Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Mkuu hebu shangaa na wewe halafu eti wanatutisha wanadhani hofu inasaidia chochote hapa .....

Hawa ndio madaktari wetu wanachakazwa na mtu mmoja tu halafu tutarajie hawa hawa ndio wafanye tafiti za matatizo mengine ya kiafya yanayotukabili huku mtaani eti .......

Mungu tusaidie sana .......

Nimeona aibu na kukereka sana kwakweli maana nawaheshimu sana hawa watu ....!!
 
Sio kweli.Antibiotic inamuua au kumdhoofisha bacteria na haihusiani na immune system.Kuna watu wana residriv urinary tract infection na wanatumia antibiotics for maintanance hawana matatizo na immune system.

sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema matumizi ya MUDA MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya UTI!!!u cnt b serious dk!!!!
 
Mkuu we acha tu .....

Yaani kuna siku watu watabishana huko mtaani halafu wanaweza kuja na kuchukua haya maelezo yangu eti ni ushahidi.........

Kaazi kweli kweli ......!!

Wapumbavu kweli, aliyewaambia sisi hatujui kutumia google nani? Yani wanatufanya sisi mazezeta mxiuu, hawana hoja wameishiwa hao, wata Google sana mwaka huu ila haisaidii, Deception is another thing, hawamuwezi kwa chochote,wanajigogisha apa wanajifanya wanajua wenyewe
 
Last edited by a moderator:
.. Dr. Peter Duesberg huyo.. A mass murderer of innocent South Africans...

Kufata upepo uko kulimponza Thabo mbeki

Hayo ndio madhara ya kuegemea kwenye mainstream media.Huwezi kubadilika kamwe,wewe unafikiri TBC inaweza kutoa habari ya kumtukana Kikwete?Sijui kama umeambulia kitu hapo.Nilishakushauri uondoe bias lakini inaonekana huna nia ya kuelewa,sijui ni kwanini ninyi mnakuwa wazito hivyo.

Hata kina Galileo,Columbus,Tesla,Wright Brothers,Vasco Da Gama walipingwa vivyo hivyo,lakini baadaye mambo yakawa hadharani.

Vilevile hata magonjwa kama vile Beriberi,Scurvy,Pelagra,SMON,Virus-Cancer yalidhaniwa yanasababishwa na virus na watu waling'ang'ania kweli kweli.Lakini baadaye yakaja kuwa hadharani kwamba hayasababishwi na virus,na chanzo ni tofauti kabisa na watu walivyong'ang'ania.

Hivyo ni suala la muda tu kina Duesberg kuonekana heroes miaka ijayo na AIDS kujulikana hadharani kwamba hausababishwi na HIV.Ni suala la muda tu,ninyi pingeni sana lakini ukweli uko palepale.
 
Ndio yaleyale mnayoyaamini hakuna HIV-virus!!!Na ARV zinasababisha ukimwi naona ingelikuwa vizuri mkijua kwanza how ARV zinavyofanya kazi!!
 

AHahaha unanichekesha mkuu, yani hawa madaktari wetu sijawahi kuona aisehh, yani wanazidi kujidharirisha apa walivyo na upeo mdogo ambao ata mimi ambaye sio daktari sina mawazo mpauko kama yao
 
Nyie mnatumia database gani ehh kuleta hizo scientic proofs zenu?
 
Last edited by a moderator:
sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema matumizi ya MUDA MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya UTI!!!u cnt b serious dk!!!!
Seriously dude?ushawahi kusikia kuhusu residriv UTI hebu kamuulize daktari wa karibu yako inakuwa chronic.Kuna watu wanakuwa on antibiotics kwa mwaka au zaidi,Hasa vizee ambao hawana uwezo mzuri wa kukojoa mkojo wote.Wanakuwa na mabaki ya mkojo kwenye kibofu wakati wote kwahio wanakula dawa kumaintain UTI looool.Kama ww unajua zaidi kuliko mm HONGERAAAAAAAAAAAAA.Na kwani uliponiquote post hii uliona nimemjibu nani na nini?Nilimjibu Kaunga kuhusu antibiotics haihusiani na ARV usidandie daladala kwa mbele Troojan
 
Last edited by a moderator:
Hebu nipe mfano kaja daktari gani hapa na hoja zake akapewa sapoti?

Unadhani wote humu wanaomsapoti deception ni wajinga kama unavyofikiria? Kuna sehemu mna upungufu, ebu jichunguzeni kwanza, haiwezekan kila mtu akamsapoti jamaa na sio nyie, ni wazi hamna hoja zilizo hai, mna mawazo mpauko
 
Ndio yaleyale mnayoyaamini hakuna HIV-virus!!!Na ARV zinasababisha ukimwi naona ingelikuwa vizuri mkijua kwanza how ARV zinavyofanya kazi!!
Kwa elimu yangu ya darasa la saba sio kweli kwamba Deception kasema hakuna hawa virusi ila hawa virusi ni aina ya retrovirus ambao sio kitisho kwa kinga na maisha ya binadamu

LAKINI,Hakuna ushahidi wa kirusi wa HIV SPECIFIC uliowahi kutolewa na hata wewe kama unaweza tuletee hapa NA UTUTHIBITISHIE huyu ndie HIV,nadhani hata noble prize itakuhusu .....

Sasa kama unadhani huko kufanya kazi kwa hizo ARVs kuna umuhimu kwetu na unayapenda maisha yetu si uweke hapa hiyo elimu ili tusome ili tujue?

Unaruka ruka nini Dr.?
 
Last edited by a moderator:
Unadhani wote humu wanaomsapoti deception ni wajinga kama unavyofikiria? Kuna sehemu mna upungufu, ebu jichunguzeni kwanza, haiwezekan kila mtu akamsapoti jamaa na sio nyie, ni wazi hamna hoja zilizo hai, mna mawazo mpauko
Mi nimeuliza nyie mnatumia database gani kuleta hizo hoja zenu??reference gani au ndo mnazuka tu na kusema?
 
Nyie mnatumia database gani ehh kuleta hizo scientic proofs zenu?

Hoja za deception zina mashiko na proofs zake ndio kabisa, sasa nyie hoja dhaifu, mnadhan nani atakayewaamini hayo mnayo google, come on guys
 
Ok,sasa naomba unielezee hao ndugu zako waliofariki bila kutumia ARVs,je,walikuwa na dalili gani?Zitaje zote,usiache kitu.

Kuna binamu yangu yeye kilichomlaza ni maumivu ya kwenye uti wa mgongo. Wakasema ana sijui fungus kwenye uti wa mgongo na/au TB. Wakampima wakamkuta ni HIV+. Tukapewa mlundo wa madawa hadi nurse mmoja akatushauri tusimpe yote ila hatukumfuata maana tuliamini Dr anajua zaidi ya nurse. 4 days later he passed away. Alikuwa na watoto wawili kwa mama 2 tofauti, watoto wote walifariki wakiwa HIV+. Mmoja pnemounia mwingine fungal infection. Mkewe yuko kwenye arv baada ya yeye kuwa positive. Hapo niambie hiv is not real and not infectious. Usinipe habari za nutrition maana walikuwa wanakaa mwanza kwenye samaki, dagaa na majani ya kutosha. Uchumi wa kati
 

Juz a question 2u Roman... Izo habari zote unazozisoma Google unadhani zinatoka wapi?...

Kila habari Ina reference zake chini.. Kama kweli umesoma io habari niliokutolea Google juz kukupa a history of that man mnaemsupport
Ukiangalia chini kuna so many reference & some of em zinatoka kwa huyohuyo Dr...
 
Last edited by a moderator:
Wao wanamuamini deception anayetumia "UTUBE"!!!
 
Dah huyu Gorgeousmimi mwache ni maana hata sisi ambao hatujapita med school upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na mambo mengi sana hata bacteria wanaweza kuleta upungufu wa kinga mwilini! Kha

Mkuu,unajua madaktari hawana uelewa wa kutosha kuhusu nutrition kwa kuwa hawajafundishwa kwa undani.Wanachojua wao ni kwamba karibu kila ugonjwa lazima uupoison.
 

labda nisaidie jibu hili swali...!
nikwamba hali hii inatokana na swala la upungufu wa kinga mwilini niki maanisha kwamba mtu alie na kinga pungufu mwilini(cd4) ndiye atakaye pata TB(tuberclosis) ila kwa asye na upungufu wa kinga mwilini hawezi pata maambukizi ya TB...kwasababu kinga zake ziko vzuri

kuku thibitishia hili nakupa mechanism kidogo ya circle ya Microbacterium tuberclosis wanavyo mpata mtu adi jnsi anavyo kuwa infected.....M.tuberclosis ni normal flora(wadudu wasiyo na madhara) waishio kwenye ngozi ya binadamu na kwenye hewa hii ni kwasababu they are Anaerobic huweza kumpata mtu through inhalation ya air droplets from an infected individual ivyo basi kwakuwa ni anaerobic hukimbilia moja kwa moja kwenye mapafu(simanishi kuwa M.tuberclosis wana shambulia only upper pulmonary) wakiingia mwilini immune system huwatambua kama infected micro organism ivyo kinacho fanyika cells ambazo zko responsble kwajili yaku wazuia ni Microcytes ambazo moja kwa moja huenda kuzi enguf(phagocytosis..kuzimeza) TB ...kinacho fanyika ni kwamba m.tuberclosis bado wanakuwa hai ndani ya hiyo macrocytes ivyo CD4&cd8 znakuja saidia ku activw enzymes ambao wapo juu ya macrocytes ku release Toxic ambayo huzi angamiza M.tuberclosis ivyo basi iwapo mtu atakuwa na HIV+ cd4 zake ztashuka na ikimbukwe kuwa kutokana na process tajwa hapo juu m.tuberclosis(TB) wapo kwenye hewa ivyo asilimia 90% ya watu wote kila mtu anao tb ivyo baso immune system yako ikishuka kutakuwa amna destructipn tena ya hao Tb na ndiyo maana unakuta karbu kila HIV+ anayo TB...hii ni the same way with other OP(magonjwa nyemelezi) yote yapo mwilini mfano Candidias (fungi) wapo kwenye genital area ya mwanamke ila hawana madhara mpaka Cd4 zako ztakapo shuka....nafkiri utakuwa umenielewa kwanini watu wengine wanaweza ambukizwa TB na wengine hawawezi..!!
 

Upo sahihi kabisa, ila deception kaja na hoja zake zenye mashiko na mifano dhahiri tumeiona na kweli watu wamekuja kushuhudia humu live, sasa nyie hoja za msingi hamna, unadhani nani ataamini kile mnacho kigoogle? Ni wazi kuwa hamjielewi, maelezo yenu na mnayoyaleta ni vitu viwil tofauti kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…