Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Nafupisha tu maneno ili nirahisishe usomaji... & protocol zote zitafuatwa
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nakubaliana na idea yake. BTW nikiangalia meaning ya ID Deception naona kabisa inamreflect alivyo. Tukicheza atawaingiza watu wengi chaka waanze kujiachia mwisho waangamie.
 
Last edited by a moderator:

Hivi ndio maana mkuu, iliwahi kufunguliwa kesi na jamaa mmoja, baada ya kupimwa na hospital fulani akakutwa ameathirika. Lkn alipopimwa hospital nyingine akakutwa negative, ndo akafungua hiyo kesi, nasikia alifidiwa. Sijui hii ilikuwaje na je si uenda inawapata wengi??
 

Hata hivyo kuchukua tahadhari ni mhimu sana mkuu, usije sema hivyo ndo watu wakajiachia, wa jiulize swali dogo tu, walioupata wamepataje??
 
Retroviridae naamini ww km doctor badala ya fikra za kum inject Deception ungeweza kutafuta monkeys na ku jaribu hiyo theory kwani ni nani anaweza kukubali kupata mafua kwa makusudi?
 
Retroviridae naamini ww km doctor badala ya fikra za kum inject Deception ungeweza kutafuta monkeys na ku jaribu hiyo theory kwani ni nani anaweza kukubali kupata mafua kwa makusudi?
Monkeys wana SIV yao na haiwasumbui sana. Mbona yule Dr Robert alijiinject na sio mara moja au mbili? Si alikuwa na uhakika na anachokifanya kama Deception alivyo ns uhakika wa anachokiongea.
I am sure ikiwa proven hata Dr Asprin atafurahi maana unadhani anafurahia macondom ni basi tu.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nakubaliana na idea yake. BTW nikiangalia meaning ya ID Deception naona kabisa inamreflect alivyo. Tukicheza atawaingiza watu wengi chaka waanze kujiachia mwisho waangamie.

Nafikiri ID yake ni kuonesha msisitizo kuwa ni kiasi gani we have been unde decrption? Just trying to understand the logic behind.... but I am just Kaunga trying to understand complex things.
 
Last edited by a moderator:
Xo deception HIV anasababisha nn?..

Afu itakua very good ka utaziweka izo physical evidence toka katika maisha yako ya kila siku..

Niziwekeje hizo physical evidence?
Kuna watu nawafahamu wengine ni majirani zangu,wanaishi na wake zao na wamewapa mimba lakini hao wamepima HIV+ na wake zao wamepima HIV-,si unajua wanawake wenye mimba kupima HIV sasa hivi ni lazima?
Pia ukiachilia mbali haya ninayosema,humuhumu kuna watu wengine wameleta ushuhuda wao ukifuatilia utaona tu.Je,haya yote tunatakiwa kusema ni maajabu ya mungu?
 

He he heee! yaani umeona hilo ni suala zito saaaana kiasi cha kusainishana.Mbona watu wengi walishafanya hivyo na hakuna la maana lililotokea?Wamefanya hivyo lakini watu wameendelea kuwa na imani ileile ya zamani,unajua ukiamini sana suala hili unakuwa kama mbuzi au ng'ombe,hata ukishawishiwa kwa evidence ya namna gani huwezi kubadilika kwa sababu unakuwa huna consciousness.

Na pia kabla mimi sijafanya hivyo unavyotaka,mbona kuna watu wengi tu wamepimwa HIV+ na wana afya njema na hawatumii ARVs zaidi ya miaka yenu 10 ya latency na bado CD4 ziko juu sana?Hawa nina uhakika hata wewe unajua kwamba wapo,lakini cha ajabu,kwa nini hutaki kuwatumia hawa kama evidence na unang'ang'ania mimi ndio niwe evidence?Najua hata kama nitathibitisha kwa kujidunga huyo HIV feki haitabadilisha chochote kwenye kile unachokijua na badala yake utatafuta theory ya kuelezea kwanini sikudhurika kama mnavyofanya kwa watu wengine.Kubadilika kiuelewa kunaanzia kwako mwenyewe hakutokei kwa kulazimishwa na mtu mwingine,hivyo basi sina haja ya kukulazimisha.

Wewe una uelewa mdogo sana kuhusu hii biashara ya ARVs,huu ni mtandao mpana sana wewe hujui.Robert Willner alijidunga damu ya mtu mwenye huyo HIV mara kadhaa lakini hakuna cha maana kilichotokea tena mbele ya waandishi wa habari,badala ya waandishi kushangazwa na tendo hili walikuwa wanachekacheka tu,si unaona kama binadamu hana consciousness anakuwaje?Anakuwa kama mbuzi au ng'ombe,hajiulizi,wale waandishi wa habari walikuwa wanachekacheka tu na lecture ilipoisha watu waliendelea na imani zao za zamani.
 

We utakuwa hujui vitu vingi sana halafu hujijui kama hujui.Fungua kidogo milango yako ya fahamu kabla ya kusoma kile alichoandika mwenzako.
Angalia unavyojichanganya;Kwanza unakubali kwamba Dr.Robert Willner alifanya hivyo,sasa kwanini huamini kilichotokea mpaka mimi nifanye tena,unless uniambie huamini kama kweli alifanya.Nina mashaka kama kweli unasoma yale ninayoandika.Ukitaka kuelewa kwanza ondoa kasumba mbaya iliyopo ndani ya bongo yako,vinginevyo ninakuhakikishia hutaelewa jambo hili na mambo mengine mengi muhimu yatakayokuja halafu utapata hasara kubwa wewe mwenyewe na ndugu zako wa karibu.
 
Hata mimi nakubaliana na idea yake. BTW nikiangalia meaning ya ID Deception naona kabisa inamreflect alivyo. Tukicheza atawaingiza watu wengi chaka waanze kujiachia mwisho waangamie.

Unaona kasumba ilivyo mbaya?Yaani hata kabla sijajidunga huyo HIV wenu kama mwenzako alivyotaka,tayari wewe huamini na umeshahitimisha.Kwa maana hiyo tayari una jibu kwenye ubongo wako.Hata kama mimi nitathibitisha kwa kujidunga HIV huyo wewe utasema labda itakuwa hivi....labda itakuwa vile....lakini hamna....aaah...haiwezekani....

Halafu utaendelea na imani ileile ya zamani na mtakuwa mmeshanipotezea muda wangu.
 
Nafikiri ID yake ni kuonesha msisitizo kuwa ni kiasi gani we have been unde decrption? Just trying to understand the logic behind.... but I am just Kaunga trying to understand complex things.

Mnapeana moyo wenyewe.Ha ha haaa!yaani vipofu wakitembea pamoja bwana...ni shiiida sana...
 
Fighting HIV where no-one admits it's a problem.......The phrase "Aids epidemic" awakens distant memories in most of Europe, Australia or the Americas, where infection rates have generally been in decline for years. But as former UK Health Secretary Lord Fowler explains, the phrase is not used in Russia either - despite failed policies that have allowed infection rates to soar........For years Russia has remained remarkably silent on the challenge it faces from HIV and Aids. Now that silence has been broken by an epidemiologist who has been working in the field for more than two decades - and he calls the situation "a national catastrophe"..........There are about one million people living with HIV today in Russia and year on year the rate of infection is rising, unlike sub-Saharan Africa where the rate of increase is slowing. This is according to Russia's official figures, which almost everyone agrees are a substantial underestimate of the true position.
Last year some 90,000 Russian people contracted HIV, compared with fewer than 3,000 people in Germany, which has one of the lowest rates of HIV infection in Europe. Germany's population may be half the size of Russia's but the difference here is a factor of 30......."We need to spend 10 times more on prevention," Pokrovsky told me recently. "We need many more resources and we need some political decisions - and changes in the law in connection with methadone and the private lives of individuals."......"There are 80-100 cases of HIV infection among women a day. This is no joke - a day. They are mostly young women, aged from 25 to 35 years and they are the main new risk group," he told me.........Almost 60% of those with HIV in Russia are injecting drug users and a further group are the sexual partners of the drug users. The HIV virus has spread like wildfire via contaminated needles and syringes..........Global Aids epidemic in 2013
People living with HIV35m - 31.8m adults and 3.2m children under 15
New HIV infections2.1m - 1.9m adults and 240,000 children under 15
Aids related deaths1.5m - 1.3m adults and 190,000 children under 15........Everyone agrees that the most important aim of global policy must be to persuade more people to step forward for HIV tests. But why should you come forward if you risk discrimination? At present only half of those around the world with HIV know their condition, so many will continue to spread the virus - and the battle against Aids is set back further.......haya hii ni news ya leo BBC nimejaribu kuikata kata sana kiufupi hata europe wanapimwa , wanapewa dawa . Na wanaambiwa waachane na un protected sex inaleta ukimwi . Kazi kwetu
 
Nimeuliza naona blah blah tu...... je hao watu wa ulaya nao wanadanganywa......je nao ni weusi? Maana kuna mtu kasema sisi weusi wazungu hawatupendi
 
Xo deception HIV anasababisha nn?..

Afu itakua very good ka utaziweka izo physical evidence toka katika maisha yako ya kila siku..

Ngoja nikuulize maswali ya kukusaidia,maana hapa tuko kusaidiana na si kubishana:

1.Unajua uwezo wa Prof.Peter Duesberg?Unajua huyu mtu amefanya nini kwenye historia ya medicine?Unajua serikali ya Marekani ilimchukuliaje huyu mtu kabla hajaanza kupinga suala hili?Na mwisho,umeshawahi kujiuliza kwanini anapingana na suala hili?

2.Unajua uwezo wa Prof.Kary Banks Mullis yule mgunduzi wa PCR kipimo kinachotegemewa kupimia HIV?Unajua huyu mtu amefanya nini kwenye historia ya medicine?Unajua kwanini huyu mtu pamoja na ugunduzi wake lakini anapinga kama HIV anasababisha AIDS?

3.Unajua kwanini hawa watu hawaruhusiwi kuingia kutoa lecture kwenye international AIDS conferences?Unajua kwa nini pia hawaruhusiwi ku publish findings zao kwenye medical journals?

4.Kuna watu wengi kama hawa siwezi kuwataja wote.Lakini umeshajiuliza kwa nini wanapinga?Halafu wengine walitoa hoja zao kipindi kirefu nyuma,na hoja zao zilionekana na zinaendelea kuonekana katika maisha yetu ya kila siku na specifically hapa kwetu,Je,kinachotokea sasa ni utabiri wao au ukweli wa yale walisema au wamebahatisha?

Mimi siko hapa kukulazimisha,ni vizuri ukaangalia na upande wa pili pia.

NB:
Mgunduzi wa HIV Dr.Robert Gallo na Prof.Peter Duesberg walikuwa wanafanya research ya aina moja miaka ya 1970 kuhusu virus that would cause cancer,Robert Gallo alichemka na Peter Duesberg alifanikiwa.Unaona tofauti ya uwezo wa watu hawa wawili?Si jambo hili moja tu linaloweza kuelezea uwezo wa watu hawa wawili,yapo mengine,huo ni mfano mmoja tu.

Mwanasayansi halisi lazima awe tofauti na mwanasayansi wa kibiashara.
 
Nimependa hii ha ha ha!Umenifurahisha Dr.
 
Nimeuliza naona blah blah tu...... je hao watu wa ulaya nao wanadanganywa......je nao ni weusi? Maana kuna mtu kasema sisi weusi wazungu hawatupendi

Hiyo ya "sisi weusi wazungu hawatupendi" si hoja ya msingi itakayotufanya tujue ukweli halisi uko wapi,la hasha.Je,wewe huoni kwamba unaegemea kwenye hoja ambayo sio ya msingi?Kwanini unaacha hoja nyingi tu za msingi?Hayo ya ulaya tulishayazungumza sana na yana maelezo yake lakini ili uyaelewe unahitaji kujua mambo mengi pia,huwezi kuandika neno 'baba' kama hujui herufi za abc...
Twende kwenye hoja za msingi tu na ni rahisi sana kuzielewa na zina mifano mingi mtaani na mahospitalini pia.Kuhusu mambo ya ulaya si rahisi kuyaelewa,twende kwenye mambo ya hapahapa Tz/Afrika kwanza kama kweli umejikita kwenye kuelewa.
 
Nimeuliza naona blah blah tu...... je hao watu wa ulaya nao wanadanganywa......je nao ni weusi? Maana kuna mtu kasema sisi weusi wazungu hawatupendi
Hana majibu ndio maana anaspeculate hana evidence yoyote na anayoyasema ameamka tu kaanza kunadi Ukimwi hauexist ili auwe maelfu ya watu watakaomuamini.Sijui mtu utaishije na such guilty conscious dah its sad na nikiona watu wanavyomuamini nasikitika tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…