Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Duuuh
Hii ni somo kwangu
Sikuwa najua
Ingawa sehemu zingine naona nyota nyota lol

Nikipata swali ntauliza,ngoja niendelee kusoma
 
Eeeh
Sasa shida ilikuwa ni nini

Aiseeee
 
Nilikuwa na maswali hayo hayo kichwani
 
tatizo nyie dizaini ni wavivu wa kusoma.mbna haya yooote deception alishayajibu kiufasaha!!hebu pitia huu uzi ukianzia mwanzo.kwa hakika ukiruhusu akili yako ifanye kazi utaelewa tu nin kinamaanishwa
Sure mkuu, uzi upo tangu 2013 Deception keshatoa nondo nyingi sana uvivu wa kusoma unaweka wengi gizani, pole yao.
 
PEP ya mwezi mmoja ikaharibu ini? Ndugu yangu,huyo nurse alikua ana pre existing liver disease
 
Ukitaka kujua ukweli wa elimu aliyotoa Deception nenda ka apply kwa hao wanaodiwa kuathirika ndio utajua ukweli wake. Madaktari wengi either hawajui au hawataki au wamezuiwa kusema ukweli kuhusu Ukimwi. Usibishane badala yake ingia field kwa kuchunguza wagonjwa mbalimbali utaelewa tu usanii wa hii issue ya Ukimwi.
 
Hakuwa na shida nyingine yoyote ninachokuambia ndivyo uliza wanaozitumia wakuambie shida zake, complications zake ni hatari nae ni mmoja wa waliopata hiyo bahati mbaya ini kuzikataa tulimshuhudia na mapema baada ya kujisikia dalili zisizo alipelekwa kcmc wapima na kutoa majibu stahiki na kumbuka PEP ni miezi 3 siyo mmoja
 
PEP gani hizo za miezi mitatu mkuu hebu fafanua hapo...
 
We dada usilete story za kusimuliwa kwenye vitu sensitive

Hakuna PEP ya miezi mitatu,waliompa kwa miezi mitatu walikosea
Kuna dawa miongoni wa arvds zinasababisha ugonjwa wa ini lakini ni after long term use au otherwise mtu awe tayari ana ugonjwa wa ini in dormant state
 
Huenda ni kweli mimi kuna dada nilimgegeda bila kujua kwamba alishaumia nilipiga kimoja cha harakaa baada ya kumuandaa sanaa sema nikaja ambiwa dada uyo alikua anatumia dawa miaka mitatu ishapita mwanaume nika panic usiku silalii nafikiri kilikuwa kipindi kigumu sana katika Maisha yangu nikawa naogopa ata kupima ila baada ya wiki kama 13 ivi nikakazaa roho nikaenda kupimaa Heeh nikashangaa kitu NEGATIVEnikaapa sitogongaa kavu teena daah saivi nmetulia na mtotoo wangu wa kishua najilia taratibu tyu
 
Uoga wako tu unakusumbua. Me sikumbuki mara ya mwisho kutumia condom ilikua lini na sinawazo la kutumia condom
 
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.
Not all fluids carry HIV, kwanza hakuna AIDS kwenye fluid yoyote, AIDS ni condition inayosababishwa na HIV. uloandika hapa hujui tofauti ya hivi vitu. fluids like mate, machozi hazina HIV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…