Troojan
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 967
- 675
mkuu hebu jiongeze kidogo.huu uzi una page ya 139 almost!!hebu pitia angalau page 10 za mwanzo alafu utapata kujibiwa maswali yakoVipimo ni feki kivipi? Tafadhari tujulishe mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hebu jiongeze kidogo.huu uzi una page ya 139 almost!!hebu pitia angalau page 10 za mwanzo alafu utapata kujibiwa maswali yakoVipimo ni feki kivipi? Tafadhari tujulishe mkuu.
DuuuhNdio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi sana,we mwenyewe umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs kuonesha uwezekano wa mtoto kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji hilo,maana kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.
Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana wameng'angania kwamba unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko huru.
Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye ngono,huwezi kupata ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na si kwamba kweli una VVU.VVU hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama mavado wanaweza kukusaidia pia.Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.Na ndio maana niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome kabisa kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa tiba halisi kama zamani,hapo ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali saaaana maisha yetu,watu watapimwa VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za ARVs ambazo ndio hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU.Ukijua mtego huu basi utakuwa umejikomboa na janga hili.Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi kwa sababu wanajitokeza sana kupima VVU,hawaogopi kupima na kuchukua majibu,hii ndio sababu kubwa na hamna sababu nyingine,lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi hataelewa ninachosema,labda watu kutoka njombe waje kuthibitisha wenyewe hapa.
EeehSiko hapa kuwafundisha watu kutokutumia kondom lakini nasema, muda umepita wa kujitumbukiza kwenye mtego ka huu. Siku ukilogwa ukajikuta umetumbukiza tu bila mpira tayari ndo siku mawazo yako yatakuua.
Thru experience;
Mi ni msajili wa ndoa. Sheria inaamuru kuwa tusiwafungie ndoa ambao hawana vyeti vya kupima HIV tena mara 3 yaani kipindi kisichopungua miezi 6.
Kwa kusimamia sheria hii, nikaamuru vijana waende kupima.
Bahati mbaya sana, kijana yule me akaonekana analo. Wakaondoka na kusema ati miye ndo nilienda kufitini aandikiwe kuwa + ili asifungiwe ndoa. OK, wakaamua wenyewe kwenda hospitali nyingine tena mji mwingine mbali nisipo wala julikana. Kupima, kijana akaonekana +. Kelele na chuki zikazidi kwani niliwaamuru walete majibu ya barua yangu nilio wapa ya kwenda kupima.
Wakazidi kunipakazia kuwa nina mpango wa kum do yule binti. Sawa, wakaenda mbali mbali zaidi, wakapima, jamaa akaambiwa analo. Duh! Binti akafunguka akili, akasema kiongozi hajawahi kusikia kuwa tunakuja huku, hivyo sababu yako kuwa ananitamani haina mashiko. Akauvunja uchumba. Jamaa kwa hasira akaenda akamtwaa binti ambaye amekaa sana bila kuolewa, akamua waoane bila kufunga ndoa.
Mambo yakawa mazuri, binti ameshazaa watoto 4 wala hakuna aliye dhurika. Je ni vipimo vilikuwa vibovu au ni mimi nilikuwa nawafuatilia kuwa haribia maisha yao?? Nasema, unavyo amini ndivyo utakuwa. Ukiamini umeukwaa itakuwa hivyo. Tujifunze kuamini Positively kuwa "Sina ukimwi" itakuwa hivyo
Nilikuwa na maswali hayo hayo kichwaniey try to get serious.... mi naona unapotosha watu tu na theory zako!!!
* HIV/AIDS Imeanza kuingia kabla hata ya ARVs kuuzwa, unavosema kuwa HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs unakosea sana.... ingeku hivyo basi ARVs zingekuja zamani sana pamoja na ugonjwa huo
* HIV/AIDS inasababishwa na ARVs.... seriously!??? wangapi ambao hawajaanza hata kutumia hizo dawa na tiari wanaugua ukimwi, haya tuseme vipimo ni fake hawana huo ukimwi then ni ugonjwa gani unaowadhoofisha mpaka kufa ambao bado hauna jina na ni nini dawa ya huo ugonjwa...
ukimwi upo jamani, acheni siasa kwenye mambo ya msingi
Nakushauri uanze kusoma kuanzia ukurasa wa kwanza wa huu uzi mpaka hapa tulipofikia, tena andaa muda wako ili upate kuusoma kwa utulivu.Nilikuwa na maswali hayo hayo kichwani
Ila ukweli umeshajulikana kwa kiasi kikubwa kwa wenye kuutaka kuujua.Kinachoniuma deception kakatishwa tamaa hataki tena kuwafunza watu
tatizo nyie dizaini ni wavivu wa kusoma.mbna haya yooote deception alishayajibu kiufasaha!!hebu pitia huu uzi ukianzia mwanzo.kwa hakika ukiruhusu akili yako ifanye kazi utaelewa tu nin kinamaanishwaNilikuwa na maswali hayo hayo kichwani
Sure mkuu, uzi upo tangu 2013 Deception keshatoa nondo nyingi sana uvivu wa kusoma unaweka wengi gizani, pole yao.tatizo nyie dizaini ni wavivu wa kusoma.mbna haya yooote deception alishayajibu kiufasaha!!hebu pitia huu uzi ukianzia mwanzo.kwa hakika ukiruhusu akili yako ifanye kazi utaelewa tu nin kinamaanishwa
PEP ya mwezi mmoja ikaharibu ini? Ndugu yangu,huyo nurse alikua ana pre existing liver diseaseWengi wanapata complicationa za PEP nesi mmoja alijichoma na sindano ya mwenye virus akiwa CTC alipopima yeye akawa hana maambukizi akaanzishiwa PEP ilimsumbua maana iliharibu ini jamani aliteseka mno akafariki ila yule kisababishi yupo ndio hapo huwa tunasema Mungu akihitaji atakuchukua kwa njia yoyote ile, na hizo ARV nazo complications zake ni kubwa mno hutumika kwa kuwa hakuna jinsi ila zinatesa sana
PEP gani hizo za miezi mitatu mkuu hebu fafanua hapo...Hakuwa na shida nyingine yoyote ninachokuambia ndivyo uliza wanaozitumia wakuambie shida zake, complications zake ni hatari nae ni mmoja wa waliopata hiyo bahati mbaya ini kuzikataa tulimshuhudia na mapema baada ya kujisikia dalili zisizo alipelekwa kcmc wapima na kutoa majibu stahiki na kumbuka PEP ni miezi 3 siyo mmoja
We dada usilete story za kusimuliwa kwenye vitu sensitiveHakuwa na shida nyingine yoyote ninachokuambia ndivyo uliza wanaozitumia wakuambie shida zake, complications zake ni hatari nae ni mmoja wa waliopata hiyo bahati mbaya ini kuzikataa tulimshuhudia na mapema baada ya kujisikia dalili zisizo alipelekwa kcmc wapima na kutoa majibu stahiki na kumbuka PEP ni miezi 3 siyo mmoja
Uoga wako tu unakusumbua. Me sikumbuki mara ya mwisho kutumia condom ilikua lini na sinawazo la kutumia condomHuenda ni kweli mimi kuna dada nilimgegeda bila kujua kwamba alishaumia nilipiga kimoja cha harakaa baada ya kumuandaa sanaa sema nikaja ambiwa dada uyo alikua anatumia dawa miaka mitatu ishapita mwanaume nika panic usiku silalii nafikiri kilikuwa kipindi kigumu sana katika Maisha yangu nikawa naogopa ata kupima ila baada ya wiki kama 13 ivi nikakazaa roho nikaenda kupimaa Heeh nikashangaa kitu NEGATIVEnikaapa sitogongaa kavu teena daah saivi nmetulia na mtotoo wangu wa kishua najilia taratibu tyu
Not all fluids carry HIV, kwanza hakuna AIDS kwenye fluid yoyote, AIDS ni condition inayosababishwa na HIV. uloandika hapa hujui tofauti ya hivi vitu. fluids like mate, machozi hazina HIVMkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.