ndio maana nakuwa makini kusikiliza ili upeo wangu uwe mkubwa, kuliko wewe unayejifanya unajua wakati maandishi yako tu yanakuumbua kuwa hauna huelewa wowote kuhusu hili suala... usiku mwema to you darln, say hi to shemej uko
Ha ha ha lol....ukibishana na mjinga unakuwa mjinga tu ngoja niwaache mpotoshane 🙂 tchao tchao
 
HAIBADILISHI FACT ANAPOTOSHA WATU!!!!NO EXCUSES FOR THAT.Kuwapa mwanga waathirika wa ukimwi ni sawa lakini asipotoshe watu na kusema hauambukizwi kwa ngono watu wabinjuke wamalizane zaidi tu si ndio hasa ambao hawajaathirika.Unadhani hilo litasaidia jamii inayotuzunguka???No wonder watanzania wanakufa sana kwa ukimwi!!

OOh!! Tatizo wewe hujaelewa tu ndio maana ume panick, jamaa kazungumza mengi kuhusu Ukimwi, kwani unadhani mi sijui kuwa ukimwi upo na unaua? ,kwani wewe hujui kuwa ARV zipo kwa ajili ya kupunguza makali ya ukimwi? Kuna mambo mwngine ni magumu kumuelezea mtu akakuelewa lazima utumie lugha ya tofauti kidogo, ila mimi nimemuelewa sana,jaribu kutuliza akili yako,penda kujifunza kitu kwa kusikiliza

Binafsi mpaka sasa ivi sijamuona mtu yeyote anayepinga hoja za jamaa kwa hoja za msingi, Tuache kukumbatia Upumbavu, wengi wao wanaishia kujionyesha tu jinsi walivyokuwa na akili ndogo na utashi uliochacha
 
Je wanakula dawa kwa usahihi ndio swali?na kuna mtu hapo nimemuuliza kuhusu dawa zilizopo afrika na quality zake ww unadhani zina quality zinazopaswa kuwa nazo??Kitu kingine nikukumbushe dawa ya ukimwi haiponeshi hakuna dawa ya kuponya ugonjwa wowote wa virusi,dhumuni ya dawa za ukimwi ni kusaidia ugonjwa usiworsen ili wahusika waishi maisha marefu na bora.

-ARVs sio dawa ya ukimwi.Sijui kama umeng'amua nina maana gani.
-ARVs hazina faida mwilini zaidi ya hasara kwa kuwa hazina target.Target ya ARVs ni hewa,haipo,hakuna.Hakuna kirusi mwenye uwezo wa kushusha kinga.

Nitarudia hii mpaka mwisho wa maisha yangu kwa kuwa nina uhakika na ninachokisema.Ninyi madaktari mmepotoshwa kwenye suala hili,ninawasihi sana msidharau haya ninayosema,yafuatilieni,mnaua watu bila ninyi wenyewe kujua.

Najua hamkusudii kuua watu kwa ARVs,bali mmedanganywa.Pamoja na kuniona mimi sifai hapa jukwaani,lakini mkitoka humu tafuteni muda wenu kufuatilia ukweli huu.Hautapungukiwa kitu kama utafuatilia.

Mnaua watu wasio na hatia kwa kuwapa dawa zenye sumu ambazo hazitibu chochote.Mnafanya hivyo kwa kuambiwa tu na wakubwa zenu lakini hamjafanya utafiti.Kwa nini mnakuwa wagumu kuangalia na upande wa pili?

Hivi mnadhani Prof.Peter Duesberg ni chizi,mnadhani Prof.Kary Mullis ni Chizi?Mnadhani Mh aliyekuwa rais wa SA Thabo Mbeki ni chizi?Hawa ni watu wenye heshima zao,wanajua wanachokisema mbele ya jamii.Hivi mnafikiri kwa nini hawa watu hawafunguliwi mashtaka ya kupotosha jamii?Mmeshajiuliza swali hilo ninyi?

Hivi kwa nini hampendi kabisa kujiuliza?Mmepewa nini siku mliyokula kiapo cha udaktari mpaka muwe hivyo mlivyo?Msinifanye niwaweke kundi moja na wauaji waliotudanganya.

Kwa nini mna roho za kupinga tu pasipo kudadisi.Hivi hamuoni mikanganyiko inayotokea mtaani kila kukicha ambayo hamuwezi kuielezea kwa theory zenu batili?Kwa nini mnaegemea upande mmoja tu?Badilikeni ndugu zangu,msiwe wagumu kiasi hicho.
 
Mhhh! Mhhh, au ndio maana hunenepi nini binamu?

Mwenzangu izi ARV ninazotumia sijui za kichina ata sielewi,au umbea nao unachangia, ngoja nimuulize kama mtu ukitumia ARV Unatakiwa uache umbea au lah tusije vunja masharti bure tukaondoka kabla ya wakati
 
NIMEMUULIZA MASWALI YA MSINGI SANA ANAYAKIMBIA.NA WW ULIVYO NA UPEO MDOGO WA FIKRA UNAMTETEA LOL :becky:Uwe na usiku mwema 🙂

Wewe kumbe ni daktari? Mmh!! Kazi ipo aiseeh, tunahitaji huelewa zaidi kuhusu hili jambo
 
Kuna false positive results ukipima ukimwi kwahio kuna possibilty uambiwe unao wakati huna na kuna uwezekano jamaa alikuwa hana.Kama nilivyosema awali hakuna dawa ya kuponya magonjwa ya virusi kwasababu hasa RNA-virusi ni wajanja sana wanabadilisha genetic make up zao na ni njia ya kuimaliza immune system.

what do you mean,inawezekana kipimo kilikuwa feki au doctor haku interpret majibu au kufanya vipimo vizuri.
Remember,kitu hakiwezi kutokuwepo at the same time kiwepo.ufafanuzi plz!
 
Hilo ni chaguo la mtu binafsi warumi lakini si sawa kupotosha watu...

Kwa nini umeng'ang'ania kwamba mimi napotosha na sio wewe?Unaweza kuniambia wapi nimepotosha?

...Yeye anapotosha watu na ideology zisizoexist...

Ideology gani haipo kati ya yale niliyoyasema?

....anayosema kuwa ukimwi hauambukizwi ...

Wewe mwenyewe ndio unajichanganya pamoja na udaktari wako.Kwa mawazo yako wewe,unaweza kuniambia ukimwi unaambukizwa vipi?Inabidi uwe makini sana unapojadiliana na mimi jambo.

.... na hakuna ugonjwa unaoitwa ukimwi come on?Hakuna ukweli wowote hapo!!

Unaweza kuni quote wapi nimesema hakuna ugonjwa unaoitwa ukimwi, ili watu wawe na imani na wewe?
 
Hizo juice unatengeneza mboga zikiwa mbichi kabisa au unazichemsha kidogo

Na kama unatengeneza hizo juice bila kuchemsha mboga vpi kuhusu madhara ya kemikali maana tunajua siku hizi ukuzaji wa mboga unategemea kwa asilimia kubwa kemikali

Mboga zinatakiwa ziwe mbichi kabisa.Kuhusu madhara ya kemikali unatakiwa uzioshe sana na maji ya moto,hakuna jinsi nyingine ndugu yangu,ndio tumeshajipiga lock kukubali GMO foods.GMO foods huwezi kuzikuza bila kutumia kemikali,na haya ndio mambo yaliyonifanya niwe humu JF.Suala mojawapo ambalo liko kwenye mtaala wangu ni hilo la GMO.
Watu hawajui kabisa kuhusu hili jambo.Kwa mfano mtu anaenda gengeni kununua nyanya chungu,halafu anachagua zile zenye rangi nyeupe,eti kwake yeye ndio bora kwa kuwa hazina uchungu na ni za kisasa.Kumbe hajui kama hazina virutubisho kama vile vinavyopatikana kwenye nyanya chungu halisi zile za uchungu kabisa,na hajui pia kama ule uchungu ni dawa.Watu wanaona vyakula hivi vinafanana kwa macho kumbe ni tofauti kabisa kama utakuwa na uelewa.
Na ndio maana utakuta mtu anajitahidi kula vizuri lakini bado anaumwa mara kwa mara.
Kuna mambo mengi ya kujua ndugu yangu yangu.

GMO=Genetic Modified Organisms(Food,in this case)
 
Ha ha ha lol....ukibishana na mjinga unakuwa mjinga tu ngoja niwaache mpotoshane 🙂 tchao tchao

Wewe unaweza kuwa ni mjinga kuliko sisi, uliwezaje kupoteza muda wako na akili yako isiyo na utashi kwenda ku comment kwenye uzi wa wajinga? Basi tunaomba utuache kwa Amani ili tuendelee kupotoshana maana naona huna hoja ya msingi ya kuitetea hyo kauli yako ya kupinga ,hoja zako ni dhaifu, ninaanza kupatwa wasi wasi na taaluma yako. Samahani lakini.
 
Ha ha ha lol....ukibishana na mjinga unakuwa mjinga tu ngoja niwaache mpotoshane 🙂 tchao tchao

Kama wewe ni daktari kweli ni vyema ukawa makini na maandishi yako, vinginevyo unaweza kupoteza ata huo uaminifu mdogo watu waliokujengea, maana watu wengi sana wanafuatilia hii topic, bora uwe mjinga wa kukaa kimya na kusoma kuliko kuwa mpumbavu wa kujenga hoja dhaifu ambazo hazina mashiko especially kwa daktari kama wewe. Apa unaendelea kujiaibisha wewe na hiyo taaluma yako
 
NIMEMUULIZA MASWALI YA MSINGI SANA ANAYAKIMBIA.NA WW ULIVYO NA UPEO MDOGO WA FIKRA UNAMTETEA LOL :becky:Uwe na usiku mwema 🙂

Sio kuwa na Upeo mdogo binamu,tatizo hoja zako hazina mashiko yani nyepesi mno kiasi kwamba hata mtu aliyemaliza form four anaweza kuelezea kama wewe , wewe ni daktari be proffesional, Deception anaweza akawa muongo lakini mwenzio ana point muhimu za kutetea uongo wake, na wewe unaweza kuwa mkweli ila inawezekana pia ukawa na upeo mdogo kuhusu hili jambo, sasa apa unataka tumuamini nani binamu? Jenga hoja za msingi kama datktari.
 
Last edited by a moderator:
psychologically nimegundua zaidi ya watu 9 wana ukimwi wamechangia hapa...dahh ili ni janga la kitaifa...alafu sihitaj maswali sijbu
 
Back
Top Bottom