Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,786
Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona wagonjwa wengi wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa maigizo tu?),baba anaondoka kwa ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na kupatiwa matibabu yake na chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata kabla ya hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba ulikuwepo na ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV" hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke yake".
Mi naomba unijibie swala la hapo juu.... hii nimeishuudia pia mimi na kwa umri nilikua mkubwa tu wa kujitambua!!!! ukinijibu scenario hizo itakua vizuri.
cc: Deception
Nafurahi sana ninavyozidi kupata mifano dhahiri.
Jaribu kufikiria out of the box basi... usifurahie kila kitu, do home work kidogo
Last edited by a moderator: