Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

mi nasubiri nakala tu hapa, mengine yote porojo. weka link mkuu deception watu tuchambue
 

Safi sana, haya yote nilikuwa nayajua kama ulivyosema, ila nawasaidia tu wale waliopo nyuma ya keyboard wanaoogopa kuuliza maswali either kwa kuogopa kuwa watafikiriwa wana UKIMWI au kwa sababu zao nyingine binafsi.

Hayo ndio maswali ambayo nina uhakika kwa asilimia 90 watu wengi walikuwa wanatamani kujua ila wanaogopa kuuliza kwa kuogopa fedheha, nashukuru sana kwa kuelezea kama vile nilivyokuwa najua.
 
Ndugu yangu deception hapo ndipo mada ilipolala. Naomba link ya post zako juu ya maswali ya ndugu yetu hapo juu. We umeshajiridhisha, uturidhishe na sisi

Yaani inaonekana kabisa kwa upeo wangu kwamba wew una nia ya kujua mambo tofauti,na hiyo attitude yako ndiyo itakayokukomboa kutoka hali hii ya sasa.
Sasa hapa najibu maswali mengi sana na PM pia,halafu nahitaji kutoka kwenda mihangaikoni.Naomba unipe muda nikutafutie baadhi ya hizo link.Ila naomba uulize specific question na mimi nitalitolea jibu kwa uthibitisho.Nadhani huu ndio utakuwa utaratibu mzuri.Unaonaje?
 
Mbona nilisikia wanakuzwa na vyakula vilivyochaganywa na ARV ili kuwanenepesha na kukua sasa sijui ka ni kweli tangia hapo siwalagi hao kuku.

WEe? Kwa hyo na mimi nakunywa ARV bila kujijua? Mayoo nyie hawa wazungu looh??
 
Reactions: naa
WEe? Kwa hyo na mimi nakunywa ARV bila kujijua? Mayoo nyie hawa wazungu looh??

hata me nliskiaga ivyo.ila nkiwakuta wamekaangwa.weeee hapovkwa kweli moyo na nafsi yangu vinanishindaga kweli kujizuia
 
WEe? Kwa hyo na mimi nakunywa ARV bila kujijua? Mayoo nyie hawa wazungu looh??

Ndo nilivosikia aisee tangia hapo nikawa nawaogopa hata kuonja plasi chemicals za kuwakuza. Kilichonitisha zaidi ni hizo arv sana jinsi inavowafanya watu kuondoka ghafla.
 

Natamanije niwaone hao wanaoku PM, khaa umbea huu utaniua, unakuta mijitu mingine inaponda humu baadae wanakuja PM kuomba msaada jinsi ya kuacha kutumia ARV, yani nacheka apa mpaka basi, pole sana kwa kazi nzito ya uko PM

Kama vipi waambie kwanza wapitie kwangu, niandike majina nijue takwimu ya watumiaji wa ARV halafu tuanze kuwahesabia siku mapemaa, hahaha hahaha lol, jamani natania tu ahahaha
 

Kwanini hayo maswali ya pm wasije kuulizia hapa hadharani ili kila mtu ajue kwa undani a, b, c zake kuliko ujibu huko na huku swali hilo hilo ujibu ili Ku save time.
 
hata me nliskiaga ivyo.ila nkiwakuta wamekaangwa.weeee hapovkwa kweli moyo na nafsi yangu vinanishindaga kweli kujizuia

Deception ebu njoo utupe ukweli kuhusu hawa kuku wa kiingereza, maana sio najishaua apa kumbe na mimi ni mtumiaji mzuri wa ARV bila kujijua, khaa hawa akina obama hawa watatuua sana mwaka huu
 
Last edited by a moderator:

Ha ha haaa.Hapa warumi ume bypass.Sikusema hakuna ukimwi,bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na HIV.Nadhani sasa utakuwa umepata point yangu.
Sasa mimi vita yangu ipo kwenye kuwasingizia watu kwamba wana HIV na kuwapa ARVs zenye sumu ili kuwalinda na HIV ambaye hayupo kiuhalisia hivyo hana madhara ilihali ARVs ndizo zinakuja kusababisha matatizo yote tunayoyaona kwa wale wanaozitumia.
Pia hata kama mtu amedhoofika halafu hatumii ARVs,lazima ukimfanyia udadisi kwa kina utagundua kwamba kuna sababu specific na za msingi ambazo zimemsababishia matatizo aliyonayo,na uki deal na hizo sababu za msingi na matatizo yake yatakwisha mara moja.

Hayo ninayoeleza hapo juu watu wanaya bypass sana na kufanya mjadala unakuwa mrefu sana.Niko very consistent na yale ninayoyaeleza na ndio maana hamna mtu yeyote hata kama ni daktari mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja zenye mashiko.Nina vithibitisho vya maandishi na vya kuonekana na vile vya kufanya mwenyewe kwa mkono wangu.
 
Nilishaweka hizo si mara moja humu.Ni vizuri ukawa na staha kidogo unapotaka kujua jambo,vinginevyo mtu anaweza kujua kwamba una nia nyingine tofauti na kutaka kuelewa.
unaweza kunipa link nidownload mkuu?
 
Ndo nilivosikia aisee tangia hapo nikawa nawaogopa hata kuonja plasi chemicals za kuwakuza. Kilichonitisha zaidi ni hizo arv sana jinsi inavowafanya watu kuondoka ghafla.

KUna watu humu ni mabingwa wa kutumia ARV wakisikia hvyo wanajiarishia, ahahaha ahaha khaa, ila sio mbya kama watakuwa wamepitia humu au kuambiwa, ni vizuri kufikiria mara mbil kabla ya kufanya maamuzi ya ARV, maisha matamu nyie, ukifikiria kufa yani utamu wote wa naniliu huupati tena sio mchezo lazima uchanganyikiwe
 
KUhusu kuku wa kizungu mimi ndio bingwa wa kuwala aiseeh, na walivyo rahis kupika na kuiva basi dakika mbili naanda, yan ndio msosi wangu mara kwa mara, sijajua itaniletea madhara gani, napenda kuku aseeh

Kama ni wa kiume tegemea manyonyo mkuu, Hilo ndo ninalojua
 
Kwanini hayo maswali ya pm wasije kuulizia hapa hadharani ili kila mtu ajue kwa undani a, b, c zake kuliko ujibu huko na huku swali hilo hilo ujibu ili Ku save time.

Yani na umbea wangu natamanije niwe deception japokuwa kwa nusu saa tuu nichungulie uko PM nijionee mambo nicheke hayo maswali ya watu mpaka basi, halafu nikitoka apo nawafungulia thread wote walio ni PM na kuanika msg zao zote, hahahah hahahah ahahh khaa, natania lakini
 

Umeona sasa? UJINGA wangu umenisaidia kuelewa tena kwa ufasaha ulichokuwa umekizungumza, na ndio maana nakufuatilia kwa umakini zaidi ili nielewe vizur, nashukuru sana, sasa nimekuelewa
 
Mkuu nikumbushe,maana mambo mengi.Unataka link au nakala inayothibitisha kuhusu nini?

Achana nao, wengine wapo apa kwa ajili ya kuzipa promo ID zao, maana humu wewe ndio habari ya mujini, kila mtu anakimbilia humu, chezeya ARV weye, hahaha hahahah....
 

Hata mi natamani kujua. Sioni sababu ya kuogopa kuja hadharani hadi kukimbilia pm isitoshe tunatumia fake id's shuhuda zao zingesaidia watu wengi sana kupata uelewa wa hili gonjwa. Ili kuokoa watu wengi mana uu Uzi wengi wanapita kimya na kukimbilia pm hamna siri duniani bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…