Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Ndio wanachosema hivo hakuna kirusi anayeitwa ukimwi sasa sijui hakuna virusi kabisa maana wapo wengi teh......Kuna kichocho naona :becky:

Dr hapo kwenye nyekundu umeandika wewe?Au ni typing error?Fanya editing basi ili watu wasije kuwa na mashaka na wewe kwenye ufahamu wako kuhusu suala hili.Inabidi ufanye haraka kidogo.
 
dr hapo kwenye nyekundu umeandika wewe?au ni typing error?fanya editing basi ili watu wasije kuwa na mashaka na wewe kwenye ufahamu wako kuhusu suala hili.inabidi ufanye haraka kidogo.
sifanyi editing yoyote muhimu umeelewa nasema nini!!!
 
You might be right kabisa, ila tatizo lipo kwenu, nyie ndio mnatakiwa mtuelimishe sisi vizur, unadhani kwa nini watu wote humu wengi wanamwamin deception? Nyie hamna hoja kabisa mpo watupu kabisa, hilo ndio tatizo, yani mpo kiushabiki zaidi kuliko kutaka kututoa huu ukungu kwa vielelezo vya kuaminika
Tatizo mmeshaamua kubase kwenye upande mmoja Deception na blah blah zake ndo kafuzu maana anajua kuwapa illusions za ubongo!
 
Last edited by a moderator:
Your argument are so cheap doctor, is that all what you can ask? Kwa nini usituthibitishie wewe daktari uliyesoma kuhusu unayoyapinga? Kwa nn na wewe usituletee vithibitisho vyako vya kumpinga Deception? Vinginevyo apa sioni hoja yeyote, mara mia deception katupa ushahid kutoka kwa wataalamu wenyewe waliogundua ukimwi, je nyie madaktari mna hoja gani ya kisayansi ya kumpinga?

Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi wanapotea.
 
Last edited by a moderator:
Yah mimi sijielewi na wanasayansi wote wanaopigana kuhusiana na vita ya ukimwi hawajielewi,wanaoresearch kutengeneza dawa ya kuua virusi hawajielewi....mnajielewa nyie wakina warumi au unaonaje??Halafu ka ulikuwa ukinisubiria ha ha ha nimekuja tu nawe umezuka looool mabwaku

Yote unayoyajua wewe kuhusu ukimwi tunayajua sana,na tumeshasikia vifo vingi sana vya ukimwi,tunataka hoja zenye mashiko, tunataka point zako na wewe, je ulifanya research au kusoma kuhusu UKIMWI na ARV ili utueleweshe vizur? njoo na ushahid kutoka kwa wanasayansi,ata ku google unashindwa? Kweli dokta? Unashindwa kuja na hoja zako za msingi na kuambatanisha na maelezo kutoka google or something? Maneno yako ni matupu sana, yapo uchi, yani kila mtu anayajua apa, unadhani sisi hatujui kuwa ukimwi upo? ,jengea hoja zenye mashiko uje apa
 
Yeye ndo anayepinga kama ukimwi haupo ndo ajitoe tuthibitishe mimi NASEMA UKIMWI UPO NA UNAUA NA UKIAMINI HAUPO NA UNAKUNYWA JUISI YA MAEMBE NAKUSHESABIA SIKU ZA KUISHI!!

mmh! hapa kuna walakini,pamoja na kukuelekeza kote kule lakini unarudia jambo lilelile,kwa nini Dr.?Narudia tena,mimi sikusema hakuna ukimwi bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na VVU/HIV,ukimwi na VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti Dr.Au wewe huoni tofauti hapo?
 
Hakuna dawa isiyokuwa na side effects elewa nilichosema....kaishi miaka 12 ni dawa zimemrefushia maisha....Unadhani asingekula dawa angeishi miaka mingapi?Kwani dhumuni la dawa za ukimwi ni nini?Kuwapa watu side effects ili wafe haraka ama?ndicho unachojaribu kuproclaim??

Dr.vipi ya matatizo yaliyomuua yule mgonjwa kwenye ile quote,yaani mapafu,ini na figo,Je,yalisababishwa na HIV?
 
mmh! hapa kuna walakini,pamoja na kukuelekeza kote kule lakini unarudia jambo lilelile,kwa nini Dr.?Narudia tena,mimi sikusema hakuna ukimwi bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na VVU/HIV,ukimwi na VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti Dr.Au wewe huoni tofauti hapo?
Sasa kama hakuna VVU,,kutakuwa na ukimwi(AIDS) ndo hakuna na ndivo ulivyosema.
 
Tatizo mmeshaamua kubase kwenye upande mmoja Deception na blah blah zake ndo kafuzu maana anajua kuwapa illusions za ubongo!

Deception hana maneno matupu, maneno yake hayapo uchi kama yenu, yote mnayoyazungumzia kuhusu UKIMWI na ARV tumeshayasikia sana ni kama nyimbo za taifa yani, nataka mjaribu kuwa wadadisi nyie wenyewe, yani mnashindwa ata ku google taarifa na maelezo yenu mkaja nayo kujitetea humu?, yani hoja zenu nyepesi, nyie ndio mnaonekana mmekaririshwa kuhusu UKIMWI na ARV, hamjui chochote, tunaanza kuwaogopa, kwa maneno yenu tu inatosha sana watu kuwaogopa humu, maana maelezo yenu yanaonyesha tu kuwa mmekaririshwa kuhusu UKIMWI, yani mnavyojua nyie kuhusu ukimwi, ata sisi tunajua hivyo hvyo, so nyie hamna jipya ndio maana hakuna anayetaka kuwasikiliza, yani mmechacha kimawazo na kudoda uwezo wenu wa kufikir
 
Last edited by a moderator:
You might be right kabisa, ila tatizo lipo kwenu, nyie ndio mnatakiwa mtuelimishe sisi vizur, unadhani kwa nini watu wote humu wengi wanamwamin deception? Nyie hamna hoja kabisa mpo watupu kabisa, hilo ndio tatizo, yani mpo kiushabiki zaidi kuliko kutaka kututoa huu ukungu kwa vielelezo vya kuaminika

Warumi my dear, wengi wetu tunapenda sana Deception awe right hata hao madaktari nao wanapenda; why? Because they are also affected and infected just like anyone else. So habari kuwa HIV haipo au haileti Ukimwi ni good news kwa wote ambao hawanufaiki na biashara ya Ukimwi. Hata wafanyakazi wa tacaids nao wangefurahi kama huyu mdudu asingekuwepo. Issue ni kwamba wengi wetu tumeona vifo na mateso mengi ya 'ukimwi' pasipo hata matumizi ya arv na pia tumeona wengi waliokuwa positive muda mfupi wakianza kunywa arv wanakufa. Sasa ndio hapo tunapochanganyikiwa.
gorgeousmimi ni kweli wengi wanafurahia maelezo ya deception kwasababu
1. Yanaleta matumaini
2. Kuna vitu vingi pro hiv wanashindwa kuvielezea kama kweli wao wenyewe wanavielewa
3. Kungekuwa na scientific debate kati ya Wanasayansi wakubwa pro hiv na hiv denialists ingesaidia sana
 
Last edited by a moderator:
Yote unayoyajua wewe kuhusu ukimwi tunayajua sana,na tumeshasikia vifo vingi sana vya ukimwi,tunataka hoja zenye mashiko, tunataka point zako na wewe, je ulifanya research au kusoma kuhusu UKIMWI na ARV ili utueleweshe vizur? njoo na ushahid kutoka kwa wanasayansi,ata ku google unashindwa? Kweli dokta? Unashindwa kuja na hoja zako za msingi na kuambatanisha na maelezo kutoka google or something? Maneno yako ni matupu sana, yapo uchi, yani kila mtu anayajua apa, unadhani sisi hatujui kuwa ukimwi upo? ,jengea hoja zenye mashiko uje apa
NIMEWEKA LINK YA ARTICLE JUU kuhusu swali la mleta uzi uliisoma?
I DONT THINK SO!!
 
Gorgeousmimi hata Deception akichoma hiyo sindano na asipopata hao virus mtakimbilia hana Co receptors za hao virus kujiatach! Na pia jinsi madoctor mlivo ni wagonjwa wangapi mmeshachunguza patners wao na mkatoa majibu ya kuwa hao hawana hizo Co receptor? Sana sana mnajibu tu kwa wepesi kuwa inawezekana ww ukawa una sijui CXR5 whatever you call it bila ku counter check! It's never ur duties to satisfy your coriosity it's a question of what you have been fed in medical school
 
Nilete ushahidi mara ngapi wewe acha kujitoa faham!!Vithibitisho viletewe mara ngapi?Huyo deception kaleta vithibitisho gani vya kisayansi hapa zaidi ya speculatons?

Nilishawahi kukuuliza,uthibitisho wa kisayansi ni upi?Unaweza kuutofautisha vipi na speculation?Hukunijibu.
 
Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi wanapotea.

KIla mtu humu anajua ku google kama wewe, ata ukitaka mimi nita google kama wewe, je unadhani utaelewa kwa mfumo huo ndugu? Jifunze kujenga hoja mwenyewe kwanza, maneno yenu yapo uchi sana kila mtu anayajua, so kama nikimjua huyo robert then what labda? I want to hear from u zaidi ili nikuamini kwanza wewe kabla ata ya hayo maelezo ya ku google, we unadhan kama mimi sikuamini wewe nitaweza amini maelezo yako ya ku google? Jifunze kutetea hoja zako wewe mwenyewe kwa akili yako
 
Sasa kama hakuna VVU,,kutakuwa na ukimwi(AIDS) ndo hakuna na ndivo ulivyosema.

Back in early 2000 kulikuwa na nurse mmoja kwenye one of the national parks. Aliniambia hata matumizi ya muda mrefu ya antibiotic yanaweza leta upungufu wa kinga mwilini. Namkubali sana huyo nurse. Hii ilikuwa kabla sijasikia kuhusu hiv denial.
So my dear Ukimwi unaweza sababishwa na kitu kingine na sio lazima hiv.
 
Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi wanapotea.

Please boy, grow up, do you think i dont know how to google? Jenga hoja zako mwenyewe kwanza, do you think naweza kuamini maelezo yako uliyoya google bila kukwamin wewe? Be smart sana, huu ni utoto, Robert has nothing to to with anything here kama wewe mwenyewe ubongo wako umechacha, I know how to google too..
 
Warumi Kitu nimegundua ni kuwa doctors way of thinking is limited to the books they don't ever get curious Hivi Gorgeousmimi kweli kama mna claim hiv takes 9 to 10 years to get aids while hizo dawa it takes 12 to live na mtu anakuwa na mateso ya hizo dawa for 12 years kuna haja gani ya kuzinywa? 2 years difference is it worth it kweli? Am suprised
 
Back
Top Bottom