Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mito hawa watu wa humu I mean kina [MENTION=228495] gorgeousmimi na Deception kila mtu anavutia kwake na hawataki kudebate. Ilibidi jana nifanye kazi ya kugoogle. Deception anatumia zaudi taarifa za Peter alizochapisha over 20 years ago na argument hizo hizo. Kuna watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test. Wanasema sasa hivi wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine. Shida ni hawa madaktari hawana mood ya kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda argument. I understand that they are busy lkn kule mmu huwa wana spare enough time huenda kwa ajili ya kurefresh mind after a long day of work, kingine naelewa kuna specialisation kwa madaktari hivyo sio wote wana ulewa wa kina juu ya HIV. Generally wanapatiwa symptoms, vipimo na dosages and they are okay to go. So I excuse them.
Kuhusu deception na Peter na Thabo Mbeki, sisi watu wakawaida we have this simple but ugly realite ndugu na wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa tuko positive na tunakufa.
Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza (to put it in a light word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu; lakini haiondoi ukweli kwamba Mungu YUPO
Ur funny no wonder hakuna daktari atakayebishana na ww.Tell me whats a virus na kwanini hakuna tiba ya kuua virusi?? na kuna sehemu umesema virus hana host nakukosoa virus anae host na inaweza kuwa different living organisms thats a host.Na kwanini unafikiri kuna CCR5 gene mutation?how does a virus reproduce Mr Deception?Unajua mainstream doctors huwa nawashangaa sana,sijui ni kitu gani kinachowafanya wasipende kuangalia na upande wa pili wanasemaje kuhusu hili jambo,ubongo wao una ganzi inayowafanya wasithubutu kuhoji masuala ya msingi ambayo kweli yanajitokeza kwa kiwango kikubwa sana katika maisha yetu tofauti na vile tulivyoambiwa mwanzoni.Hawapendi kufuatilia utata huu unaojitokeza hata kama una mantiki.Hawajui pia kwamba wale wanaowaamini wanakesha usiku kucha kutunga nadharia mbadala ili kuelezea utata huu unaojitokeza ili kuendelea kuwapa watu sababu ya kuwaamini ilihali ni uongo mtupu.Wametunga nadharia kibao kama ile ya CCR5 gene mutation.Lakini pamoja na hayo,bado utata unazidi kuendelea kujitokeza,wanashindwa kuziba mapengo yote kwa wakati.HIV/AIDS ni moja kati ya magonjwa ambayo madaktari wamefundishwa kinadharia zaidi,hawajafanya tafiti za kutosha wakiwa masomoni zaidi ya kudanganywa kwa kuoneshwa wagonjwa walioathirika na ugonjwa huo feki huku hawajui kwamba sababu za dalili wanazoziona za ugonjwa huo ni tofauti kabisa na sababu wanazoambiwa.Ukitaka ugomvi na daktari,mwambie akuletee electronics micrographs za purified HIV.Au muulize daktari yeyote humu kama ameshawahi kumuona HIV kwa kutumia chombo chochote kile katika maisha yake yote ya udaktari.
Ukimuuliza kuhusu vijidudu vya TB,Malaria,Typhoid,Kichocho....nk atakuwa amewahi kuviona kwa kutumia vyombo maalum,utata unakuja kwenye HIV.
Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).
VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.
Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.
Hhaaaaa...binamu naona upo huku..huu Uzi mtamu nimeufuatilia toka unaanza ..
Hakuna dawa isio na sideffect!unafaham dawa za ukimwi zinafanya kazi vipi?Ni muhimu ufahamu virusi anasurvive vipi kwanza ili ujue dawa ya ukimwi inafanya kazi vipi?which is better having a longer life with medication or short one with none?Dhumuni ya kutibu magonjwa tofauti yasokuwa na tiba ni nini then?Dawa zinapunguza sickness progression na hatimae kukupa better life quality .Kwa fikra zenu hizo then hakuna umuhimu wa kutibu ugonjwa wowote!!Mimi sina utaalamu wowote ila kuna baadhi ya mambo yananiingia Akilini, kwa mfano hili la kutumia ARV, mtu tuseme labda umeathirika kwenye umri wa miaka 21-25 ina maana kwanzia miaka hyo mpaka kufa kwako wewe uendelee kunywa ARV na zisilete madhara kwenye mwili wako? Hiyo maralia yenyewe ukipewa dozi tu za wiki zinakupeleka puta je izo ARV?
Deception nimemuelewa ,cha muhimu watu ni kujilinda tu na vyakula na matunda kama alivyoshauri, iwe umeathirika au lah!! Cha muhimu ni kujikinga tu na maradhi
Naomba niulize hawa madokta wetu, kwa nini, ulaya wanameza tembe chache Za huu ugonjwa, ukilinganisha na Africa wanameza lumbesa halafu ni daily. ???, mkishanijibu hapo tuendelee
Unafikiri dawa zote zilizo Tanzania ni dawa zilizopitia minadhili yote yakifamasia kuwa dawa zinazofanya kazi 100%??zina active ingredient sahihi,katika kiwango sahihi,contents nyingine zipo sahihi na zipo approved na GMP?Umeshawahi kusikia kuhusu GLOBAL PHARMACY?
NB:Si dawa zote zinazopatikana ulaya zipo afrika mkuu!!
Nimekupata mkuu;
-Kuandaa juisi hizi ni rahisi sana,kuna mashine maalum zenye uwezo wa kukamua juisi kutoka kwenye mboga hizo,ukienda maeneo ya mjini ukiuliza ni rahisi kuzipata,zinakamua vizuri sana.Ukishakamua hamna complications nyingine,ni unakunywa tu moja kwa moja hiyo juisi bila kuchanganya na chochote.Ila unaweza kuchanganya juisi za aina mbili au tatu zinazoendana,mfano,unaweza kuchanganya juisi ya matembele na spinachi kwa pamoja kwenye glasi halafu unakunywa tu.Ila inahitaji moyo kama ndio mara yako ya kwanza,lakini haina tatizo.Ukifanya hivyo cancer utaisikia kwenye vyombo vya habari tu au kwa jirani.Najua madaktari watapinga hili,nawasubiri,maana hapa nimeanzisha vita nyingine.
-Ndio,si rahisi hawa madaktari kuukubali ukweli huu kwa kuwa wamekula kiapo kwenye kazi zao.Na hili la kula kiapo si la hiari kwao ni la lazima na limetoka mbali sana tangu mwaka 1910 ila wao hawajui tu historia yao halisi.Hawawezi kukubali kwa kuwa watapoteza ajira zao na pia si tu watapoteza ajira pekee bali wengine hawajui kabisa sayansi hii.
Hakuna dawa isio na sideffect!unafaham dawa za ukimwi zinafanya kazi vipi?Ni muhimu ufahamu virusi anasurvive vipi kwanza ili ujue dawa ya ukimwi inafanya kazi vipi?which is better having a longer life with medication or short one with none?Dhumuni ya kutibu magonjwa tofauti yasokuwa na tiba ni nini then?Dawa zinapunguza sickness progression na hatimae kukupa better life quality .Kwa fikra zenu hizo then hakuna umuhimu wa kutibu ugonjwa wowote!!
Hujawahi kuona mtu akijibu swali kwa swali (retroverse question)nimekupa swali ili wewe mwenyewe ufikirie jibu chemsha ubongo wako.Dawa ya ukimwi kwani ipo jamii moja tu??Naona unazunguka tuuu, hujibu swali??? @
Ni kweli umasikini wa watanzania unasababisha watu wanaugulia zaidi kuliko kawaida kwasababu mabara wengine watu wana ukimwi wanakula dawa na wazimaa..Na ukichunguza walio victims wengi ni wale wenye maisha duni.I know that, but hizo effects za kutumia madawa for life Big No kwa kweli, Tunakufa na maukimwi kwa ajili ya lishe Duni tu na ukosefu wa Elimu kuhusu Ukimwi, ile midawa ni mikali sana, inahitaji msosi wa nguvu, sasa mtu mlo mmoja tu shida, aya uanze kujipa na madawa tena juu tusife mchezo? Mimi sipingi wala kukubaliana na yeyote ila najaribu tu kuchakachua akili yangu.
Hakuna dawa isio na sideffect!unafaham dawa za ukimwi zinafanya kazi vipi?Ni muhimu ufahamu virusi anasurvive vipi kwanza ili ujue dawa ya ukimwi inafanya kazi vipi?which is better having a longer life with medication or short one with none?Dhumuni ya kutibu magonjwa tofauti yasokuwa na tiba ni nini then?Dawa zinapunguza sickness progression na hatimae kukupa better life quality .Kwa fikra zenu hizo then hakuna umuhimu wa kutibu ugonjwa wowote!!
Naomba niulize swali kutokana na kusema umefanya utafiti muda mrefu . Je katika utafiti wako vipi watu walioathirika na hiv katika nchi za ulaya, america, asia.....nao wanatumia arv.......na kama hawatumii je wanatumia dawa gani naomba unijibu kwa utafiti wako na uelewa wako.
maana ukimwi sio africa ni dunia nzima.
Je wanakula dawa kwa usahihi ndio swali?na kuna mtu hapo nimemuuliza kuhusu dawa zilizopo afrika na quality zake ww unadhani zina quality zinazopaswa kuwa nazo??Kitu kingine nikukumbushe dawa ya ukimwi haiponeshi hakuna dawa ya kuponya ugonjwa wowote wa virusi,dhumuni ya dawa za ukimwi ni kusaidia ugonjwa usiworsen ili wahusika waishi maisha marefu na bora.Hilo suala la kutumia ARV for life time kwa kweli mmh!! hapana ,ata kama nikijua nimeathirika sitafanya huo upuuzi, nitakula vizuri na kufanya mazoezi, labda kama nikiona hali inabadilika sana ndio hospital itakuwa option ilaa iv mzima ukanipe mi ARV inahuu? Kama hayo madawa yasingekuwa mabaya basi waathirika wasingekufa, kila siku watu wanakufa na ukimwi na bado ARV wanakunywa, si wajaribu plan B? Madawa sio mazuri, yanaua, mwili wa binadamu ukanywe dawa kila siku mpaka kufa mchezo
kwaiyo UKIMWI unaambukizwa kwa njia gani??