Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Hili nalo neno...!
 
Kwa uelewa wangu mm wa kizungu pori Makrefa neno has been linked but! Mpaka hapo tu anamaanisha hiv anasingiziwa kama nakosea mnisahihishe


Ulichukua kipande kidogo cha sentensi,para nzima inasomeka kama hapa chini
HIV has been linked to AIDS but, but there is no scientific evidence that it is the sole cause of AIDS. It is an undisputed scientific fact that it takes on an average 9 to 10 years (!) from HIV infection to the manifestation of the symptoms of AIDS in those who develop it

Hakusema kuwa HIV hasababishi AIDS,amedai kuwa hakuna scientific evidence inayoonyesha kuwa HIV ndio cause ya "pekee" ya AIDS,kwa namna fulani ni kama anakubali kuwa HIV ni cause ya AIDS ila kuna vingine pia ambavyo vinaweza kusababishi AIDS na sio kwamba HIV peke yake ndio mwenye uwezo huo.

Mwisho kabisa anadai kuwa kuna ushahidi wa kisayansi kuwa inachukua wastani wa miaka 9 mpaka 10 kwa wale waliokuwa infected na virus kudevelop symptoms za AIDS,na kwamba sio watu wote waliokuwa infected na huyo virus watadevelop AIDS.

my take.

Sasa kama kisayansi inachukua miaka 9 mpaka 10 aliyeathirika na virus kudevelop AIDS,hizo ARV's zinachelewesha hizo symptoms za HIV kwa muda gani ikiwa kinga ya mwili tu yenyewe inachukua miaka 9 hadi 10?

Pia kama kuna daktari hapa anijibu post #817 ,nilisoma wengine madaktari hapa mnaowajua muwamention kwenye post hii na #817 ,je miaka ya nyuma kwenye test ya HIV mlikuwa mnapima CD4's au antibodies za HIV?
 
Jenga utamaduni wakupenda kusoma..kila unacho uliza kimeshangumziwa humu ndani...

Nani amekwambia sina utamaduni wa kusoma au unaleta hisia zako hapa? Eti kila ninachouliza kimeshajibiwa humu ndani,kwa hiyo kama majibu hayajaondoa curiosity yangu nisiulize! nipe hayo majibu ya maswali yote niliyouliza sehemu moja au kama vipi pita kule...
 

kweli kabisa
 
makefra ndo maana nikasema ni kizungu pori sentensi inayosema has been linked to but there is no scientific evidence that it causes aids inamaanisha kuwa hiv anahusishwa na kusababisha aids lakini hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba ndo analeta aids huoni kweli kabisa kwa kufikiria na ku soma thoroughly hiyo sentensi kuwa km kitu haina scientific evidence maana yake ni kwamba sio sababu ya mtu kuwa na Aids? ??? C'mon hebu I some hiyo kauli vizuri na pia kwa nini u nafikiria hakusema hiv causes aids though haija wa scientifically proven???? Hiyo ni clear language km wanavoandika this medicine may cause....... so not necessarily kwamba it a cause na ukiona side effects of these drugs are ujue ndo mpango mzima zitaja react that way
 
Last edited by a moderator:
Na pia it takes 9 to 10 years kupata aids ukiwa na huyo virus je umeshafikiria kwamba since the virus wanazaliana mno hadi inabidi kutumia ARV mapema huoni km ten years ni nyingi sana kwa rate ya ku za liana kwa virus hadi kuugua? That is not the cause so anasingiziwa huyo virus
 
Theory ndogo Makrefa
Hiv +positive + pneumonia = AIDS
Hiv-negative + pneumonia = PNEUMONIA?
I think haihitaji say an si kuona kuna shida hapo kwenye swala la HIV causes AIds
 

10 scientific reasons,why HIV is not the cause of AIDS:Hebu pitia hiyo doc hapo chini, na pia utakuta nyingine nyingi zinaendana na hiyo.Tulia kabisa wakati unapitia hiyo doc,halafu kama unataka scientific paper kuthibitisha hiyo doc pia utapata na kama pia unataka physical evidence katika maisha yetu ya kila siku kuthibitisha hiyo doc na hiyo scientific paper pia utapata.Karibu.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0
 

Xo deception HIV anasababisha nn?..

Afu itakua very good ka utaziweka izo physical evidence toka katika maisha yako ya kila siku..
 
Fighting HIV where no-one admits it's a problem.......The phrase "Aids epidemic" awakens distant memories in most of Europe, Australia or the Americas, where infection rates have generally been in decline for years. But as former UK Health Secretary Lord Fowler explains, the phrase is not used in Russia either - despite failed policies that have allowed infection rates to soar........For years Russia has remained remarkably silent on the challenge it faces from HIV and Aids. Now that silence has been broken by an epidemiologist who has been working in the field for more than two decades - and he calls the situation "a national catastrophe"..........There are about one million people living with HIV today in Russia and year on year the rate of infection is rising, unlike sub-Saharan Africa where the rate of increase is slowing. This is according to Russia's official figures, which almost everyone agrees are a substantial underestimate of the true position.
Last year some 90,000 Russian people contracted HIV, compared with fewer than 3,000 people in Germany, which has one of the lowest rates of HIV infection in Europe. Germany's population may be half the size of Russia's but the difference here is a factor of 30......."We need to spend 10 times more on prevention," Pokrovsky told me recently. "We need many more resources and we need some political decisions - and changes in the law in connection with methadone and the private lives of individuals."......"There are 80-100 cases of HIV infection among women a day. This is no joke - a day. They are mostly young women, aged from 25 to 35 years and they are the main new risk group," he told me.........Almost 60% of those with HIV in Russia are injecting drug users and a further group are the sexual partners of the drug users. The HIV virus has spread like wildfire via contaminated needles and syringes..........Global Aids epidemic in 2013
People living with HIV35m - 31.8m adults and 3.2m children under 15
New HIV infections2.1m - 1.9m adults and 240,000 children under 15
Aids related deaths1.5m - 1.3m adults and 190,000 children under 15........Everyone agrees that the most important aim of global policy must be to persuade more people to step forward for HIV tests. But why should you come forward if you risk discrimination? At present only half of those around the world with HIV know their condition, so many will continue to spread the virus - and the battle against Aids is set back further.......haya hii ni news ya leo BBC nimejaribu kuikata kata sana kiufupi hata europe wanapimwa , wanapewa dawa . Na wanaambiwa waachane na un protected sex inaleta ukimwi . Kazi kwetu
 

Mkuu,AIDS haikuwa ishu kubwa ya kutisha kipindi cha nyuma na watu hawakuitilia maanani sana.Watu walikuwa wanaangalia zaidi specific diseases kama malaria,TB,pneumonia nk.Wanatibu magonjwa husika halafu maisha yanaendelea,kwa kuwa mara nyingi mtu hupata ugonjwa wa kuambukizwa kama kinga imeshuka kidogo,hivyo watu hawakujihusisha sana na AIDS kama ugonjwa ila walikuwa wanajua kwamba mtu huweza kupata magonjwa mbalimbali kama kinga ina matatizo,hivyo kulikuwa na tiba mbalimbali hasa zile za vyakula na unapewa dawa ya ugonjwa husika kama unao,unapona kabisa na maisha yanaendelea.

AIDS imekuwa popular baada ya media kuitangaza mara kwa mara huku wakitoa video za kutisha na kusema inasababishwa na HIV,matangazo na video za bure zilisambazwa sehemu mbalimbali ulimwenguni hata hapa Tz tuliwahi kuletewa video hizo na kiingilio ilikuwa ni bure.Walifanya matangazo kwa muda mrefu sana mpaka watu wakaamini kwamba AIDS ni ugonjwa mgeni unaosababishwa na HIV.Kumbe zile dalili wanazoziona zinasababishwa na mambo mengine kabisa tofauti na walivyoambiwa,lakini watu wanaendelea kuamini hivyo kwa kuwa matangazo yalishaingia sana kwenye bongo zao kiasi kwamba huwezi kumshawishi mtu kwamba HIV hawezi kusababisha AIDS.Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha kushuka kwa kinga yaani AIDS,lakini kwenye sababu zote hizo HIV hayumo.

...Na pia kwa kuwa kwa maelezo yako ni kuwa hao HIV hawawezi kushusha CD4's kwenye mwili,je hao HIV wana madhara gani katika mwili wa mtu au ni friendly kwenye mwili kama baadhi ya bacteria.

Hawana madhara zaidi ya labda kusababisha mafua tu kama kweli utakuwa nao,nasema hivyo kwa kuwa HIV kutokana na genetic comp waliyoitoa hao wagunduzi ameangukia kwenye kundi la retrovirus.Retrovirus wote hawana uwezo wa kushusha kinga.Hao wagunduzi wenyewe hawawezi kuthibitisha kwamba HIV anashusha kinga na ndio maana mifano hai ipo mingi tu ya watu waliopimwa HIV+ na wameishi miaka mingi tena zaidi ya hiyo 10 wanayoisema wao ya latent period bila kupata AIDS.Hapa watakwambia kwamba kuna HIV-1 na HIV-2.HIV-2 ndio anaweza kuvumiliwa na kinga ya mwili kwa muda mrefu sana lakini strain hii ni asilimia ndogo sana,sasa kama strain hii ni ndogo kwanini hapa Tanzania peke yake kuna kesi nyingi sana kama hizo?
Madaktari huwa hawakosagi jibu,hata kama hao wenyewe wanajua kwamba jibu wanalotoa halina mantiki.

Akili kichwani.
 
BBC??? same mainstream media, anyways u can take it or leave it, nobody force u into anything here, Mr deception is either trying to educated us or lying so chose what u think Is good for u. For what I know white people don't like black skin. Be aware, that the fact. I know some few black st**id will say am *******, naaa u know that.
 

Ulaya kila kitu kinawezekana mkuu..!
 

Unajua mkuu,humu kuna watu wako nyuma sana kiuelewa,hawana foundations kabisa zinazowawezesha kujadili mada kama hii.Hajui kwamba HIV/AIDS imekuwa popular kwasababu ya mainstream media hizohizo alizotaja yeye,na hajui pia kwamba hizo media zinamilikiwa na haohao wamiliki wa viwanda vya madawa.Kwakweli sisi ngozi nyeusi tuna kazi kubwa sana kuondokana na hili tatizo.
Halafu sijui kwanini tunapenda kukumbatia vitu kama hivi,kwanini sisi ngozi nyeusi tunapenda kutetea jambo kama hili?Tunalipwa?au ndio tunaona hawa jamaa wanatupenda sana?Mimi nilidhani mtu anaposikia jambo geni kama hili basi anatakiwa astuke na aanze kufuatilia kama ni kweli,maana hii ni kama habari njema,lakini kinyume chake watu wanawatetea walioanzisha janga hili.Sisi sijui ni watu wa namna gani.
 

Subiri waje wakurushie maneno mkuu...
 

Duuh"" io Kali.. sa chakufanya ki2 kimoja ..umesema kwamba HIV hasababishi AIDs , anasababisha mafua. .. Fresh 2 ..

Unaonaje 2kaingia kwenye njia ya vitendo??
2taftane tusainishane documents mbele ya lawyer

Then nkupe intravenous injection ya serum from infected patient .. niwe namonitor CD4 count zako periodically afu natoa feedback kwa wakereketwa...?? ...

Unaonaje 2kawa sweet example katka kuondoa uo utata ?
 
Kuna jamaa yangu baada ya kugonga demu ambaye inasemekana ameumia,huwa anajitetea eti unaweza ukalabua kavu na usipate.

Anachezea shilling karibu na tundu LA choo huyo!! Akijua kwamba haitodumbukia!! Atakuwa tuu, maana bado mdogo.
 

Wazo zuri ingawa maandishi yako ni yakifacebook. Mkuu Deception waweza dare kama Robert nani sijui (sio Galo) alivyojiinject infront of the TV?
Ila nawe sijui retrovirus hakikisha hiyo damu haina hepatitis yoyote au magonjwa mengine yoyote ns iwe group moja na Deception
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…