Ndio wanachosema hivo hakuna kirusi anayeitwa ukimwi sasa sijui hakuna virusi kabisa maana wapo wengi teh......Kuna kichocho naona :becky:
Dr hapo kwenye nyekundu umeandika wewe?Au ni typing error?Fanya editing basi ili watu wasije kuwa na mashaka na wewe kwenye ufahamu wako kuhusu suala hili.Inabidi ufanye haraka kidogo.