Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Mi naomba unijibie swala la hapo juu.... hii nimeishuudia pia mimi na kwa umri nilikua mkubwa tu wa kujitambua!!!! ukinijibu scenario hizo itakua vizuri.
cc: Deception

Nafurahi sana ninavyozidi kupata mifano dhahiri.

Jaribu kufikiria out of the box basi... usifurahie kila kitu, do home work kidogo
 
Last edited by a moderator:
Nafurahi sana ninavyozidi kupata mifano dhahiri.
Unajua kitu kikiwa cha uongo,ni vigumu sana kukitetea.Mfano kama umeiba kuku ukamfunika na shati au kanga,kuna muda tu atalia kwiioo,halafu watu watashtuka "eeh kumbe ameficha kuku huyu".Hii mifano hata mimi ninayo mingi sana lakini nilijua kwamba kutokana na ukweli wa haya ninayosema,lazima kuna watu wataleta mifano yao ili iweze kuakisi yale ninayoyasimamia.Kama nikitoa mifano yangu binafsi,watu wanaweza kusema nimefoji.Lakini mifano inakuja yenyewe humu.
Hata wewe jaribu kuanzisha mada hii katika watu wengi sehemu yoyote ile ambapo unafahamiana na watu,halafu jifanye kama huna uelewa vile,halafu sikiliza watu wataema nini.Hapo ndipo utakapothibitisha kwamba haya mambo ni kasumba tu,na hatupati muda wa kukaa chini kuyazamia kwa kina kwa sababu ya ugumu wa maisha ndio maana hatujui ukweli ulivyo.Ila ukiupa nafasi ubongo wako kuhoji kidogo tu,utaona mwanga wa ukweli huooo unakuja.Basi kila kitu ndivyo kilivyo,ukikipa muda kwenye ubongo tu basi utajua mengi sana yaliyojificha.
Dunia hii watu wabinafsi wameshaiharibu kwa tamaa zao.Kila eneo/sector inaweza kutumika kufanya biashara.Watu hawajui kama sector ya afya duniani nayo ni biashara na ndio maana ni vigumu sana watu kuelewa masuala haya tunayojadili.

Mtu mmoja anatumia ARVs hadi anakufa/maisha yake yote,sasa kuna watu wangapi Tanzania wanatumia ARVs,halafu jumlisha idadi hiyo na wale wa nchi nyingine duniani nao wanatumia kila siku.Halafu idadi hiyo zidisha na gharama za ARVs kwa mtu mmoja.Yaani unapata figure kubwa sana hata kwenye calculator haikai.Hawa jamaa unafikiri kwa faida hii wanayoipata watakwambia kwamba dawa imepatikana?Najua HIV ni feki,lakini pamoja na hayo hawawezi kukwambia kama dawa imepatikana hata siku moja kutokana na faida wanayoipata.

Magonjwa yote halisi yana dawa,ukiona ugonjwa hauna dawa ujue huo ni feki(yaani haupo kiuhalisia).
 
Usijali doctor,najua ni uchovu tu unaotokana na kazi za kutwa ambao hata mimi naweza kuwa nao.Usiku mwema.

mkuu Deception kweli nimeamini mwanzo mgumu kule mwanzo response ya watu ilikuwa ndogo mno ukilinganisha na coverage ya janga hili maana naamini ktk kila familia lipo ama ukoo ama kwa jamaa na marafiki wa wanaJF ila sasa japo nachungulia humu mara moja moja naona dhahiri Mungu kaajaliwa watu sasa wameamka
pia nakumbuka maneno ya raisi flan wa marekani "unaweza kuwadanganya watu fulani kwa muda wote ila huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote" wengi wamekuwa wakiwalaani wazungu juu ya kuikoloni Afrika ila kwa mauwaji indirect ly wanayofanya sasa ni zaid ya maovu yote ya ukoloni mkuu nakupongeza kwa moyo wako wa kujitolea mungu akubariki. Gud nait
 
Last edited by a moderator:

Nilishamjibu,au hukuona?
Najua pia hata jinsi ulivyouliza tu,inaonekana kabisa hukujiandaa kuelewa.Sasa kama kweli unahitaji hoja zenye mashiko kati ya mimi na wewe twende taratibu hoja kwa hoja halafu wana JF wajionee wenyewe nani mkweli.Haya,kwa kuwa najua umekuja kupinga na si kujadili,sasa unahitajika ueleze wapi mimi sikusema kweli na wewe useme ukweli ni upi halafu tuanze hoja kwa hoja.
 

Kwa niaba ya wasomaji na wapenzi wa Jamii Forum,,, ambao hawawezi ku reply/ comment chochote hapa Jukwaani....

Tunasema Tunashukuru Sana,,,,

Unatuelimisha na Kutufungua Fikra zetu kwa kiasi kikubwa.

again Tunashukuru sana.
 

No siyo Kila Mtu mwenye HIV ana Ukimwi
 

Ha ha haaaa,nimeipenda hiyo kwenye blue hapo.Ila humu wapo watu ambao wanaweza kudanganyika kwa muda wote.
Usiku mwema.
 
Hapa hujajibu chochote mkuu, nimeona maneno mengi tu ambayo obviously ni siasa.... kusema kuna mambo mengi atakua ameyabypass na kumiss taarifa ni kutojibu chochote....
Ungeingia into details ni vipi hao wazee walikufa kwa style moja mpaka mtoto na mahawara nao wakafata kwa style hiyo hiyo na wakati walikua hawatumii arv, na madawa ya magonjwa nyemelezi waliyatumia....
 
Katika kazi yangu nakutana na wagonjwa wa aina hio kila siku na hakuna hata mmoja anayelalamikia sideeffects zozote.

Watalalamikaje na kukuletea wakati wao wanajua Ni HIV ndo inawasumbua siyo ARV...

Ndo maana Hujawahi kuona wanalalamika maana wanajua Watakufa tu maana Hatawakileta hayo malalamiko na Wewe utasema ni HIV huyo Chukua tena Hizi ARV
 
Kwa niaba ya wasomaji na wapenzi wa Jamii Forum,,, ambao hawawezi ku reply/ comment chochote hapa Jukwaani....

Tunasema Tunashukuru Sana,,,,

Unatuelimisha na Kutufungua Fikra zetu kwa kiasi kikubwa.

again Tunashukuru sana.

Nashukuru pia kwa kutoa muda wa kusikiliza.Pia nakushauri ili uwe vyema zaidi inabidi ufanye utafiti wewe mwenyewe mtaani na mitandaoni ili kujiridhisha na haya niliyosema.Kama utaweza kuwafuatilia kwa ukaribu wale watu waliopo kwenye vituo vya kupimia HIV(feki) hapo utakuwa umefanya la maana sana.
 

Naona Watu wameshaanza Kutumia Kichwa Kufikiri. Kwa Kuhoji kwako tu huku
 
Hahahahahahhaha
Mwambie Akapime inawezekana ikawa Imevapour
 

Mkuu tulia kwanza,unaonekana wazi kabisa kwamba hata ukipewa jibu sahihi utapinga tu,kwa maana umeshakaa stance kabisa,jibu lolote litakalokuja mbele yako ni kupinga tu bila kujali kama ni kweli au la,ha ha haaa.Wenzetu wazungu hawako hivi kabisa,hivi kwa nini sisi weusi tuko hivi?

Sasa inaonekana hujalielewa jibu nililotoa kwa sababu ya bias.Usijali,ili nikujibu kama unavyotaka naomba unijibu swali hili kwanza.Kumbuka kwamba nina nia kabisa ya kukujibu,ndio maana niko humu.

Swali:Naomba unitajie dalili kuu tano za ugonjwa fulani.
 
Swali zuri sana hilo.Sijui kama umemuelewa alivyojibu.

Nimemuelewa hii nafikiri ni ile theory yao ugonjwa umetokea kwa masokwe, huko misitu ya Ikweta kwa ndugu zetu wanaokula Nyama pori za jamii ya manyani. Kitu ambacho kinapingwa na Dr Duesberg na wenzake.
 
Mkuu kumbuka post yangu ya #93 ndo mana nkasema wewe ni ujanja ujanja kuwatoa watu kwenye mstari.... nimekuuliza swali unajibu kwa swali, kwanini usinijibu kwanza ndo ukauliza na wewe....

Post #93 Nilikwambia hivi wakati nakujibu




Madaktari wengi najua wanaipita hii thread kwa sababu ya style yako ya kujibu.... unastory ndefu zisizo na scientific proves
 
Ah well, sichepuki! Though niko vyombo nimepitia pitia hii sread japo kuna mikanganyiko mingi hakuna suluhisho la pamoja!

Wasi wasi ndio akili..... Kanyesha ni kanyesha tu IPO na ilikwepo na itaendelea kuwepo manake bado sijaona jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa wala tiba!

Sent from JamiiForums
 
Mbona kwa Tanzania wapo wengi tofauti na tafiti hizo?Yaani ni wengi sana kiasi kwamba hata humu JF wapo.

Kwetu wanaweza wakawepo, ila si wengi kama unavyoiput. Na zaidi si kitu kilichokuwa documented hivyo kufahamu hasa idadi si rahisi. Ila based on cases nilizowahi kuziona clinic naweza kusema mi chache out of watu wote waliokuja kupima. Sasa hao wa jamiiForums unaowasema mkuu, je, ni documented cases au ndo zile za washkaji kuongea wanachojisikia tuu? Na zaidi, kwenye medicine, distribution ya traits mara kadhaa hiwa ni normal...hasa kwa zile ambazo zipo universal. Hivyo ukiona kitu kiko kidogo nje basi na kwetu itakuwa more or less hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…